Uyu dada namfaham sabab alisoma nami shule Level nlimwacha kidogo madrasa. Akaja olewa na mshkaji ambaye tulikuwa naye ofisi moja. Kwenye harakati za mtu mweusi.
Wamefanikiwa kupata watoto watatu...
Wadau myimwike,
Nimefanya kazi baadhi ya sehemu za pwani, wakati wadau humu wanazungumzia kuoa au kutoa kuoa singo maza Wenzetu pwani hawana stori hizo.
Kuoa rahisi kuachana ni rahisi pia hawana...
Kuna taarifa zinatembea chini kwa chini kuwa huenda mtume Boneface Mwamposa akanyanganywa madhabahu ya Kawe baada ya kilio cha muda mrefu cha wananchi kuhusu namna anavyowatendea waumini wanaotoka...
Tusiache kufanya check up
Miaka kadhaa nilipompokea Yesu Kristo kama Bwana na Mokozi wa Maisha yangu, nakumbuka siku ile ilikuwa ni ya kipekee kiasi kwamba ndani yangu kuliingia pendo kubwa sana...
Wasusi mbalimbali nchini wameaswa kutumia programu maalumu ya kampuni ya Darling Hair inayojlikana kama ‘Loyalty’ kujiendeleza kutokana na zawadi wanazoshinda.
Hayo yamesemwa katika hafla ya...
Baada ya mdau kulalamikia tatizo la maji kutitirika katika eneo la Gongo la Mboto, kituo cha magari yanayoenda mjini kinachoitwa Maliasili, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...
Fr. Kitima amesema kuwa uwepo wa wagombea wengi wa nafasi ya Urais kutoka vyama mbalimbali katika uchaguzi wa mwaka 2025, tofauti na ilivyozoeleka, kulitokana na kuondoka kwa dhana ya ushindani wa...
Wataalamu wa afya wamehama kutoka kwenye Partography na kuhamia kwenye Labour Care Guide kama maboresho ya ku monitor Labour process mpaka pale mama anapojifungua ili tu kuhakikisha mama na mtoto...
MSHANA JR UMEOKA AU BADO UPO KWENYE HII FANI,KUNA JAMBO NATAKA TUMFANYIE MTU MMOJA UMU NDANI
Mtu wa vizinga secretarybird
Tumfute alafu tumchole Tena Kisha tumueke na tutitiii sa 6 palipo bak...
Kuna tatizo la watu hawa wanaojifanya matajiri kupitia Forex na kuigiza maisha ya kifahari?
Ukweli ni kwamba kuna mmoja alituaminisha sana. Mimi na rafiki yangu tukachanga shilingi milioni 5 na...
Kama ulikua hujui kuwa kua Dr dogoli AMEWAHI KUTAPELIWA PIKIPIKI KIZEMBE wacha nikufahamishe;-
Dogoli huyu kabla ya kuwa daktari,
Amewahi kufanya kazi tofauti tofauti kama ilivyo kwa vijana...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 hadi 35 amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na Polisi, akidaiwa kuingia katika Benki iliyopo Rock...
Vitabu vya Agano Jipya viliandikwa na watu waliokuwa na ufahamu mzuri wa Kigiriki cha Koine, kwa hivyo kuna uwezekano mkubwa kwamba walizungumza Kigiriki katika maisha yao ya kila siku kama lugha...
Nimepita mikoani hususani vijijini ila nilichokutana nacho ni vilio vya wakulima kila kona. Hali ya upatikanaji wa mbolea imekuwa ni ya shida mnoooo!!! Kila maduka ya mbolea utakayopita unaambiwa...
Nimekuwa nikikwazwa sana na huduma katika Tawi la CRDB TFA Arusha, hasa linapokuja suala la muda wa kuhudumiwa. Kuna wakati unaenda benki kwa ajili ya kufanya huduma rahisi tu kama kuweka fedha...
Muonekano wa Shule ya Msingi Grace Mesaki iliyopo katika Kijiji cha Singa, Kata ya Kinampundu, Wilayani Mkalama.
Mradi huu wa ujenzi wenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 300 umeboresha kwa...
Mweye muda someni hiyo thesis mpate mwanga wa sheria ya kutunza siri za wateja bank rom commonwealth jurisdiction of which we borrow our laws/precedents.
Najua ukitaka kuwaficha watanzani kitu...
Kituo cha Sheria na haki za Binadamu kimeungana na wadau wengine kuadhimisha siku ya Demokrasia Duniani ambayo inaadhimishwa leo September 15, 2026.
Katika Maadhimisho hayo unafanyika mjadala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.