adjuti junior
Member
- Jun 11, 2016
- 10
- 3
Dereva Wa Gari La Mafuta lilolipuka asimulia kila kitu ajari ilivyoyokea na mpka kunusulikaa. aeleze alivyokatika miguu
Huyo ndiye anayestahili kulipwa fidia!Daah huyo jamaa ana upendo wa mshumaa aiseh
Yeye alienda kuangaza kumbe yeye ndio akateketea
Waandishi makanjanja.Dereva Wa Gari La Mafuta lilolipuka asimulia kila kitu ajari ilivyoyokea na mpka kunusulikaa. aeleze alivyokatika miguu
Dereva Wa Gari La Mafuta lilolipuka asimulia kila kitu ajari ilivyoyokea na mpka kunusulikaa. aeleze alivyokatika miguu
Tatizo anasema hamjui alikuwa ni abiriaHuyo ndiye anayestahili kulipwa fidia!
Ni muhimu kufanya investigative jourinalism kabla ya kuandika. Dreva wa lori pamoja na abiria wake wa kike wanasemekana waliymua miggu na mikono na walibanwa na mikanda ya kiti. Habari za awali zinasema hadi lori linalipuka moto walikuwa hawajanasuliwa. Sasa huyu dreva aliyekatika miguu halafu anaongea mfululizo kama chiriku umemtoa wapi. Hivi unaelewa maana ya mtu kukatika miguu? Kweli kipau mbele kiwe ni ....elimu.....elimu....elimu.Dereva Wa Gari La Mafuta lilolipuka asimulia kila kitu ajari ilivyoyokea na mpka kunusulikaa. aeleze alivyokatika miguu
Wakiamuwa watamjuwa tu huyo. Maiti ikisha kuwa identified wapendwa watakuja na picha. Atamtambua. I shed tears for the poor soull!Tatizo anasema hamjui alikuwa ni abiria
Aliungulia hapo hapo kwenye moto
Dereva Wa Gari La Mafuta lilolipuka asimulia kila kitu ajari ilivyoyokea na mpka kunusulikaa. aeleze alivyokatika miguu
Nyoso yule yule aliyefungiwa na tff?Unaweza kukuta na wewe muanzisha thread ni muhitimu wa chuo kikuu... Kweli bongo nyoso
Dereva Wa Gari La Mafuta lilolipuka asimulia kila kitu ajari ilivyoyokea na mpka kunusulikaa. aeleze alivyokatika miguu