Tujifunze kwenye ujasusi
Kwenye nyanja ya ujasusi hapa duniani Kuna michezo mingi😃😃😃 😄
Kuna mbinu mmoja ambapo idara ya kijasusi inaweza kutengeneza mtu akawa mkosoaji mkubwa serikali...
Baba anaishi na kabinti kadogo kiumli kuliko mimi mwanae mtihani kumuita mama,mama anaishi na kajamaa kadogo kuliko mimi kiumri mtihani sana kumuita baba,dogo wangu anaishi na mshangazi wenye umri...
Mimi ni mmoja wa wamiliki wa maeneo ya viwanja na nyumba yaliyopo Kata ya Mbezi, Kijiji cha Msufini Kidete, Wilaya ya Mkuranga, Mkoa wa Pwani.
Maeneo yetu yamekuwa yakihitajika na wawekezaji...
Mji wa Dar es salaam unanuka mavi , au niseme unanuka harufu mbaya, na hii ni matokeo ya wamachinga kuweka biashara juu ya mitaro yote hapa Dar es salaam.
Unakuta sehemu juu kuna biashara ya...
Je , ni aina Gani ya ajira ambazo wasouth Africa au wapopo wamekuwa wakiwalalamikia wageni kuwa wamezichukua?
Je ni ajira zipi.
Najaribu kuangalia hili swala
Kama Usipojifunza kuchunga attention yako au nini cha kuzingatia na nini cha kukipuuza , watu wengine wataitumia attention yako kutengenezea utajiri wao .
##Tujifunze kwenye ujasusi
Kwenye nyanja ya ujasusi hapa duniani Kuna michezo mingi😃😃😃 😄
Kuna mbinu mmoja ambapo idara ya kijasusi inaweza kutengeneza mtu akawa mkosoaji mkubwa serikali...
Kama una mpango wa kununua gari kupitia yard au gari zilizo nchini tayari kuwa makini sana na haya maneno mawili;
1. AFTER MVUNJOO
2. JUST ARRIVED FRESH FROM JAPAN
Haya maneno mawili yanatumiwa...
Nchi hii imebarikiwa sana na huu ndo ukweli halisi, Si mbunga za wanyama, ardhi zenye rutuba, mito, mistu maziwa, Bahari na madini vyote hivi vinapatikana Tanzania achilia mbali ambavyo sijataja...
Katika utafiti uliofanyika ndani ya viunga vya Mwanza ambao ulihusisha kuzifanyia uchunguzi dawa za asili za Nguvu za kiume zinazouzwa na watu binafsi, makampuni au watu wa mitishamba na jadi...
Kuna mfanano wa ajabu kati ya wachawi na dini ya mashetani, nao ni kutumia nyama ya binadamu na damu yake kwenye sherehe na makafara yao na sababu kubwa ni kupata ujasiri nguvu na kujiamini...
Wakuu, habari za muda huu.
Jana jioni baada ya mihangaiko na pilika za hapa na pale za kusaka tonge, nikajikuta maeneo fulani hivi tulivu,
nikaingia kwenye ka-pub flani hivi amazing kwa ajili ya...
Nilikuwa macho toka saa nane usiku na kuna mtu nikaongea naye kwa simu kama dakika kumi hivi. Kufika saa tisa hivi nikasikia kama kitu kinanyata nje ya nyumba. Nilidhani ni mbwa. Hivyo nikafunua...
Binafsi nimekuwa mfuasi wa Rockstar games..
Nimecheza GTA vice city yote,
Pia nilicheza maxpyne ile ya kwanza kabisa..
Baada yake nikacheza San andreas
Ambayo sikuimaliza kutokana na marudio...
Naandika makala hii si kwa ajili ya kubeza mila na desturi za wengine au kukosoa utaratibu uliozoeleka kwenye matukio mengi ya furaha.
Naandika makala hii kuonyesha siri mbinu na mitego...
Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya...
Hili neno laweza kuwa na tafsiri nyingine kwa wengine lakini kwa watu wa Tanga lina maana yake muhimu ya ugumu ujasiri na roho ngumu
Hili nililishuhudia huko Lushoto kwa watu kadhaa waliochanjiwa...
Kuna njia kuu tatu zinazotumiwa na mwanadamu kwa ajili ya usafiri yani kutoa sehemu moja mpaka nyingine nazo ni maji anga na ardhi .
Lakini kwa mchawi ni mbili anga na ardhi , majini wengi...
Wa mikoani wamelalamika sana kuwa nimewatenga sijaweka post kuwahusu... Basi hii sasa ni zamu yao watiririke kwa raha zao.. Japo huko kunaweza kuwa na vituko tofauti kabisa na Dar.. Kwa mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.