Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

“In certain extreme situations, the law is inadequate. In order to shame its inadequacy it is necessary to act outside the law to pursue natural justice.”
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cabby drives hours to return lost 10G He went the extra mile.A broke but honest cabby spent his Christmas Eve driving back and forth to Long Island to find the...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
  • Closed
Nimelazimika kujiuliza swali hili kwamba vyombo vya habari vya Mengi ni fimbo inayotumika kuwachapa watanzania? Leo Itv ilikuwa na kipindi kilichorushwa kujadili mustakabali wa taifa na kilikuwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Dah Huyu 'dokta' inasemekana amekuwa akitibu wagonjwa pale Muhimbili bila kuwa na ajira wala kufahamiKa na mtu yeyote kwa kipindi kidogo...Wafanyakazi na wagonjwa wamekuwa wakimlalamikia kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi jamani kila siku magazeti yanatangaza kuhusu hawa watu matapeli ambao wanatumia ujanja wa kuwalaghai watu kwamba wanafanya biashara! Hawa matapeli huja na 'gia' kwamba uwape pesa fulani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam Wana JF, Hivi Mawaziri wetu sio Watumishi wa Umma? Na kama sio Watumishi wa Umma, kwanini wanalipwa mishahara yao na Serikali kuu? Na kama ni ndiyo, kwanini wanaruhusiwa kujihusisha na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
matokeo ya kidato cha pili 2009 yametoka ambapo 35% ya watahiniwa wote wamefeli, Nini maoni yako. Soma Pia: Matokeo ya Kidato cha pili-2011 Matokeo kidato cha pili hatimae yatolewa, mkoa wa...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
....kwa muda nimekuwa nikilalamika kuwa hatuna local based FM station ambayo tunaweza kusikiliza on line apart from Radio Maria,na inaonekana kuwa vijana wa arusha wamekuja kututoa kimasomaso,(i...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KIKWETE ANGOJEA HISANI YA MAKADA Wakati miezi takribani tisa imebaki kabla ya uchaguzi mkuu,jahazi la mkuu wa nchi inaonekana kupoteza nguvu katika chama na hata makundi ya kijammii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau hii ishu ya profesa Baregu kunyimwa mkataba mi sijailewa hasa ina misingi ipi! Baregu hakupewa mkataba mpya wa ajira kama ilivyokuwa kwa wahadhiri wengine waliostaafu kama yeye. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kampuni ya Yono ambayo ni kampuni ya udalali na ile ya Majembe zote zinamilikiwa na wana CCM Maslahi.Wakati Yono inamilikiwa na Mbunge wa Njombe Magharibi, Yono Kevela. Majembe inamilikiwa na Seth...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jamani hizi danadana zitaisha lini ili wawaambie watanzania ukweli kwamba kuhamia Dodoma imeshindikana?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HIVI karibuni Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) waliingia mkataba na kampuni ya udalali ya Majembe Auction Mart ili iwasaidie kusimamia biashara ya usafirishaji wa abiria jijini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Alfred Nchimbi afuata nyayo za Waziri Emmanuel Nchimbi. Soma mahojiano yake hapa http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=12095 na Tanzania Daima
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimejiunga na jamii forums tangu mwezi wa tisa, lakini kuna kitu nimejifunza hapa jamvini. Kuna watu thread zao hata kama sio za moto zitaopewa thanks kibao, hadi utashangaa. Nyani Ngabo...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Hili pengine linaweza kusaidia kupunguza ongezeko la ukimwi nchini ebu tusaidiane jamani lipi bora kati ya hayo at keast madada zetu wawezekumaliza vyuoni bila kuogopa kwenda kupima ngoma ipi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MKAZI wa Ukonga Mombasa, Charles David Shauritanga (31) leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo ya Samora pamoja na Mahakama ya Wilaya ya Ilala na kusomewa mashtaka tofauti likiwemo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Date::11/11/2008 Matajiri CCM wazidi kubanwa Na Ramadhan Semtawa, Dodoma Mwananchi KAULI ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete kutaka wanachama wachague siasa au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wale waliobahatika kusoma gazeti la Tanzania Daima la jana tarehe 13/01/2010 nadhani mtakuwa mlibahatika kusoma makala ya Mwalimu mkuu wa watu bwana Mayega yenye kichwa cha habari 'RAISI...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Wadau, Natafuta profile ye Mkuu wa Mkoa wa Arusha Ndg. Isidore Shirima. Mwenye nayo naiomba. Shadow
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Back
Top Bottom