Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Nakumbuka zama hizo (sina hakika na sasa) ukiingia kwenye nyumba ya mtu Unakutana na maandishi " mgeni karibu nyumbani uyaonayo na kuyasikiayo hapa yaishie hapahapa". Hii ni karibu kweli? Hivi maandishi haya yanamanufaa yoyote? Pamoja na maswali hayo hebu tujikumbushe maandishi ambayo hukutana nayo katika nyumba zetu.