Hivi wadau kuna kipindi tulisikia kuwa yule jamaa aliyekuwa anaendesha mtandao wa ZE UTAMU uliojizolea umaarufu mkubwa wakati ule alikamatwa na kurejeshwa Bongo ili ashtakiwe, sasa yule jamaa...
Serikali kupitia idara ya Habari Maelezo kwa mamlaka ya kisheria aliyopewa waziri imelifungia gazeti la Kulikoni kwa siku 90 kwa kuandika habari ambazo zimeligusa jeshi la ulinzi la wananchi wa...
Watu wengi duniani wameshuhudia mvuto wa Qingdao kutokana na mji huo kuandaa michezo ya mashua yenye matanga mjini humo wakati wa michezo ya Olimpiki ya Beijing mwaka 2008. Baada ya kufanyika kwa...
Kuna Thread moja ameianzisha Pakajimmy ya waziri wa Kenya anaitwa Njonjo ambaye hapandi ndege inayoendeshwa na mswahili na anajuta kuzaliwa mswahili, tukija katika swali langu la manjojo, hili...
Is this true?
Power=work done/Time
Knowledge is power i.e. Knowledge=power, Therefore by substitution
Knowledge=work done/Time
But Time is money,i.e. Time=Money This becomes
Knowledge=Work...
Equations! One of the best; I have read in a LONG time
Equation 1
Human = eat + sleep + work + enjoy
Donkey = eat + sleep
Therefore:
Human = Donkey + Work + enjoy
Therefore...
asaalam aleykhum al jamia, nimekua nafikiria kusomea mass communication na ningependa kusoma out of Tz, sanasana US, kwa wenye taarifa semister huanza lini huko na process ziko vipi za kuapply...
Pombe za Bure Kwa Wanaojitolea Damu
Wednesday, January 13, 2010 5:22 PM
Benki moja ya damu ya Marekani imeanzisha kampeni ya 'Toa Damu Pata Bia' ambapo watu wanaojitolea damu watapewa pombe za...
Hapa Tanzania Serikali za mitaa ni dhaifu. Ni wangapi kati yetu ambao tunamfahamu diwani wetu ni nani.
Nimeona USA jinsi ambavyo sheria a mitaa zinawekwa kwamba hairuhusiwi kupigana ndani ya...
it has been like a tradition worldwide that the media houses support each other especially during bad times. But to my utter dismay after the suspension of local investigative paper Kulikoni i...
Polisi jamii ni ile hali ya maisha ya usalama wa raia kwa ushirikiano baina ya polisi na raia (ambao ndio wanalindwa na polisi). Elimu ya kujiunga na jeshi hilo isiwe kuanzia kidato cha nne...
1. If time doesn't wait for you, don't worry! Just remove the damn battery from the clock and Enjoy life!
2. Expecting the world to treat you fairly because you are a good...
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imekumbwa na kashfa ya Daktati feki anayetibu na kutapeli watu fedha.
Jamani hivi tutafika kweli kwa hali hii???? Mwenyezi Mungu linusuru Taifa la Tanzania kwa...
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imeingia katika kashfa mpya baada ya mtu mmoja kubainika akitoa huduma za kidaktari na kuwatapeli fedha wagonjwa kwenye hospitali hiyo.
Tayari mtu huyo, ambaye...
WANAKWAYA watatu wa Kanisa la African Inland Tanzania (AICT) Mlimani Sayuni wilayani Kahama, katika mkoa wa Shinyanga, wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya baada ya kutwangana makonde wakigombea...
Rufa ya mwanamziki Babu seya inatarajiwa kuanza kusikilizwa 30 /11/2009, na itakuwa chini ya majaji 4, akiwemo yule aliyesikiliza kesi ya zombe na wenzake,
-Nani anaweza kubashili...
Furaha Kijingo na Festo Polea
TAASISI mbalimbali, vyuo, vituo vya watoto yatima na watu binafsi jana vilikwamisha kazi ya ugawaji wa zaidi tani ya 100 za samaki waliovuliwa kinyume cha sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.