CHIBE BOYS
Member
- Apr 20, 2019
- 91
- 118
Baada ya janga la mlipuko wa gari la mafuta uliotokea jana na kuua ndugu zetu wengi walioona fursa,bado janga la kujaza daladala mpaka pomoni linatusubiri,tujiandae kwa hilo.
Mfano,daladala inatoka kituo chake ikiwa imejaa pomoni na bado njiani inapakia
Kwa mfano dodoma jiji,root zinazojaza pomoni pale pale stendi ni root za udom,swaswa,veyula
Huo ni mfano tu unaowakilisha sehemu nyingine achilia mbali mbagala,goms,tegeta hizi root zimekuwa mfano wa kitaifa
Mbaya zaidi gar zinazofanya hivyo nyingi zinafeli kupanda milima,zinahatarisha maisha ya makumi ya abiria waliopo ndani
Gari hizi zinapotoka stendi huwa zinakaguliwa na maofisa wetu wa polisi,sasa huwa najiuliza,hivi ajari zinapotokea na daladala kuonekana ilijaza watu kupita uwezo wake hawa polisi huwa wanaponaje vibarua vyao?
Daladala kujaza abiria kupita uwezo wake ni janga jingine tunalosubiri limalize roho zetu walalahoi wengi tulio masikini
Mfano,daladala inatoka kituo chake ikiwa imejaa pomoni na bado njiani inapakia
Kwa mfano dodoma jiji,root zinazojaza pomoni pale pale stendi ni root za udom,swaswa,veyula
Huo ni mfano tu unaowakilisha sehemu nyingine achilia mbali mbagala,goms,tegeta hizi root zimekuwa mfano wa kitaifa
Mbaya zaidi gar zinazofanya hivyo nyingi zinafeli kupanda milima,zinahatarisha maisha ya makumi ya abiria waliopo ndani
Gari hizi zinapotoka stendi huwa zinakaguliwa na maofisa wetu wa polisi,sasa huwa najiuliza,hivi ajari zinapotokea na daladala kuonekana ilijaza watu kupita uwezo wake hawa polisi huwa wanaponaje vibarua vyao?
Daladala kujaza abiria kupita uwezo wake ni janga jingine tunalosubiri limalize roho zetu walalahoi wengi tulio masikini