Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,499
- 9,317
Wakuu ivi izi kampuni kama Yas, Vodacom au Airtel zimeshindwa kabisa kuweka utaratibu wa Kukopesha izi flagship smartphone kama Pixel 10, Iphone 17 au Samsung S26 kwa Mkopo?
Badala yake wanakopesha low end phone tu kama A series.
Kwanini wasiweke izo flagship ata kwa client kulipia upfront fulani?
Hawa brokers wanakopesha simu kwa kweli wanapiga sana watu kwa riba zao kubwa na sijui hata kama wako regulated na authorities au wanajiamulia tu
Badala yake wanakopesha low end phone tu kama A series.
Kwanini wasiweke izo flagship ata kwa client kulipia upfront fulani?
Hawa brokers wanakopesha simu kwa kweli wanapiga sana watu kwa riba zao kubwa na sijui hata kama wako regulated na authorities au wanajiamulia tu