Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,876
- 155,842
Nilikuwa naipitia website ya tanapa,
nimekutana na viwango vya gharama za mwaka 2008, mwezi wa juni.
Jamani hii ni aibu, tumeshindwa ku update website kwa kipindi chote hicho.
Tunaomba webmaster wao ajitahidi atleast kila mwezi awe na update mtandao huo ambao wageni tunaotutembelea wanautegemea sana kwa taarifa za kila siku.
nimekutana na viwango vya gharama za mwaka 2008, mwezi wa juni.
Jamani hii ni aibu, tumeshindwa ku update website kwa kipindi chote hicho.
Tunaomba webmaster wao ajitahidi atleast kila mwezi awe na update mtandao huo ambao wageni tunaotutembelea wanautegemea sana kwa taarifa za kila siku.