ANAANDIKA BICHWA KOMWE 👌
Katika hii jamhuri yetu, na hata kwingine kokote nje ya Tanganyika, ni ukweli ulio wazi kwamba, kupata mtoto ni rahisi sana kuliko kupata ajira ya Tamisemi.
Watu wengi...
Mimi ni mkazi wa Chalinze, Mtaa wa Nero, Darful. Tunaendelea kukabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maji mara kwa mara. Wakati mwingine tunakaa hadi mwezi mzima bila kupata maji.
Hadi...
Wakuu natoka msibani kwa mjomba wangu muda huu
Mjomba alikua mfanyabiashara alikua na upepo wa biashara ogopa,
Alikua akija kununua mzigo hadi yeye amalize ndo wengine wenye mitaji midogo midogo...
Huu ndio moja ya uvumbuzi wa hovyo na hatari kuwahi kufanywa duniani nayo ni AI Kiswahili wanaita sijui akili mnemba sijui unde sijui.
Ila AI ni moja ya vumbuzi mbaya na hatari kuwahi kufikiri na...
Katika kuangalia hali ya kisiasa inavyo kwenda sasa, kuna kitu kimoja ambacho wabongo wengi kama hatukioni ila ndo msingi mama wa haya yote na ndo maana hii nchi tumeshikwa kama mburula.
Ni kuwa...
Mantiki ya swali langu inalengo la kufahamu, je, Ekaristi ni kitu ‘Spiritual’ au ni kitu ‘physical’? Meaning, mtu anaweza kupokea Ekaristi bila kula kile kioande cha mkate? Spiritually tu kwa...
Jana nilihudhuria kanisa moja
Wakaja wamama watatu na mzee mmoja
Wakanza kuelezea mambo ya dawa zao nk
Walipomaliza kuna mamaamoja akasema zinaponya na ukimwi na cancer
Kabla ajamaliza...
Tafadhali husika na kichwa cha uzi huu.
NSSF Wamekuja na mbinu mpya zifuatazo ili kuhakikisha wanufaika hawapati hela zao:
Hawajatangaza mahali popote kwamba fao la Kujitoa limerejeshwa licha ya...
Ni hakika wote tunajua kuhusu utatu mtakatifu...
Yaani the father, son and the holy spirit.
Also hii ina direct coleration na Body, mind and soul..
Hizi ni dhana tu za kujaribu kuelezea kitu...
Huenda wewe ni mfanyabiashara,
Mwajiriwa,
Au umeniajiri,
Huwa unafanya ninibunapoona gafla mambo yamebadilika?
kipindi hicho unafanyeje usikate tamaa na uendelee kupambana?
Mimi natumia njia...
Leo tuzungunzie Gonjwa la UKIMWI. Kuwa mvumilivu kusoma, pengine ukapata Dawa ya UKIMWI katika Makala yangu!
Imenibidi nikimbie Hadi Google, nikafanye Utafiti wangu Juu ya Asili ya Ugonjwa Huu...
Anatomia ya kobe ni mfano bora kabisa wa jinsi ya kujilinda na kuishi katika mazingira ya nchi kavu:
Gamba lake la juu lenye umbo la kuba na gamba la chini bapa huunda ngome isiyopenyeka...
Siyo kila unapopita brother habari yako au kila siku unampgia mtu simu unamwambia nilikuwa nakusalimia kumbuka
SALAMU YA MASKINI INACHUKULIWA KAMA OMBA OMBA
Binafsi nilipo kuwa chuoni nilitokewa kupendwa na mrembo..
Actually she was a genuine lover. Ni ile aina ya pisi ambazo kila nyakati ya siku lazima ikujulie hali, yaani I was engulfed in her love...
John Glenn alikataa kuruka hadi mwanamke mmoja alipohakiki kwa mkono hesabu za kompyuta.
Jina lake lilikuwa Katherine Johnson. NASA ilikuwa tayari na mashine za kielektroniki kufikia mwaka 1962...
Anatomia ya kobe ni mfano bora kabisa wa jinsi ya kujilinda na kuishi katika mazingira ya nchi kavu:
Gamba lake la juu lenye umbo la kuba na gamba la chini bapa huunda ngome isiyopenyeka...
Mada maalum ya uzao wa Afrika ambao haufahamiki sehemu kubwa ya dunia.. Ni picha na habari kwa niaba ya FB na mitandao mingine
SIRI ILIYOFICHUKA KUHUSU MILLI VANILLI.
MILLI VANILLI ni kikundi...
Wakuu ivi izi kampuni kama Yas, Vodacom au Airtel zimeshindwa kabisa kuweka utaratibu wa Kukopesha izi flagship smartphone kama Pixel 10, Iphone 17 au Samsung S26 kwa Mkopo?
Badala yake...
Tayari Civilian-Coin ameshalipia Pesa taslim kwa ajili ya gazeti la Serikali na anachosubiri ni lini Gazeti la Serikali litatangaza taarifa yake ili aende NIDA kufanya mabadiliko.