KakaKiiza
Platinum Member
- Feb 16, 2010
- 11,948
- 9,464
Hivi naomba kuuliza kwanini tumekuwa tukitozwa kodi mara mbili katika bidhaa moja na katika nchi moja??Mathalani unanua gari Zanzibar unalipia ushuru wote TRA zanzibar lakini ukija na basi pale malindi gari haitoki mpaka wakupigie hesabu nyingine tena wanakwambia system yao inaitwa (sycuda)Kama ni miss spell lakini nadhani nitakuwa nimeeleweka!!Unatoa tena pesa kuinusuru gari isipigwe mnada!!Je nikwanini serikali inafanya malipo mara mbili katiaka bidhaa moja na katika nchi moja??