Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,949
- 22,107
Wpendwa kuna ma traffick hapa karibu na airport
wao wako kama 7-10 wamekuwa wakijikusanya na kukaa nje ya geti la kampuni ya pepsi
hapa kidogo karibu ya kituo cha airport kuelekea mjini...jamani cha ajabu sio hivyo
wameagiza gari la breakdown kabisa hii ni aibu kwa taifa...wakikukamata wanakupeleka
ni kama sehemu ya maficho unatoa hela unaondoka ....jamani hizi rushwa live mpaka lini jamani
binafsi mnatia aibu hata kama mshara mdogo jamani embu jiheshimuni...wengine wako pale tazara
kwenye mataa yuaani hawa ni maharamia kabisa wamenunua na magari yao wakikamata
wanakupeleka kwenye magari yao ya tinted unatoa hongo unaondoka...ajabu folen zimejaa unakuta
wamejazana na makonda na madereva wakiwapa buku 3 5 inategemea mlivyoelewana
jamani hii aibu mpaka lini???
wao wako kama 7-10 wamekuwa wakijikusanya na kukaa nje ya geti la kampuni ya pepsi
hapa kidogo karibu ya kituo cha airport kuelekea mjini...jamani cha ajabu sio hivyo
wameagiza gari la breakdown kabisa hii ni aibu kwa taifa...wakikukamata wanakupeleka
ni kama sehemu ya maficho unatoa hela unaondoka ....jamani hizi rushwa live mpaka lini jamani
binafsi mnatia aibu hata kama mshara mdogo jamani embu jiheshimuni...wengine wako pale tazara
kwenye mataa yuaani hawa ni maharamia kabisa wamenunua na magari yao wakikamata
wanakupeleka kwenye magari yao ya tinted unatoa hongo unaondoka...ajabu folen zimejaa unakuta
wamejazana na makonda na madereva wakiwapa buku 3 5 inategemea mlivyoelewana
jamani hii aibu mpaka lini???