Wakuu natoka msibani kwa mjomba wangu muda huu
Mjomba alikua mfanyabiashara alikua na upepo wa biashara ogopa,
Alikua akija kununua mzigo hadi yeye amalize ndo wengine wenye mitaji midogo midogo mtafafa
Alikua kwenye biashara kwa miaka zaidi ya kumi
Mala gafla kaanza kuumwa,peleka vipimo hospitali mgonjwa hana ugonjwa
Unatoka ugonjwa huu unakuja huu,shida nini haijulikani
Mala gafla uncle down,
Za chini chini zinasikika,
Tumezika,mjomba kaenda
Leo ndio nimejua ukiwa mtafutaji jua utafutaji wowote ni tangazo la VITA
Wakati wewe unatafuta jua kuna kundi lazima likutafute,usidharau chochote,iwe biashara,ufugaji,siasa,kazi za kuajiriwa na kujiajiri,ujenzi nk,binadamu sio marafiki zako
Ukipata muda omba sana,kama imani yako ni haba tembea sana kwa wazee
Namaanisha,kwenye ishu yoyote ya utafutaji ni lazima uwe katili,uwe imara kweli kweli,katili wa kiroho na katili wa mifumo,huwezi kufanikiwa na kusimama kwa muda mrefu kama ni mwepesi mwepesi
Mjomba alikua mfanyabiashara alikua na upepo wa biashara ogopa,
Alikua akija kununua mzigo hadi yeye amalize ndo wengine wenye mitaji midogo midogo mtafafa
Alikua kwenye biashara kwa miaka zaidi ya kumi
Mala gafla kaanza kuumwa,peleka vipimo hospitali mgonjwa hana ugonjwa
Unatoka ugonjwa huu unakuja huu,shida nini haijulikani
Mala gafla uncle down,
Za chini chini zinasikika,
Tumezika,mjomba kaenda
Leo ndio nimejua ukiwa mtafutaji jua utafutaji wowote ni tangazo la VITA
Wakati wewe unatafuta jua kuna kundi lazima likutafute,usidharau chochote,iwe biashara,ufugaji,siasa,kazi za kuajiriwa na kujiajiri,ujenzi nk,binadamu sio marafiki zako
Ukipata muda omba sana,kama imani yako ni haba tembea sana kwa wazee
Namaanisha,kwenye ishu yoyote ya utafutaji ni lazima uwe katili,uwe imara kweli kweli,katili wa kiroho na katili wa mifumo,huwezi kufanikiwa na kusimama kwa muda mrefu kama ni mwepesi mwepesi