Afisa elimu wa mkoa wa mbeya bw jj kaponda amekumbwa na kashifa lukuki za ufuska mkoani mbeya.
Akiongea kwa minajiri ya kutotatwa jina shuhuda mmoja wa matendo ya kibosile huyo mbaba, aliutonya...
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeagiza Msimamizi wa Uchaguzi Ilala jijini Dar es salaam ashitakiwe katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa kiti cha Ubunge katika Jimbo la Segerea...
LICHA ya kuapishwa na kuanza kuwatumikia wananchi, nafasi za wabunge 39 kati ya 239 walioibuka washindi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31 mwaka huu ziko shakani kutokana na ushindi wao kupingwa...
Kuna tetesi huku mitaani kuwa wimbo wa "Ahmada umelewa" wa Bi Kidude amemwimba rais mstaafu wa vile visiwa vya karafuu. Tetesi hizi zinasema huyo mheshimiwa sana wa ule ukoo unaojulikana sana...
Leo hali isiyokuwa ya kawaida nimeshuhudia trafiki akimpiga ngumi dereve aliyemkamata kwa kosa la kutanua, hii mnaionaje wana Jamii, hebu tusaidieni mchango wenu wa mawazo ili tujue haki yetu sie...
26th June 2010
Air Tanzania Company Limited (ATCL)
Celtic Capital Air Corporation, which has been leasing aircraft to troubled Air Tanzania Company Limited (ATCL), has said it will...
Kama wewe ni mtembeleaji wa Tovuti kama Facebook pamoja na Hi5 utakuwa umeona baadhi ya vijimambo vinavyoendelea katika tovuti hivyo, mfano unapojiunga na tovuti hizo inakuwa na sehemu maalumu...
Wakuu nipo dar kikazi
nimefika maeneo ya stendi ya mkoa,OLCOM na maeneo ya mitaa hiyo muda huu kuna kumbi kumbi wengi sana
kumbuka kumbi kum bi hawa hunaswa kwa mitegoi maalum na ni mboga safi...
Kwa furaha niliyonayo baada ya vijana kutupatia Raha ya kuingia nusu fainali, Naomba kuwatakia usiku mwema na wikiend njema.
Pamoja na kusherehekea ushindi naomba tuwe na kiasi katika mambo...
Utata kuhusu matumizi ya fedha zinazotolewa na serikali kwa ajili ya kuhudumia ofisi za wabunge umepamba moto ambapo Mbunge wa Mbozi Mashariki, (CCM), Godfrey Zambi,ametoboa siri kuwa katika mwaka...
*Adai alimpelekea mjukuu dawa ya degedege
*Aitaja kuwa ulikuwa ni mkojo wake
KATIKA hali isiyo ya kawaida, bibi kizee mmoja mkazi wa Mtoni Mtongani, Temeke jijini Dar es salaam ambaye jina...
Ni lini watz tutakuwa na uwezo wa kuzungumza jambo serikali ikubaliane nalo? Inackitisha hata katiBa ya kutawala imefanywa ni ya watu fulani na sio ya watanzania. Ahadi lukuki utekelezaji ndoto ya...
ujumbe nimeusoma toka mtandao wa kijamii...FACEBOOK
Kaka ujinga na upumbavu si kutokwenda shule tu!
Unaweza ukawa na Phd kama Slaa au ukawa na Degree kama Zitto na ukawa mwanasheria kama Tundu...
The Board of director has made minor change at the company by appointing comrade Hussein Mohamed Bashe to be the new Chief Executive officer of New Habari Limited since November 1 2010 this year...
Tanzania is currently facing a lot of critisism on how it handles corruption scandals.currently NewZealand is mentioned to be the least corrupt nation worldwide(according to CPI -NGOin German)...