Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

  • Closed
Nimebahatika kukutana na wanasiasa wetu kadhaa (chama tawala na upinzani) na nasikitika kubreak hii taboo ya kutosema lakini ukweli ni kuwa: -WENGI WAO NI WACHAFU -WANANUKA -HAWAVAI VIZURI...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Sitamani kuwa na Rais kama Mh JK …….Sitamani ! CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) “kimefunga ndoa” na mafisadi kwa kukataa kupokea ushauri wa kuwafukuza kutoka chama hicho. Taarifa iliyotolewa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Anger... LONDON, England (AP) -- Supermodel Naomi Campbell has been arrested at Heathrow Airport's Terminal 5 for allegedly spitting at a police officer, Sky News television reported Thursday...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari hii inasikitisha sana na nadhani kuna haja Bunge letu lifanye marekebisho ya sheria ya kujamihiana kwani imekuwa ni kawaida kwa akina mama kusingizia kubakwa wakati si kweli: Kwa habari za...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Stephen Wasira, akizungumza na waandishi wa habari alipotoa ripoti ya uchunguzi na maamuzi ya serikali kuhusu wakazi wa eneo la Tabata Dampo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapenzi wa ulabu, wanna make beer? Kama unasehemu poa na unataka kutengeza bia zako mwenyewe kamata..... RECIPE YA NGUVU!!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
PRESIDENT KIKWETE TO JOIN COMMISSION FOR EFFECTIVE DEVELOPMENT COOPERATION WITH AFRICA. The President of Tanzania, Jakaya Kikwete, has accepted an invitation to participate in the Commission...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ebwana wakuu, hicho kikundi cha Maigizo
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima Mbele, Jana wakati naangalia Kipindi cha straight Talk Africa katika VOA,nilipata kumsikia Mwandishi wa gazeti la Herald la Zimbabwe(obi_ ambaye alikuwa akimtetea sana Mugabe,hata kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ama kweli sasa JF tunaset the agenda. Baada ya kumcriticise JK na slow response yake kuhusu JANGA LA KITAIFA amefanya kama nilivyomwambia: 1) Avae parka jaket -TIK 2) Aongozane na mkewe- 0 3)...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
JK amesema amesikitishwa sana na wana CUF kujitoa katika muafaka wa kisiasa visiwani ZNZ.Hivi ni kauli ambayo President alistaili kuitoa katika hotuba yake ya jana?Mimi nauliza hivi hiyo kamati ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii ni sehemu ya makala iloandikwa katika gazeti la Tanzania Daima la Julai 2,2008. La kujiuliza ni jee mawazo ya mwandishi yanaweza kuwa kweli ukitilia maanani maamuzi ya CCM Butiama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa chama upinzani (CUF), Seif Shariff Hamad, ambaye ameondoka nchini kwenda nchi za Ulaya ambako inadaiwa atakishtaki chama tawala (CM) kwa kuzorotesha muafaka wa kisiasa Zanzibar...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Number of Muslims ahead of Catholics, says Vatican Tom Kington in Rome The Guardian, Monday March 31 2008 The number of Muslims has overtaken that of Roman Catholics for the first...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wana JF, Heshima Mbele !! Nafikiri tuna la kujifunza kutoka kwa wenzetu ambapo sisi tunakanyaga pale wao walipopita. DUBLIN, Republic of Ireland (AP) -- Irish Prime Minister Bertie...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
What was this golf phenomom thinking alipofanya hii pozi!!! http://www.eastafricayote.com/showthread.php?t=1938
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesikia kwenye vyombo vya habari kwamba mkuu wa mkoa wa Mara kachanga 20m kwenye harambee ya Ccm kukusanya fedha kwa ajili jengo la CCM mkoa wa mara. Hii siyo haki kwani naamini fedha hizo...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
CUF yailaani CCM na Asha Bani na George Maziku Tanzania Daima~Sauti ya Watu CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeeleza kushtushwa, kusikitishwa na kukatishwa tamaa na tamko la Halmashauri Kuu ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wana JF,nimesoma habari hii kutoka gazeti la Mtanzania na kuhisi kua hela zimeniishia mfukoni gafla. Najiuliza hivi uzembe serekalini utaisha lini? Bomoa bomoa hii ilikiuka mambo mengi ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kuvunja mwafaka na kuwasamehe mafisadi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…