Gospel Preacher
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 233
- 263
Bwana Yesu asifiwe /Asalaam aleykum ndugu zangu Watanzania na wasio Watanzania, napenda kuwa julisha kuwa, kwa uweza wa Mungu Mkuu aliyeziumba Mbingu na Nchi nimeanza Huduma ya maombi na ushauri kwa maswala ya kiroho bure kwa wote.
Jambo hili nimeamua kulifanya ili kukamilisha hatima yangu ya maisha katika kumtumikia Mungu na kuwasaidia watu kwa vile vitu ambavyo Mungu amewekeza kwangu,
Napenda kuwa taarifu kwa mtu yyte mwenye matatizo ya maswala ya kiroho ambayo anahisi anaweza kushauriwa au kuombewa usisite kunitafuta kwa muda wowote yaani masaa 24.
Pia kwa watu ambao hupata shida usiku na matatizo kama ;
1. Hofu ya kifo (pale unapotaka kulala-piga simu tuombe pamoja)
2. Hofu ya kushindwa kwa kila jambo unalotaka kufanya, mfano Biashara au miladi fulani
3. Kukabwa usiku na majinamizi
4. Kuingiliwa kimwili(Kinyume na maumbile au kawaida lakini na Jini mahaba)
5. Hofu na matatizo ya kulogwa
6. Kutua mikoba ya uganga uliyoachiwa
7. Magonjwa ya kutengenezewa,
8. Laana ya familia na matatizo yanayofanana kwenye familia.
9. Maombi ya kumsihi Roho Mtakatifu
10. Hitaji la kumpokea Yesu Kristo katika maisha yako na kuambiwa cha kufanya ili kuukulia wokovu.
11. Ndoto mbaya mfano, za kuota umekufa, kuota upo shule unafanya mitihani, kuota unakimbizwa, kuota unalia na damu zinakutoka, kung'atwa na mnyama ndotoni, kuota unakula nyama kwenye sherehe za usiku, n.k
12. Kukosa mtoto/matatizo ya uzazi
13. Uchumba na mahusiano.n.k
MUNGU HAKUUMBA ILI UTESEKE EE MWANADAMU MWENZANGU.
NB: MAOMBI HAYA HAYANA DINI HIVYO MTU YOYOTE ANARUHUSIWA NA MLANGOBWA KUOMBEWA UPO WAZI KWA YOYOTE.
....NINA TENDA KAZI KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETH NA KWA UWEZA W ROHO MTAKATIFU.
Mawasiliano:
+255655112023
MAOMBI NI BURE. NAPATIKANA (DSM)
Mathayo 10:8-9
Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure. Msichukue dhahabu, wala fedha, wala mapesa mishipini mwenu;
Isaya 40:9
Wewe uuhubiriye Sayuni habari njema, Panda juu ya mlima mrefu; Wewe uuhubiriye Yerusalemu habari njema, Paza sauti kwa nguvu; Paza sauti yako, usiogope; Iambie miji ya Yuda, Tazameni, Mungu wenu.
Jambo hili nimeamua kulifanya ili kukamilisha hatima yangu ya maisha katika kumtumikia Mungu na kuwasaidia watu kwa vile vitu ambavyo Mungu amewekeza kwangu,
Napenda kuwa taarifu kwa mtu yyte mwenye matatizo ya maswala ya kiroho ambayo anahisi anaweza kushauriwa au kuombewa usisite kunitafuta kwa muda wowote yaani masaa 24.
Pia kwa watu ambao hupata shida usiku na matatizo kama ;
1. Hofu ya kifo (pale unapotaka kulala-piga simu tuombe pamoja)
2. Hofu ya kushindwa kwa kila jambo unalotaka kufanya, mfano Biashara au miladi fulani
3. Kukabwa usiku na majinamizi
4. Kuingiliwa kimwili(Kinyume na maumbile au kawaida lakini na Jini mahaba)
5. Hofu na matatizo ya kulogwa
6. Kutua mikoba ya uganga uliyoachiwa
7. Magonjwa ya kutengenezewa,
8. Laana ya familia na matatizo yanayofanana kwenye familia.
9. Maombi ya kumsihi Roho Mtakatifu
10. Hitaji la kumpokea Yesu Kristo katika maisha yako na kuambiwa cha kufanya ili kuukulia wokovu.
11. Ndoto mbaya mfano, za kuota umekufa, kuota upo shule unafanya mitihani, kuota unakimbizwa, kuota unalia na damu zinakutoka, kung'atwa na mnyama ndotoni, kuota unakula nyama kwenye sherehe za usiku, n.k
12. Kukosa mtoto/matatizo ya uzazi
13. Uchumba na mahusiano.n.k
MUNGU HAKUUMBA ILI UTESEKE EE MWANADAMU MWENZANGU.
NB: MAOMBI HAYA HAYANA DINI HIVYO MTU YOYOTE ANARUHUSIWA NA MLANGOBWA KUOMBEWA UPO WAZI KWA YOYOTE.
....NINA TENDA KAZI KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETH NA KWA UWEZA W ROHO MTAKATIFU.
Mawasiliano:
+255655112023
MAOMBI NI BURE. NAPATIKANA (DSM)
Mathayo 10:8-9
Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure. Msichukue dhahabu, wala fedha, wala mapesa mishipini mwenu;
Isaya 40:9
Wewe uuhubiriye Sayuni habari njema, Panda juu ya mlima mrefu; Wewe uuhubiriye Yerusalemu habari njema, Paza sauti kwa nguvu; Paza sauti yako, usiogope; Iambie miji ya Yuda, Tazameni, Mungu wenu.