akili za watanzania zinafurahisha sana

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,886
kuna hili la sehemu kubwa ya jiji la daresalaam na miji mingine kuona
watu wengi wamejenga kiholela maeneo yasiyopimwa.
sasa kinachonishangaza ni kuwa mpaka viongozi wa ngazi za uwaziri
nao unakuta wamejenga maeneo ya skwata....
yaani vitongoji vikubwa kama kimara na mbagala.vyote hivyo ni skwata area,

na unakuta baadhi ya wanaojenga huko ni maofisa wa MIPANGO MIJI au
maofisa wa wizara ya ardhi,,,,,

hivi mtu kwenda chuo kikuuu na bado ukaenda kujenga maeneo yasiyopimwa maana yake nini????

eti njellu kasaka ana nyumba mbagala.na wengine wengi

yaaan eti maeneo ya viwanda vya nondo na kiwanda cha nguo
mbagala cha ktm yote hayo ni skwata,,,,,
na hakuna hata mtu mmoja aneona hilo ni tatizo
 
Hawakupenda wao wenyewe, ni msukumo wa maisha tu!... Imefika mahala tuheshimu informal settlements!
 
What is the problem? maeneo mengine ni urithi, nk..ukisubiri kupimiwa na serikali huwezi jenga bongo...na bei za viwanja vilivyopimwa iko juu sana.
 
What is the problem? maeneo mengine ni urithi, nk..ukisubiri kupimiwa na serikali huwezi jenga bongo...na bei za viwanja vilivyopimwa iko juu sana.
Yap, zaidi kuna ukiritimba, ongezeko kubwa la mahamiaji mijini na ukosefu wa watendaji pamoja na ukosefu wa vifaa.

Cha msingi hata hao wanaojenga katika maeneo yasiyopimwa rasmi, ni kujaribu kujenga katika utaratibu ambao utatoa nafasi ya kutona ujenzi holela kama kero miongoni mwao, kama kuachiana nafasi ya kutosha kati ya nyumba na nyumba, kuacha nafasi ya kutosha kwa njia ya magari na miundo mbinu mengine.

Yapo baadhi ya maeneo ambayo yanatambuliwa kama ni ya ujenzi holela, hata hivyo sio rahisi kuhisi kama maeneo hayo hayakuwahi kupimwa. Hii kwa upande mmoja imesababisha serikali kuu kuona umuhimu wa kuyakubali kama maeneo yaliyopimwa.
 
hebu fananua zaidi!

hakuna sababu hata moja inayoweza halalisha watu kujenga
ovyo ovyo,,,,,,,,,,,ni ishara kuwa matatizo yetu sio tu
yanasababishwa na uongozi mbovu bali na akili zetu kwa ujumla.
 
Wewe bana kila kitu unatetetea tu, au kwa sababu upo ughaibuni?
Sio kutetea kila kitu, hebu cheki kichwa cha thread na thread yenyewe! Sio kweli kwamba ujenzi holela ni kutokana na akili za kufurahisha za Watanzania. Binafsi naona kusema hivyo ni kuwatusi watz wote!
 
sio kutetea kila kitu, hebu cheki kichwa cha thread na thread yenyewe! Sio kweli kwamba ujenzi holela ni kutokana na akili za kufurahisha za watanzania. Binafsi naona kusema hivyo ni kuwatusi watz wote!

watu wote walio jenga maeneo yasiyopimwa wana matatizo
ya mentality........ukiritimba sio sababu

mimi sina mjomba wala shangazi serikalini but nimeweza
kujenga eneo lililopimwa....sasa nikiona watu ambao
wengine ni mawaziri na maofisa wa ardhi wanajenga maeneo yasiyopimwa i simply dont get it.
 
hakuna sababu hata moja inayoweza halalisha watu kujenga
ovyo ovyo,,,,,,,,,,,ni ishara kuwa matatizo yetu sio tu
yanasababishwa na uongozi mbovu bali na akili zetu kwa ujumla.
Tatizo la kupangiwa kila kitu na serikali kwa namna moja ama nyingine limechangia sana kuwepo kwa ujenzi holela. Hili limefanyiwa kazi na sasa ni jukumu la wananchi kujipangia mambo yao ikiwa ni pamoja na ujenzi kwa kuishirikisha tu serikali.

Hili lilionekana baada kupitishwa kwa Agenda 21. Na kwa kupitia kwa agenda hiyo wananchi wanawajibika kujipangia miji yao. Suala la uongozi mbovu halina nafasi tena katika karne hii!
 
Nani anayetakiwa kupima eneo?
Mwenye eneo/serikali au? mimi sioni incentive yeyote kupima eneo la urithi ambalo nimeshajenga naishi (umeme kila kitu kipo)...
Isitoshe inachukua au inahitajika a junk amount of money...sioni tatizo lolote..kama serikali itapima na kutoa viwanja kwa wenyeji for reasonable price (affordable)....
Wapimaji wako wamelala 50 years back wananchi wanajenga ...kwa kasi kubwa..
 
Sikia..."you won't get it" because you are not them and you don't want to see their perspective. Do you know how it takes to get title deed from the time of application ??

Just because umejenga sehemu iliyopimwa....usikurupuke tu na kutusi watu wote.

Tatizo ni kwamba the demand for planned areas is much much higher than what the govt can accommodate. This coupled with too much bureaucracy leads to resorting to "how we do things in here" syndrome - build first plan later.
 
watu wote walio jenga maeneo yasiyopimwa wana matatizo
ya mentality........ukiritimba sio sababu

mimi sina mjomba wala shangazi serikalini but nimeweza
kujenga eneo lililopimwa....sasa nikiona watu ambao
wengine ni mawaziri na maofisa wa ardhi wanajenga maeneo yasiyopimwa i simply dont get it.


