Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wpendwa kuna ma traffick hapa karibu na airport wao wako kama 7-10 wamekuwa wakijikusanya na kukaa nje ya geti la kampuni ya pepsi hapa kidogo karibu ya kituo cha airport kuelekea mjini...jamani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, Jana kupitia TBC Taifa nilimsikia Mkulima mmoja wa Korosho akisema kuwa hawajui ni umbali gani unatakiwa uwepo kati ya mkorosho mmoja na mwingine wakati wa kupanda. Habari hii kwa kweli...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Miaka Mitano Iliyopita Viongozi wa Afrika Walikubaliana kwa Kauli Moja Kuwa Ifikapo Mwaka 2020 KISWAHILI ndiyo itakuwa Lugha Kuu ya Afrika. Je Hilo Litawezekana??? na Je Tanzania Tunafanya Nini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Dear Customer. In respect to this email, we have been awaiting for you to contact us for the delivery of your Bank Draft of $800, 000,USD . (Eight Hundred Thousand United States Dollars)...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi inachukua siku ngapi hawa watuwa RAIA MWEMA na MWANAHALISI kuweka habari mpya kwenye websites zao?? Tunanyimwa uhondo na haki yetu ya kupata habari sisi tusioweza kuaccess hard copies za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I was watching documentary called unreported world in channel 4 in uk. They said Chinese diplomats illegally purchased and exported ivory by misusing diplomatic immunity in 2009. full link and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mtanzania mwenye asili ya Asia, Safina Khan, amefikishwa mahakamani hii leo huku Uingereza kwa mashtaka ya 'human trafficking' - alimleta mama wa miaka 47 kuja kumsaidia kazi za nyumbani lakini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Doctor who 'trafficked' Tanzanian woman is first person charged with modern-day slavery By Daily Mail Reporter 10th September 2010 A doctor has become the first person in the UK...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
eid mubarak to all my muslim brothers n sisters and may allah accept our fasts inshaallah n let not kill all the fadhlas of ramadhan within the first day of shaawal...lets remember thatno one is...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
...Hainiiingii kabisa akilini kuamini kwamba wasomi wote mlioko CCM mnakubali kwamba mikutano wa hadhara inatosha kuwaelezea wapiga kura wenu sera zenu...... Ni kweli au ndo mnaogopa Mzee...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mdogo wangu anauza viuma chakavu hapa jijini Dar.Mpemba ni miongoni mwa vijana wake wanaopima chuma ofisini kwake. Huyu mpemba alisema, pemba kuna viuma chakavu kibao. mdogo wangu akawapa pesa...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Nadhani trafiki wote wa jiji hili wangekua kama huyu katika uongozaji wa magari baaaasi folen ingekua haiumizi hata kidogo Huyu dada mara nyingi yuko hapa Ubungo mataa,yani yuko fast, akiwepo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nikiwa Mbeya mwanzoni mwa mwezi wa sita Halmashauri ya jiji kupitia kwa mkurugenzi wake waliwataangazia wakazi wa Mbeya kwamba sehemu iliyokuwa inaitwa Stela farm (Iwambi) itagawiwa viwanja kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika pita pita zangu nilibahatika kuona tangazo linalotangaza chuo kikuu kimoja maarufu sana hapa nchini kwetu. Tunaweza kuchangia mapungufu yaliyomo kwenye attachment ambayo ni picha ya bango...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The Dove World Outreach Center, a non-denominational church founded in Gainesville, Fla., in 1986, has outlined its plans on its website and Facebook page. It says the burnings will be held on...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Wakuu kwa wenye uzoefu, Je mtu akiwa na Tshs. 100 milioni anaweza kujenga nyumba ya vyumba 4 ya ghorofa moja?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
WAKUU kuna tatizo kubwa la mtandao wa TRA kwa zaidi ya siku tatu sasa na watu ambao walikua watoe mizigo tokea juzi hadi sasa wamekwama na watalazimika kulipia storage wenyewe na hata kupata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna watanzania wengi sana wanaonewa na kunyanyaswa na wawekezaji kutokana na wawekezaji kubebwa na watawala. Katika hali ya kawaida, siyo kawaida mtu aende nchi ya ugenini halafu akawafanyie...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Profile: Name: Mwakibete, Jacob Born place: Mwakaleli, Mbeya Born date: 20 June (nimetunga tu hapa) Hometown: Seoul, Korea Hivi mtu kama huyu unamwelewaje? Mtu kama huyu ukimtajia neno 'NDUKI'...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi naomba kuuliza kwanini tumekuwa tukitozwa kodi mara mbili katika bidhaa moja na katika nchi moja??Mathalani unanua gari Zanzibar unalipia ushuru wote TRA zanzibar lakini ukija na basi pale...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…