IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Hii naanzia hapa Tz marais na viongozi wakuu wa nchi wastaafu na wake zao wote wapo hai...hata mzee wetu nyerere mke wako yuko hai...
Nchi km marekani baba yake bush yuko hai hadi Leo...nenda uingereza..
Hapo Kenya jirani mzee moi yupo.. .
Nipe mifamo BT tuambizane kwann wanadumu? Mzee mwinyi ana miaka 90+ BT ukimuona yuko fit ...
Nchi km marekani baba yake bush yuko hai hadi Leo...nenda uingereza..
Hapo Kenya jirani mzee moi yupo.. .
Nipe mifamo BT tuambizane kwann wanadumu? Mzee mwinyi ana miaka 90+ BT ukimuona yuko fit ...