Wimbo ndo huo hapo chini;
Hauruhusiwi,
hauruhusiwi,
ewe dereva sikia maneno haya usiwe kiziwi,
endesha gari ila usipige honi,
hauruhusiwi,
hauruhusiwi,
hauruhusiwi kubonyeza kitufe cha honi...
Kwa watu wa umri wangu naamini wachache sana tumewahi kukiona kitabu hiki cha hekaya za Abunwasi nikawahi sikia kiliwahi zuiliwa miaka ya nyuma kisichapishwe je kwa wahenga huyu kiumbe Abunwasi...
Habari wana jamiiforums. Sisi wakazi wa jimbo la ukonga tunashukuru kufunguliwa kwa daraja la TAZARA. Kero kubwa iliyobakia kwa sasa ni foleni ya BABANA. Tunaomba kituo cha daladala kwa mabasi...
Kwema wadau?
Ni muda sijaandika, nilikuwa nafunga Ndoa, kwa mliokosa Mwaliko jueni kuwa hamkuchanga au michango haikunifikia.
Turudi kwenye mada:
Kuna watu wanabeza mengi, ikiwemo Hospitali...
Kufuatia agizo la mamlaka za elimu Afrika Kusini kutaka Kiswahili kifundishwe mashuleni nchini humo, naamini hii ni nafasi adhimu kwa vijana wetu wataalamu wa Kiswahili kuinyakua fursa hii haraka...
kwanza niseme wazi tu, Tofauti na torch Gari za bei mbaya haikamatwi NA traffic never;
Gari Kali za million 300, 400 au 700 unaanzaje kuikamata kwa mfano? yaani trafic hata itokee dharula aipige...
This is a Nigerian Evangelist, I was listening to him on you tube. He is condemning pastors who take seeds from their followers. He is saying if you want these poor people to havest what they...
Kwa kuzingatia vyanzo vyangu nyeti huyu ndugu shafii dauda anashikiliwa na jeshi la polisi tangu juma lililopita. Kuna uwezekano anaandaliwa kesi mbaya.
Nitarudi hivi punde.
Niende moja kwa moja katika mada wapendwa wangu.
Huwa nilikuwaga na msimamo yakuwa sitanunua gari zilizotumika Tanzania na mara zote nimekuwa nikiagiza mwenyewe kwani watanzania tunahulka fulani...
Wandugu nimeona hii habari kwenye Mtandao nimeona bora niiweke hapa tuichambue,Mji wa Nairobi ni mji wa sita kwa kwa utajiri katika Afrika baada ya Durban, Cape Town, Cairo, Lagos and...
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole amesema mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda hakupaswa kufanya sherehe na Polisi kwa sababu kuna mahali hali haikuwa shwari na wao...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikiliwa mwanafunzi anayetuhumiwa kumuua mwenzake mwenye umri wa miaka kumi na tisa wote wakiwa wanasoma Shule ya Sekondari Mteule akituhumiwa kumchoma kisu...
Yuston Emanuel (31) mkazi wa Ngara mkoani Kagera amehukumiwa kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh200, 000 kwa kosa la kutumia lugha ya dhihaka dhidi ya Rais John Magufuli.
Hukumu hiyo...
UTANGULIZI
Nianze Kwanza kutoa pongezi zangu za dhati kabisa kwa Wananchi wote wa Mkoa wa Dar es Salaam hasa wale wa Jimbo la Uchaguzi la Ukonga kwa kufanya Uchaguzi ambao kwa kiasi fulani...
Ni ule ambao kila mwaka inatoa kuisaidia Tanzania kwa ajili ya mipango miwili ya uzazi wa mpango
Kauli ya Rais John Magufuli kwamba watu wanaodhibiti uzazi ni “wavivu” imezidi kuzua mjadala...
Septemba 15, 2018 daraja la juu ‘flyover’ lililopo katika makutano ya Tazara lilifunguliwa na magari yakaanza kupita na uzinduzi rasmi unategemea kufanywa na Rais Magufuli mwezi ujao
Mradi huu...
wakuu,
hali ni mbaya sijui nikiwalaumu hawa watu nakosea au nikosahihi,
1. supervisor wangu: isey huyu jamaa ananibana mpaka nashindwa kupumia pamoja nimshkaji wangu ila duuh ka ananisnichi kwa...
Habari ya mchana wana Jamvi?pia nachukua furusa hii kuwapa pole Wale wote waliokumbwa na matatizo Mbalimbali,katika siku hii adhimu.nisiende mbali sana Wana Jf,kubwa nataka mni Saidie kudadavua...
Wakuu, kila nikijaribu kuweka namba yangu ya simu (TTCL) jibu naambiwa namba hiyo si sahihi. Najiuliza ili ujisajiri na Uber ni lazima uwe na Tigo tu kama ninavosikia tangazo moja la Tigo radioni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.