Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 825
Ama kweli sasa JF tunaset the agenda. Baada ya kumcriticise JK na slow response yake kuhusu JANGA LA KITAIFA amefanya kama nilivyomwambia:
1) Avae parka jaket -TIK
2) Aongozane na mkewe- 0
3) Jamaa wa Emergency response wapeleke misaada -o
So far kama kawaida yake COMMANDER IN CHIEF wetu inaonekana harespond kitu mpaka tumsukume humu. Janga tangu limetokea imemchukua RAIS more than 72 hours kwenda Mererani
So far tumemwona waziri wake akiwa site anwaapa instructions madereva badala kuwaachia hao wenye kazi zao waendelee
sasa basi baada ya Janga hili tunaomba :
1) WAZIRI HUSIKA asubmit resignation yake
2) TUELEZWE KWA NINI IMEMCHUKUA JK muda wote huko kufika Mererani
3) TUAMBIWE kama vikao vya CCM ni bora kuliko janga la kitaifa
Once again wana JF hongereni na sie wengine tunarudi kule kwenye issue ya Comoro ambayo as days go by JK na timu yake wanaonekana ni ma-incompetents at best!
Tukimaliza hiyo tunaingia kwenye ya Waziri wa Fedha (MUSTAFA MKULLO) na vyeti vyake feki
1) Avae parka jaket -TIK
2) Aongozane na mkewe- 0
3) Jamaa wa Emergency response wapeleke misaada -o
So far kama kawaida yake COMMANDER IN CHIEF wetu inaonekana harespond kitu mpaka tumsukume humu. Janga tangu limetokea imemchukua RAIS more than 72 hours kwenda Mererani
So far tumemwona waziri wake akiwa site anwaapa instructions madereva badala kuwaachia hao wenye kazi zao waendelee
sasa basi baada ya Janga hili tunaomba :
1) WAZIRI HUSIKA asubmit resignation yake
2) TUELEZWE KWA NINI IMEMCHUKUA JK muda wote huko kufika Mererani
3) TUAMBIWE kama vikao vya CCM ni bora kuliko janga la kitaifa
Once again wana JF hongereni na sie wengine tunarudi kule kwenye issue ya Comoro ambayo as days go by JK na timu yake wanaonekana ni ma-incompetents at best!
Tukimaliza hiyo tunaingia kwenye ya Waziri wa Fedha (MUSTAFA MKULLO) na vyeti vyake feki