YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Kenya kuna yesu wao mwafrika ambaye yuko siku nyingi tu ambaye ni huyu hapa
sasa ikatokea kuna yesu mwingine mzungu akaingia kenya ambaye ni huyu
Sasa yesu mwafrika akajipanga kwenda kumpa kipigo yesu mzungu,Serikali ya kenya ikabidi imfukuze yesu mzungu ili kulinda amani kenya sababu hao wa yesu wawili wangetwangana ingekuwa hatari kwa nchi na kwa dunia Asanteni wakenya
sasa ikatokea kuna yesu mwingine mzungu akaingia kenya ambaye ni huyu
Sasa yesu mwafrika akajipanga kwenda kumpa kipigo yesu mzungu,Serikali ya kenya ikabidi imfukuze yesu mzungu ili kulinda amani kenya sababu hao wa yesu wawili wangetwangana ingekuwa hatari kwa nchi na kwa dunia Asanteni wakenya