Nawaambieni lipo tatizo, tena linafukuta sana, vyanzo vya mauaji ya Mme na mke vitaendelea, Wanaume Wanamaudhi lakini pia wanawake WANAKERA,
Hakuna mwanamme anaeoa ili aje auwe hayupo, lakini fukuto la ujeuri ndani ya nyumba mwisho Wa picha ndo tunashuhudia mauaji kila kukicha;
Tulisikia vifo vya kina rose, sasa imefika zamu ya kina Mariam, huko sumbawanga juz juz aliuawa Mariam, wiki iliyopita napo kanyongwa yule mwanakwaya chang'ombe mariam, huko mtwara kuna jamaa kachinja familia kisa ugomvi Wa mke wake Mariam, yaani ni shida.
Mimi nafikiri Jeshi lala polisi lianze kuwasikiliza wababa wanaonyanyaswa na wake zao, toeni ELIMU kwa wajumbe Wa kila mtaa ili kuripoti familia zote zenye migogoro, na wamama walioterekeza waume/familia zao polisi ianze kuwatia ndani.
Kuna baadhi ya majina ni kama yanamapepo hawasikii na wala hawaambiliki, Kama wake zenu wanamajina hayo wabadilisheni huenda itasaidia.
Hapo nyuma wamefululiza kuuwawa kina Rose (a.k.a muna), sasa ni zamu ya kina Mariam, nahisi watakaofuata ni kina Jesca;
Mwanamme akitaka adumu na wanawake wenye majina hayo ni either awe mcha Mungu kwelikweli au mcheukaji au awapuuzie!
Ni wana viburi halafu jeuri Tuwaombee
Hakuna mwanamme anaeoa ili aje auwe hayupo, lakini fukuto la ujeuri ndani ya nyumba mwisho Wa picha ndo tunashuhudia mauaji kila kukicha;
Tulisikia vifo vya kina rose, sasa imefika zamu ya kina Mariam, huko sumbawanga juz juz aliuawa Mariam, wiki iliyopita napo kanyongwa yule mwanakwaya chang'ombe mariam, huko mtwara kuna jamaa kachinja familia kisa ugomvi Wa mke wake Mariam, yaani ni shida.
Mimi nafikiri Jeshi lala polisi lianze kuwasikiliza wababa wanaonyanyaswa na wake zao, toeni ELIMU kwa wajumbe Wa kila mtaa ili kuripoti familia zote zenye migogoro, na wamama walioterekeza waume/familia zao polisi ianze kuwatia ndani.
Kuna baadhi ya majina ni kama yanamapepo hawasikii na wala hawaambiliki, Kama wake zenu wanamajina hayo wabadilisheni huenda itasaidia.
Hapo nyuma wamefululiza kuuwawa kina Rose (a.k.a muna), sasa ni zamu ya kina Mariam, nahisi watakaofuata ni kina Jesca;
Mwanamme akitaka adumu na wanawake wenye majina hayo ni either awe mcha Mungu kwelikweli au mcheukaji au awapuuzie!
Ni wana viburi halafu jeuri Tuwaombee