Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kwenye mapambano yangu na maisha yangu nimefanya kazi na jamii na watu tofauti tofauti yaani watanzania na watu wa nje . Observation yangu ni hii warundi ni wachapakazi sana hujutii japo sio...
12 Reactions
34 Replies
672 Views
Baadhi ya wanafunzi wa Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Mitundu B, Singida wanabaki shuleni hadi usiku kwa ajili ya masomo ya ziada (prepo), licha ya baadhi yao kutokuwa wamekula tangu...
1 Reactions
1 Replies
34 Views
Nabii Tito tangu akamatwe siku ya Jumamosi hadi leo hajafikishwa kwenye mahakama yoyote. Tunaomba Polisi wamwachie mara moja au wampandishe mahakamani.
1 Reactions
12 Replies
230 Views
Kumekuwa na ucheleweshaji wa huduma ya kuunganishiwa umeme kwa wateja wapya wilaya ya Mkuranga ambapo mteja anakuwa ashafata taratibu zote kwaajili ya kupata huduma ila mteja anasubirishwa Hadi...
0 Reactions
1 Replies
172 Views
Jana nilikaa na kaka mmoja hv na kuongea kuhusu maisha, Na katika hiki na kile nikamwambia kuhusu changamoto fulani hiv ndogo, Lakini badala ya kupata ushauri ni kama nilikuwa nimefungua koki...
0 Reactions
1 Replies
58 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amezitaka Halmashauri zote nchini kutumia michezo kama nyenzo ya kuimarisha afya...
0 Reactions
0 Replies
17 Views
Napenda kuwashirikisha changamoto niliyokumbana nayo wakati wa kuomba huduma ya kuunganishiwa umeme katika ofisi za TANESCO Mikwambe, Kigamboni. Kwa kifupi, ofisi hiyo ni mpya na ina mazingira...
0 Reactions
1 Replies
326 Views
Nimefika leo, Alhamisi, kufuatilia marekebisho ya cheti changu ili niweze kupata cheti kipya. Hata hivyo, nimeelezwa kuwa huduma imesimama kutokana na kukosekana kwa umeme, ambapo inadaiwa...
2 Reactions
4 Replies
168 Views
Nimesoma shule za serikali ambako kwa shule ya msingi nilisoma kingereza kidogo kama somo, kuja Sekondari nako tukasoma kwa kiingereza lakini ni kile cha kukariri kwani hata walimu wenyewe ni kama...
26 Reactions
131 Replies
1K Views
Wanabodi bila shaka mmamka salama na kuanza week hii mpya. Dua ziwaendee wale wenye changamoto. Niruke kwenye mada moja kwa moja. Nataka kujua utaratibu wa kusajili brand na kupata hakimiliki...
1 Reactions
2 Replies
33 Views
Wanawake hasa hawa wamama wa under 40 wanapenda pesa kuliko kawaida. Cha ajabu wanapenda pesa za wanaume, za kwao ni chungu sana. Mwanamke pesa aliyoipata kwa njia halali anaiheshimu sana...
9 Reactions
65 Replies
473 Views
Kwa takribani siku tatu nilikuwa kikazi kwenye hoteli moja iliyopo Mbezi Beach. Jumapili, Agosti 16, 2026, kabla ya kumaliza siku zangu za kuwepo hapo, nilijipa muda wa kutembelea fukwe za bahari...
3 Reactions
3 Replies
94 Views
Huyu bwana ni mauti yanayotembea Kuwapo kwake kwa muda mrefu ni kutokana na kutengeneza network ya kuua upinzani. Amehusika na muaji ya watu wengi huko syria na kurd Sasa anataka akawaue na wa...
0 Reactions
1 Replies
42 Views
TAARIFA KWA UMMA Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha inapenda kuujulisha umma na wadau wote kuwa taarifa iliyosambazwa kupitia JamiiForums ikidai kuwa watumishi wanaoenda likizo mwezi Juni hawalipwi...
1 Reactions
2 Replies
89 Views
Ofisi za Kampuni ya Mabasi ya Machame Investment Arusha waweka huduma ya choo lakini ni ya kulipia hata kwa abiria, unapaswa kulipia Shilingi 300 hata kama una tiketi. Jambo hili lipo pia katika...
1 Reactions
0 Replies
21 Views
Sidhani kama Kila tukio la Kihistoria lilisababishwa (causes) na mambo sita na kuendelea au lilisababisa (effects ) mambo sita na kuendelea. Katika somo la history hapa nchini kumekuwa na tabia...
0 Reactions
0 Replies
20 Views
Hali ya maji taka yanayotiririka barabarani katika maeneo ya Likoma Street na Masasi Street, Kariakoo – Dar es Salaam. Kwa sasa ni siku kadhaa hali imekuwa hivyo, yanatiririka barabarani, hali...
1 Reactions
0 Replies
23 Views
Kumekuwa na tatizo la umeme Wilaya ya Chunya kwa zaidi ya mwaka sasa, kila siku zinavyokwenda linaongezeka, hatupati umeme unaostahili na tukipiga simu huduma kwa wateja tunaambiwa ni tatizo la...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Waumini zaidi ya 50 wa huduma ya Fellowship Tanzania (HUFETA) wanadaiwa kuvamia na kuvunja ukuta wa ukumbi uliopo mtaa wa mwanyanje, kata ya igawilo jijini mbeya, katika mgogoro unaohusisha...
0 Reactions
1 Replies
67 Views
Back
Top Bottom