fh kwenye beat
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 489
- 578
Habarini wakuu, Bank vs (TigoPesa, M-pesa) ni sehemu ipi nzuri kuhifadhi pesa ukizingatia faida na hasara ya kila upande.
Inategemea na kiwango cha pesa...Habarini wakuu, Bank vs (TigoPesa, M-pesa) ni sehemu ipi nzuri kuhifadhi pesa ukizingatia faida na hasara ya kila upande.
Inawezekana wewe ndio wale wanaochimbia ardhini halafu wanaweka kimba kwa juu kupoteza ushahidiKwangu tu ndo sehemu sahihi.
Tumboni tu
AhaaaaaInawezekana wewe ndio wale wanaochimbia ardhini halafu wanaweka kimba kwa juu kupoteza ushahidi
Hapana mkuu bora bankKwangu tu ndo sehemu sahihi.
Tena tigo pesa wanakata haswaBank wanakata kila mwezi ada yao ila ni nafuu kwenye ku draw ela zako atm.
Tigo pesa na mpesa wana makato makubwa unapotaka kutoa ela ila hawana makato ya kila mwezi
Ya matumizi ya malipo ya taasisiInategemea una malengo gani na hizo pesa