Hakika Gta 6 itanirudisha kwenye Games..

Hakika Gta 6 itanirudisha kwenye Games..

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
12,471
Reaction score
24,772
Binafsi nimekuwa mfuasi wa Rockstar games..
Nimecheza GTA vice city yote,
f9e5fc8b02fcb8b359ea4f59e36cb696.jpg

Pia nilicheza maxpyne ile ya kwanza kabisa..
92601740804a7c159979b0cc606458d8.jpg


Baada yake nikacheza San andreas
Ambayo sikuimaliza kutokana na marudio mengi na tofauti ndogo ya graphics..
135193330a18281c9ec9e46a429a1892.jpg



GTA 5 sikuipenda kabisa maana haikuwa na jipya ila walijaribu kufanya graphics ziwe nzuri..

Ila baada ya ujio wa GTA 6 naona sasa naweza kurudi kwenye gaming, this is high realism..

Nimecheki wametoa game play aisee imekaa poa sana kuanzia story line mpaka graphics. Naona baadae tutakuja kuona makubwa kwenye gaming maana. This is superb🔥
6625d1e6ee84b2181dc73ad41ca79fbf.jpg
 
Mkuu Asante kwa Uzi umenikumbusha mbali sana, mambo ya game's and gamers.

Enzi hizo pale IRINGA NET tunaenda kucheza moto Kombat, call of duty "SAVIMBI my best character till today" na need for speed, jamaa ndio akatusanua kwamba kuna game inaitwa GTA 4, Aaah! Kwangu ulikua ulimwengu mpya ukichanganyia na yale mambo ya cheat code ndio kabisa walinichota moyo na akili.

Kwakweli namshukuru Mungu sahivi nimekua mkubwa hata simu haina game, it was too much to me.

Nilikuwa naweza kukaa masaa nane hata nyuma sigeuki ni Mimi na screen tuu.

Nilikua addicted na games Yaani nacheza Kila game mpaka kile kigemu Cha Google internet ikikata nacheza hata masaa😂😂😂.

Anyway kwasasa majukumu yanabana ila nikikaribia kuzeeka nitarudi, JASIRI HAACHI ASILI.
 
Back
Top Bottom