de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,090
- 21,985
Katika kuangalia hali ya kisiasa inavyo kwenda sasa, kuna kitu kimoja ambacho wabongo wengi kama hatukioni ila ndo msingi mama wa haya yote na ndo maana hii nchi tumeshikwa kama mburula.
Ni kuwa, watanzania(wamatumbi) culture na tabia zetu ambazo ziko ndani yetu zinatufunga. We've no common ground... Hakuna kitu "moja" ndani ya hii nchi.
Kwanza cheki katika level ya familia...
Kibongbongo hakuna umoja, Nakuhakikishia kuwa wengi hapa ukiwauliza unawaamini ndugu zako?
Utaskia ndugu ndo wachawi wangu, wanasubiri noanguke wanicheke! Au "ndugu sio wa kumwamini" it's like we've no trust from an original unit...
Je, unategemea we can afford to stand for this country?
Tunajidanganya tu, wengi wanakuja na propaganda mtandaoni ya kusapoti Lissu but truly it's wanakuwa fantasized na mechi ya kisiasa tu na nothing they are willing to do..
Unajua ni kwa nini hii nchi inamachawa na wanakubakika? Kwa sababu tumejokuta unafikiri na maisha ya kusubiri mwenzako adondoke huku ukimlamba kisogo imekuwa normalized.
Angalia media zinavyokimbiza kwenye umbea na unafikiri. No real genuine people kwenye hili li nchi.
Wamatumbi ni wajinga tu, that's it..
There's no point ya haya yote, Lissu hawezi kushinda, ataandikwa kwenye kumbukumbu tubalijitoa kwa ajili ya taifa, but these people wanawajulia watanzania na watatumia weak points zile zile kuwin over.
Chimbuko la haya yote ni mbongo wa kawaida hana self values. Wengi wanaishi kama parasite, hata makazini nikuongeleana majungu tu, watu wanaishi kwa kufanyiana fitna tu.
Ukianza kufatilia ukweli unaonekana mjuaji, kichomi, unajipendekeza kwa boss, yaani we don't even need to think about liberation kama sisi wenyewe hatuna self dignity ya kuwa na values zenye manufaa kwa ngazi ya familia.
Ain't no change, today or in the near future.
Angalia Mbowe now anaambatana na yule yule aliye muimprison mwenyekiti wake! That's a form of abuse and betrayal kwa wanachadema. Especially as for now Lissu is on the battle.
Je, what were the motives? Kujionesha kuwa chama anakivuruga or what? Unarudi kule kule we don't trust one another. Na hiyo ndo weak point adui anakwenda kuitumia as always.
Mtaletewa simba na yanga, mtafanywa kuwa addicted kwa drama ili mwendelee kusahau ya kuwa decisions zinazo endelea kufanya sio bomu kwenu tu, bali ni kwa vizazi vijavyo.
Je, kuna kitu naweza kufanya? Au unaweza kufanya?
Upande wangu, honestly siwezi. Siwezi kutoa uhai wangu for the mess created by the previous generation(not alone ever)
Nimeona niandike asubuhi before my thought pattern zichafuliwe na constant distractions.
In peace and light
de Gunner
Ni kuwa, watanzania(wamatumbi) culture na tabia zetu ambazo ziko ndani yetu zinatufunga. We've no common ground... Hakuna kitu "moja" ndani ya hii nchi.
Kwanza cheki katika level ya familia...
Kibongbongo hakuna umoja, Nakuhakikishia kuwa wengi hapa ukiwauliza unawaamini ndugu zako?
Utaskia ndugu ndo wachawi wangu, wanasubiri noanguke wanicheke! Au "ndugu sio wa kumwamini" it's like we've no trust from an original unit...
Je, unategemea we can afford to stand for this country?
Tunajidanganya tu, wengi wanakuja na propaganda mtandaoni ya kusapoti Lissu but truly it's wanakuwa fantasized na mechi ya kisiasa tu na nothing they are willing to do..
Unajua ni kwa nini hii nchi inamachawa na wanakubakika? Kwa sababu tumejokuta unafikiri na maisha ya kusubiri mwenzako adondoke huku ukimlamba kisogo imekuwa normalized.
Angalia media zinavyokimbiza kwenye umbea na unafikiri. No real genuine people kwenye hili li nchi.
Wamatumbi ni wajinga tu, that's it..
There's no point ya haya yote, Lissu hawezi kushinda, ataandikwa kwenye kumbukumbu tubalijitoa kwa ajili ya taifa, but these people wanawajulia watanzania na watatumia weak points zile zile kuwin over.
Chimbuko la haya yote ni mbongo wa kawaida hana self values. Wengi wanaishi kama parasite, hata makazini nikuongeleana majungu tu, watu wanaishi kwa kufanyiana fitna tu.
Ukianza kufatilia ukweli unaonekana mjuaji, kichomi, unajipendekeza kwa boss, yaani we don't even need to think about liberation kama sisi wenyewe hatuna self dignity ya kuwa na values zenye manufaa kwa ngazi ya familia.
Ain't no change, today or in the near future.
Angalia Mbowe now anaambatana na yule yule aliye muimprison mwenyekiti wake! That's a form of abuse and betrayal kwa wanachadema. Especially as for now Lissu is on the battle.
Je, what were the motives? Kujionesha kuwa chama anakivuruga or what? Unarudi kule kule we don't trust one another. Na hiyo ndo weak point adui anakwenda kuitumia as always.
Mtaletewa simba na yanga, mtafanywa kuwa addicted kwa drama ili mwendelee kusahau ya kuwa decisions zinazo endelea kufanya sio bomu kwenu tu, bali ni kwa vizazi vijavyo.
Je, kuna kitu naweza kufanya? Au unaweza kufanya?
Upande wangu, honestly siwezi. Siwezi kutoa uhai wangu for the mess created by the previous generation(not alone ever)
Nimeona niandike asubuhi before my thought pattern zichafuliwe na constant distractions.
In peace and light
de Gunner