In certain extreme situations, the law is inadequate. In order to shame its inadequacy it is necessary to act outside the law to pursue natural justice.
Cabby drives hours to return lost 10G
He went the extra mile.A broke but honest cabby spent his Christmas Eve driving back and forth to Long Island to find the...
Nimelazimika kujiuliza swali hili kwamba vyombo vya habari vya Mengi ni fimbo inayotumika kuwachapa watanzania?
Leo Itv ilikuwa na kipindi kilichorushwa kujadili mustakabali wa taifa na kilikuwa...
Dah
Huyu 'dokta' inasemekana amekuwa akitibu wagonjwa pale Muhimbili bila kuwa na ajira wala kufahamiKa na mtu yeyote kwa kipindi kidogo...Wafanyakazi na wagonjwa wamekuwa wakimlalamikia kuwa...
Hivi jamani kila siku magazeti yanatangaza kuhusu hawa watu matapeli ambao wanatumia ujanja wa kuwalaghai watu kwamba wanafanya biashara! Hawa matapeli huja na 'gia' kwamba uwape pesa fulani...
Salaam Wana JF,
Hivi Mawaziri wetu sio Watumishi wa Umma? Na kama sio Watumishi wa Umma, kwanini wanalipwa mishahara yao na Serikali kuu? Na kama ni ndiyo, kwanini wanaruhusiwa kujihusisha na...
matokeo ya kidato cha pili 2009 yametoka ambapo 35% ya watahiniwa wote wamefeli,
Nini maoni yako.
Soma Pia:
Matokeo ya Kidato cha pili-2011
Matokeo kidato cha pili hatimae yatolewa, mkoa wa...
....kwa muda nimekuwa nikilalamika kuwa hatuna local based FM station ambayo tunaweza kusikiliza on line apart from Radio Maria,na inaonekana kuwa vijana wa arusha wamekuja kututoa kimasomaso,(i...
KIKWETE ANGOJEA HISANI YA MAKADA
Wakati miezi takribani tisa imebaki kabla ya uchaguzi mkuu,jahazi la mkuu wa nchi inaonekana kupoteza nguvu katika chama na hata makundi ya kijammii...
Wadau hii ishu ya profesa Baregu kunyimwa mkataba mi sijailewa hasa ina misingi ipi! Baregu hakupewa mkataba mpya wa ajira kama ilivyokuwa kwa wahadhiri wengine waliostaafu kama yeye.
Kwa...
Kampuni ya Yono ambayo ni kampuni ya udalali na ile ya Majembe zote zinamilikiwa na wana CCM Maslahi.Wakati Yono inamilikiwa na Mbunge wa Njombe Magharibi, Yono Kevela. Majembe inamilikiwa na Seth...
HIVI karibuni Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) waliingia mkataba na kampuni ya udalali ya Majembe Auction Mart ili iwasaidie kusimamia biashara ya usafirishaji wa abiria jijini...
Alfred Nchimbi afuata nyayo za Waziri Emmanuel Nchimbi. Soma mahojiano yake hapa http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=12095 na Tanzania Daima
Nimejiunga na jamii forums tangu mwezi wa tisa,
lakini kuna kitu nimejifunza hapa jamvini.
Kuna watu thread zao hata kama sio za moto zitaopewa thanks kibao, hadi utashangaa.
Nyani Ngabo...
Hili pengine linaweza kusaidia kupunguza ongezeko la ukimwi nchini ebu tusaidiane jamani lipi bora kati ya hayo at keast madada zetu wawezekumaliza vyuoni bila kuogopa kwenda kupima ngoma
ipi...
MKAZI wa Ukonga Mombasa, Charles David Shauritanga (31) leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo ya Samora pamoja na Mahakama ya Wilaya ya Ilala na kusomewa mashtaka tofauti likiwemo...
Date::11/11/2008
Matajiri CCM wazidi kubanwa
Na Ramadhan Semtawa, Dodoma
Mwananchi
KAULI ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete kutaka wanachama wachague siasa au...
Kwa wale waliobahatika kusoma gazeti la Tanzania Daima la jana tarehe 13/01/2010 nadhani mtakuwa mlibahatika kusoma makala ya Mwalimu mkuu wa watu bwana Mayega yenye kichwa cha habari 'RAISI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.