Sikia..."you won't get it" because you are not them and you don't want to see their perspective. Do you know how it takes to get title deed from the time of application ??

Just because umejenga sehemu iliyopimwa....usikurupuke tu na kutusi watu wote.

Tatizo ni kwamba the demand for planned areas is much much higher than what the govt can accommodate. This coupled with too much bureaucracy leads to resorting to "how we do things in here" syndrome - build first plan later.
 
sikia..."you won't get it" because you are not them and you don't want to see their perspective. Do you know how it takes to get title deed from the time of application ??

Just because umejenga sehemu iliyopimwa....usikurupuke tu na kutusi watu wote.

Tatizo ni kwamba the demand for planned areas is much much higher than what the govt can accommodate. This coupled with too much bureaucracy leads to resorting to "how we do things in here" syndrome - build first plan later.

hujanielewa kabisa....kwa mtu wa kawaida akisema beauracracy ndo tatizo.......may be.....but what about watu ambao
ni waheshimiwa??????au mtu anafanya kazi wizara ya ardhi but
still anajenga holela.....
 
Ndugu, upimaji wa maeneo haufanywi kiholela kwamba fulani waziri apimiwe sehemu yake, halafu kesho fulani naye apimiwe. Ninavyofahamu, upimaji unafanywa kwa kupiga picha eneo, plan ya eneo, halafu ndio zoezi la ugawaji wa viwanja linafanyika.

Tatizo lililopo ni kwamba serikali haina uwezo wa kupima viwanja vingi kwa mpigo na pia haijafanya juhudi ya kutatua tatizo.

Mpaka mwaka 2004, serikali ilikuwa na uwezo wa kupima viwanja 20,000 kwa mwezi kwa Dsm peke yake, wakati demand ya viwanja ilikuwa zaidi ya 300,000. Ninavyofahamu, mara ya mwisho zoezi la upimaji wa viwanja kwa Dsm ni lile la mwaka 2003/2004 kwa viwanja vya Mbweni/Boko (Kndoni) na baadhi ya maeneo Temeke.

Hata kama waziri angepimiwa kiwanja, kuna mawaziri wangapi bongo ? Tunakuwa tumetatua tazizo au tunalilea ?

Binafsi nimeshaenda wizarani na kukumbana na milongolongo ya ukiritimba. Mwaka 2004 nilitaka kupima kiwanja, na ofisa wa ardhi K'ndoni alitaka nimpe angalau laki nane kwa yeye binafsi (800K) ili tu afanye processing ya makaratasi yangu,na ilinibidi baada ya hapo nilipe charge nyingine zote za serikali. Bahati mbaya sana sikufanya hivyo...na nakuhakikishia kati ya 2004 na leo hakuna kilichobadilika kwenye ofisi ya Kndoni.

Sasa, don't personalize the problem. Look at it holistically and try to find the root cause. For me the root cause is the in system. We need to break the bureaucracy in the land offices/ministry, increase capacity and let the people do their job that they are paid to do, and not waiting to ask for "extra" payment and favors for the jobs that they are supposed to be doing in the first place.
 
Ndugu, upimaji wa maeneo haufanywi kiholela kwamba fulani waziri apimiwe sehemu yake, halafu kesho fulani naye apimiwe. Ninavyofahamu, upimaji unafanywa kwa kupiga picha eneo, plan ya eneo, halafu ndio zoezi la ugawaji wa viwanja linafanyika.

Tatizo lililopo ni kwamba serikali haina uwezo wa kupima viwanja vingi kwa mpigo na pia haijafanya juhudi ya kutatua tatizo.

Mpaka mwaka 2004, serikali ilikuwa na uwezo wa kupima viwanja 20,000 kwa mwezi kwa Dsm peke yake, wakati demand ya viwanja ilikuwa zaidi ya 300,000. Ninavyofahamu, mara ya mwisho zoezi la upimaji wa viwanja kwa Dsm ni lile la mwaka 2003/2004 kwa viwanja vya Mbweni/Boko (Kndoni) na baadhi ya maeneo Temeke.

Hata kama waziri angepimiwa kiwanja, kuna mawaziri wangapi bongo ? Tunakuwa tumetatua tazizo au tunalilea ?

Binafsi nimeshaenda wizarani na kukumbana na milongolongo ya ukiritimba. Mwaka 2004 nilitaka kupima kiwanja, na ofisa wa ardhi K'ndoni alitaka nimpe angalau laki nane kwa yeye binafsi (800K) ili tu afanye processing ya makaratasi yangu,na ilinibidi baada ya hapo nilipe charge nyingine zote za serikali. Bahati mbaya sana sikufanya hivyo...na nakuhakikishia kati ya 2004 na leo hakuna kilichobadilika kwenye ofisi ya Kndoni.

Sasa, don't personalize the problem. Look at it holistically and try to find the root cause. For me the root cause is the in system. We need to break the bureaucracy in the land offices/ministry, increase capacity and let the people do their job that they are paid to do, and not waiting to ask for "extra" payment and favors for the jobs that they are supposed to be doing in the first place.


wewe unaonea kiushabiki zaidi......
hivyo viwanja vya boko vilitangazwa mpaka kwenye maonesho ya sabasaba na watu hamkwenda kujiandikisha.au ni lazima wakupimie
cha kwako??????
kwa nini hukwenda kununua hivyo vya boko??????
 
Back
Top Bottom