Habari wanaJF,
Kampuni ya kutoa huduma za mazishi ya God Mark Funeral Director ya mjini Moshi limetangaza punguzo la asilimia 30 kwa mtu atakayenunua jeneza akiwa hai.
Bei za majeneza yanayouzwa...
Maafa Mpwapwa, watu wanne wafariki dunia baada ya Mvua kubwa kunyesha. Inadaiwa wamesombwa na mafuriko wakiwa wamelala. Hadi sasa miili ya watu watatu imeshapatikana, hivyo tupo kwenye kutafuta...
Nilikutana na rafiki yangu mmoja week iliyopita Jumapili akawa ameniomba sana sana niende kanisani kwake, mimi ni muislam alinishawishi sana Jumapili kweli nikaenda wana kipindi chao cha...
Kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 katika Ibara ya 8. Ibara hii inaipa serikali kuwajibika kwa wananchi na wananchi kujishughulisha katika shughuli za serikali...
Habari
leo mchana mida ya saa sita na nusu mchana nimepokea message hii," IMETOA SH. 8,000 KWENYE A/C INAYOISHIA NA 00469 TAREHE 1-2-2017 12.27". nilichofanya nilichungulia wallet nayo nikakuta...
Ni takribani mwaka wa nne sasa nipo kikazi Kasulu,,mkoani kigoma..
kimsingi hali ya barabara kutoka nyakanazi(njiapanda ya biharamulo na kigoma) mpaka kufika kasulu mjini barabara ni mbovu mno...
Hawa jamaa sasa hivi mbona ni kama wanatukomoa wananchi?, maana akikusimamisha anakuomba leseni hapohapo anaanza kupunch machine yake, hakuna muda wa kukuambia kosa lako na wewe kujitetea, hivi...
Aje Mazee ?? [emoji3]
Well This is Quite informative.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Ezra and Thomas joined a company together a few months after their graduation...
Watu 15 waliokuwa wamefukiwa na kifusi Geita waokolewa wakiwa hai.
Kwa mujibu wa habari watu hao wamepelekwa hospitali ili kupatiwa matibabu zaidi.
Ikumbukwe kuwa watu hao walifukiwa na kifusi...
Nakubaliana na mkuu KIgwangala kwamba ifike mahala watu wote tuwaze nje ya Box.
binafsi nachelea kuelewa ni kwa nini tunapowaza ujasiriamali kila mtu anawaza kulima,kufuga, kuuza genge n.k wakat...
Serikali ya Ufaransa kupitia Benki ya Maendeleo ya Nchi hiyo (AFD) imeahidi kuipatia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kutoka wastani wa euro milioni 50 hadi milioni 100 kwa mwaka katika miaka...
Chunya: Mkazi wa Mamlaka ya Mji Mdogo Makongolosi wilayani hapa, Robert Francis (19) amehukumia kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumwingilia kinyume na maumbile mtoto wa kiume mwenye umri wa...
Wiki moja baada ya ziara ya mh.Charles Mwijage kiwandani hapo.. Hali sio nzur Kwa mamia ya wafanyakazi na vibarua ndani ya Kiwanda hicho kili drchopo G/Mboto jijini Dar...
Source: Wafanyakazi
Naamini serikali yetu ni sikivu na inajitaidi sana kunyoosha mambo ambayo hayako sawa kataka Taasisi na Mamlaka zake.Hivi Majuzi,nilikua nafatilia uhakiki wa vyeti vyangu na ilinichukua siku nzima...
Nimetafakari sana kuhusu Ben, muda umepita kuna watu walisema Mbowe anajua yuko wapi. Naomba mamlaka imkamate Mbowe imhoji mara moja. Mzee Saanane mbona upo kimya mzee wangu?
Ben kweli yupo South...