Chakachua ya mafuta!

Chacha wa Mwita

Senior Member
May 17, 2008
167
34
Kuna habari kwenye gazeti la mtanzania ukurasa wa tatu kuhusu kufungiwa kwa vituo vya mafuta vinavyo milikiwa na mbunge wetu wa Musoma mjini, kwa sababu ya uchakachuaji! Hii inamaanisha nini endapo mradi huu unamilikiwa na mtunga sheria/mwakilishi wetu??
 
Kuna habari kwenye gazeti la mtanzania ukurasa wa tatu kuhusu kufungiwa kwa vituo vya mafuta vinavyo milikiwa na mbunge wetu wa Musoma mjini, kwa sababu ya uchakachuaji! Hii inamaanisha nini endapo mradi huu unamilikiwa na mtunga sheria/mwakilishi wetu??

Eh, kwani yeye ndo hapendi pesa....
 
Back
Top Bottom