Kuna tetesi kuwa idadi ya wawekezaji wapya kupitia kituo cha Uwekezaji, TIC imepungua sana ndani ya miaka miwili iliyopita.
Waekezaji wengi, inaelezwa, wanachungulia hali na kuahidi kurudi...
4 secrets to raising wealthy kids, according to the billionaire Rockefeller family
Robert Frank | @robtfrank
10:32 AM ET Mon, 26 March 2018
David Rockefeller Jr.'s secret to raising unspoiled...
Wakuu kwema?
Leo nilikua nimetoka Muhimbili Hospital kumuona Mgonjwa nikaona nipitie Morogoro Road badala ya Ally Hassan Mwinyi niliyoizoea. Sababu ya kupta hii njia ni kua kuna mtu nilikua...
Bwana Yesu asifiwe /Asalaam aleykum ndugu zangu Watanzania na wasio Watanzania, napenda kuwa julisha kuwa, kwa uweza wa Mungu Mkuu aliyeziumba Mbingu na Nchi nimeanza Huduma ya maombi na ushauri...
Nmesoma thread ya mtu mmoja na mwingine pia alishawah zungumzia habari ya miti maarufu kama mishokshok.
Hapo ndipo unapochoka na imani za waafrika zilizojaa ushirikina uliovuka mipaka.hii miti...
1. Atatoka na wimbo mzuri kimashairi, melody na ujumbe.
2. Atapiga shoo nzuri mwanzoni ila badae ataharibu.
3. Atatengeneza au kuangukia kwene skendo hasa ngono na ulevi wa pombe na kiburi...
Na John Walter-Babati
Katika jitihada za serikali kuendelea kumaliza wimbi la vijana wenye ukosefu wa ajira,Mkuu wa wilaya ya Babati Elizabeth Kitundu amekabidhi piki piki 11 kwa vijana 11 ikiwa...
Binadamu haturidhiki na kitu kimoja. Na tunapenda sana kubadili badili aina kadhaa… wakati mwingine utokako ni kuzuri kabisa kuliko huko uendako.
Cha ajabu unafanya kule , unafanya huku. Na...
Saa chache tu zilizopita imetangazwa kwamba Marekani sasa ndiyo nchi inayozalisha kwa uwingi Mafuta duniani kuliko zile nchi za ' Kiarabu ' ambazo zilizoeleka na zikawa zinatunyanyasa kwa...
Wanabodi , leo ni siku ya kimataifa ya Yoga , Meditation au Tahajudi.
Siku hii imeadhimishwa kwa mazoezi ya Yoga kwenye fukwe za bahari ya Hindi eneo la Coco Beach ambapo mgeni rasmi ni Waziri wa...
Hii naanzia hapa Tz marais na viongozi wakuu wa nchi wastaafu na wake zao wote wapo hai...hata mzee wetu nyerere mke wako yuko hai...
Nchi km marekani baba yake bush yuko hai hadi Leo...nenda...
Wadau nimeifuatilia Bendera ya Rais wa Tanzania na kubaini kuwa Bendera hiyo ni toka Rais wa Awamu ya kwanza.Naomba kujua je Rais aliopo madarakani anaweza kuamua Bendera ya Rais atakayo itumia...
Jana nimeona video clip ya Mwanajeshi (afisa Takukuru?????) akimtafuta Hans Pope na Lawuo.... kwa tuhuma za rushwa huko Simba S.C na TRA in connection with kukwepa kodi!
Najiuliza Makonda na...
Jamani habari zenu,
mwaka ana nilibahatika kupata milion 9, nikaangalia cha kufanya nikashindwa, maana ukiingia kichwa kichwa kwa hali ilivyotanzania ,hapana,
Nikanunua ardhi ekari 5 kwa milion...
Hawa Jamaa Sasa uvumilivu umewashinda. Katika Toleo lao la IPHONE XS ambayo inatarajiwa kutoka mwishoni mwa mwezi wa Tisa au mwezi wa kumi mwanzoni itakuwa na line mbili yaani DUAL SIM Kama...
Nawaambieni lipo tatizo, tena linafukuta sana, vyanzo vya mauaji ya Mme na mke vitaendelea, Wanaume Wanamaudhi lakini pia wanawake WANAKERA,
Hakuna mwanamme anaeoa ili aje auwe hayupo, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.