Kwanza halikujengwa kwa Tofali, limejengwa kwa nondo toka ardhini na kumiminwa zege tupu la nchi 12!. hivvyo ni bomu proof na tetemeko proof.
Ndani ni fire proof na vioo ni bullet proof, hivyo kwa maeneo ya mjini, linaweza kuwa ndio jengo salama kuliko majengo yote ya mjini, kwa nje ya mji, siwezi jua, labda Ubalozi wa Marekani.
Tikuja kwenye ubora na sanifu, hiyo ni relative, ubora kwako unaweza kuwa ni udhaifu kwa mwingine, na usanifu kwako unaweza kuwa ni cha mtoto kwa mwingine, lakini kwa vigezo vyote muhimu, Jengo bora town center kwa yale niliyoyaona mimi ni Umoja House!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.