Usiku wa kuamkia jana(yaani juzi) ofisi za Global Publishers zilivamiwa! Mara baada ya uvamizi huo walimteka mlinzi na kumfunga kamba kisha kuondoka naye na kwenda kumtupa maeneo ya kurasini...
Kile kijiwe cha mabishoo na watoto wa vigogo kimefia wapi? Naona wanachama wengi wa kile kijiwe wamehamia hapa. Pumba za walizokuwa wanaandika kule wameziacha siku hizi. Labda wengi wameshakuwa...
Mwezi uliopita tuliambiwa vyandarua vitagawiwa bure kwa watoto wote wenye umri wa mpaka miaka mitano na zoezi hili lingeanzia mkoani Dar.Kumekuwa na malalamiko mengi magazetini na kwenye TV maeneo...
From MARTHA MTANGOO in Dodoma, 9th July 2010 @ 12:00,
Daily News
FIFTEEN people died on the spot and 48 were severely injured when a lorry heading to the auction market overturned at Mnenia...
WanaCCM na Wapenzi wa CCM nchini Finland wanatarajia kufungua tawi la kwanza nchini Finland katika mji mkuu wa nchi hiyo Helsinki. Wananchama, Wapenzi na Washabiki wa CCM wote katika Finland na...
Wakubwa
Nimesoma kwenye Gazeti moja liitwalo Malengo Yetu la kanda ya ziwa juu ya makala moja ya uchunguzi inayobanisha chanzo cha mimba za utotoni katika mkoa huo.
Nimeipenda makala ile LAKINI...
Askari wa kikosi cha ffu mkoani iringa .pc mashauri, amejiua kwa kujipiga risasi, akiwa lindoni ofisi ya mkuu wa mkoa.kwa kile kinachosadikiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
SIKU chache baada ya kutokea matukio mawili ya askari polisi, WP Susana na aliyekuwa mkufunzi wa Chuo cha Polisi Dar es Salaam, Konstebo Noel Jenga (33), kujiua kwa kujipiga risasi, imebainika...
Tanzania`s mining boom: What is behind the scenes?
By Correspondent
9th July 2010
The disproportional little contribution of the mining boom to Tanzania's economic growth...
Nilikuwa naipitia website ya tanapa,
nimekutana na viwango vya gharama za mwaka 2008, mwezi wa juni.
Jamani hii ni aibu, tumeshindwa ku update website kwa kipindi chote hicho.
Tunaomba webmaster...
Join Date Fri Mar 2006
Location Kijijini
Posts 20,003
Thanks : 12,045
Thanked 7,086 Times in 2,102 Posts
Kupitia post zako tumeweza kujifunza mambo mengi sana yanayoendelea chini ya jua umekuwa...
The countdown begins; there are certain newspaper columnist that make you run to newstands during their days of publication to grab their newspaper(s), I mean columns of certain newspapers you...
Habari zenu,
Mimi nina kero yangu ambayo sijui wenzangu munaionaje. Hawa wamarekani sikuhizi wamezidi walianza kwenye malaria, wakaja kwenye hiv and then uzazi wampango(family planning) utasikia...
Wednesday, 07 July 2010 21:07
Gazeti la mwananchi.
Geofrey Nyang'oro
ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo , amewaasa viongozi wa kanisa...
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini zimeahidi kukinyima kura Chama cha Mapinduzi (CCM), kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyia mwezi Oktoba mwaka huu kwa lengo la kukishikisha adabu kwa madai kwamba...
Matapeli 400 wa nyumba wabainika
Imeandikwa na Mwandishi Wetu, Dodoma; Tarehe: 6th July 2010
JUMLA ya wapangaji 376 wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), wamebainika kupangisha nyumba kwa wasio...
Nasikia wimbo huu ni kijembe kwa mkuu wa kisiwa cha marashi ya karafuu, na serikali ya visiwa hivyo umepiga marufu redio za visiwani kuupiga wimbo huu.
Lakini kwa sababu kudhibiti teknolojia...
Nimehudhuria mikutano/sherehe nyingi sana za watanzania walioko nje ya nchi - UK, Canada, Japan, na US. Mengi sana mazuri hutokea ila pia mabaya huwa hayajifichi (muulize Nyani Ngabu akuambie...
Mussa Juma, Dodoma
Rais Jakaya Kikwete
MRADI wa Utunzwaji wa Kumbukumbu za Usajili wa Hati za Miliki za Kimila kwa mfumo wa kompyuta umemwingiza tena Rais Jakaya Kikwete katika mtego wa...