Maisha Yanapokuwa Magumu:

Maisha Yanapokuwa Magumu:

Joined
Jul 8, 2024
Posts
13
Reaction score
21
Huenda wewe ni mfanyabiashara,

Mwajiriwa,

Au umeniajiri,

Huwa unafanya ninibunapoona gafla mambo yamebadilika?

kipindi hicho unafanyeje usikate tamaa na uendelee kupambana?

Mimi natumia njia hii;

- Kujitenga na kuliangalia swala kwa undani

- kujua kwa nini limetokea na mimi nimesababishaje hilo swala kutokea

Na mwisho,

- Naanza kuchukua hatua kurekebisha mambo.

Wewe huwa unafanyaje?
 
Ni vizuri pia japo si kila wakati, kutumia falsafa inayoeleza kuhusu punda mwenye njaa na kiu aliyesimama katikati kamili ya rundo la nyasi na ndoo ya maji (au marundo mawili yanayofanana ya nyasi), ambaye anakufa kwa njaa na kiu kwa sababu hana sababu ya kuchagua rundo moja badala ya lingine.


Kusudi ni kudhihirisha udhaifu wa dhana ya uhuru wa kuchagua (free will) na maadili pale ambapo chaguzi mbili zenye thamani sawa zinapokabiliwa na mtu au kiumbe.


Hapa panaonesha mantiki kamili isiyo na upendeleo inavyoweza kusababisha mtu kukwama kabisa na kushindwa kufanya uamuzi wowote (decision paralysis).


Fumbo hili limepewa jina la mwanafalsafa wa karne ya 14 wa Ufaransa, Jean Buridan, ingawa dhana yenyewe ilijadiliwa hata na wanafalsafa wa zamani kama Aristoteli.
 
Huenda wewe ni mfanyabiashara,

Mwajiriwa,

Au umeniajiri,

Huwa unafanya ninibunapoona gafla mambo yamebadilika?

kipindi hicho unafanyeje usikate tamaa na uendelee kupambana?

Mimi natumia njia hii;

- Kujitenga na kuliangalia swala kwa undani

- kujua kwa nini limetokea na mimi nimesababishaje hilo swala kutokea

Na mwisho,

- Naanza kuchukua hatua kurekebisha mambo.

Wewe huwa unafanyaje?
Kama ulichoandika hapa ni kweli "Mimi huwa nafanya hivi ......""
Basi hongera sanaaa.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom