Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
Miaka Mitano Iliyopita Viongozi wa Afrika Walikubaliana kwa Kauli Moja Kuwa Ifikapo Mwaka 2020 KISWAHILI ndiyo itakuwa Lugha Kuu ya Afrika. Je Hilo Litawezekana??? na Je Tanzania Tunafanya Nini Kuhakikisha Ndoto Hiyo Inatimia??