kisasangwe
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 292
- 52
Nadhani trafiki wote wa jiji hili wangekua kama huyu katika uongozaji wa magari baaaasi folen ingekua haiumizi hata kidogo
Huyu dada mara nyingi yuko hapa Ubungo mataa,yani yuko fast, akiwepo yeye watu hatuogopi foleni manake ni mambo ya chap chap. Watumiaji wa njia hiyo nadhani wanamfahamu. Huwepo mida ya asubuhi mara nyingi. Naomba wenye kumfahamu wanifikishie salaam. Aambiwe ananifurahisha.