katika siku mbili zilizopita, kuna tatizo ambalo limenitokea mimi na wateja wengine wa matandao wa tigo, inatokea unampigia simu mtu anapokea mtu mwingine ambae siyo yule uliyempigia (sio wrong...
Adelline, dada aliyefukuzwa kazi baada ya kuugua kidole tumbo ameshinda kesi yake dhidi ya Mzungu aliyejifanya yuko juu ya sheria.
Adeline alinyimwa haki katika mahama ya wilaya, lakini...
Jamani kwa walioangalia taarifa ya habari leo asbh
itv kuna diwani mmoja ameonyeshwa live akitangaza
kujivua udiwani kwa kusema amejitahdi kwa muda mchache akiarajia
msaada toka serikalini...
Waziri apokewa na mgogoro mzito TRL
Na Rehema Mohamed.
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wamemtaka Waziri wa Miundombinu Bw. Omary Nundu kutoa ufafanuzi kuhusu Menejimenti ya...
Hatimaye ule wimbo wa Dr. Remmy Ongala uliopigwa marufuku miaka kadhaa iliyopita umerushwa hewani leo hii na Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast.................. Naomba mwenye lylics...
Hivi sasa bus la allys linaungua lilikuwa likitoka bukoba kwenda dar,limeungua lilip[ofika wilaya ya Muleba mkoani KAGERA.
Taarifa za awali ni kuwa hakuna aliyekufa ingawa kuna majeruhi kadhaa...
Kutokana na kusoma habari nyingi za Tido Mhando kufika ukomo katika chombo cha habari cha TBC nimeona mengi sana wapo wengi waliomsifu kwa jitihada zake na utendaji wake mzuri katika kipindi chake...
POLISI mkoani Mwanza Desemba 15 ilimshikilia kwa mahojiano Mbunge wa Nyamagana, Ezekiah Wenje (Chadema), kutokana na madai ya kutoa maneno ya uchochezi wakati alipohutubia wananchi hivi karibuni...
Rules set to outlaw annual house rent Sunday, 12 December 2010 10:38 digg
living in an estate such as this is a far-fetched dream for many warking-class people,even in cities like Dar es...
WANAFUNZI wanaokadiriwa kufikia 100 wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) na Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM), jana waliandamana hadi Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)...
Christmas Day[is a holiday observed generally on December 25th to commemorate the birth of Jesus, the central figure of Christianity.The date is not known to be the actual birthday of Jesus, and...
HUKUMU ya kesi ya kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha vifo vya watu wawili inayomkabili aliyewahi kuwa Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge, imeahirishwa hadi Desemba 29, mwaka huu.
Kesi...
POLISI wa Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya, wanamshikilia mkazi wa Kijiji cha Tagota wilayani Tarime mkoani Mara, Nyamanosi Magaigwa (78), kwa kukutwa na vifaa vya kukeketea wasichana na akiwa katika...
MUUZA duka John Vincent (16), mkazi wa Mchikichini Bondeni, Ilala, Dar es Salaam amejinyonga kwa kutumia shuka alilokuwa amelitundika kwenye nondo ya dirisha ndani ya duka hilo kwa madai ya...
Leo ilikuwa siku ya huzuni kwa kumuaga mwanamziki aliyekuwa kipenzi cha wengi hasa katika nyimbo zake zenye ujumbe mzito! hakika Mungu amlaze mahali pema peponi Amen!
je wewe kama Mpenzi wa...
Life Expectancy With HIV Increases Dramatically
A 20-year-old HIV-positive person starting antiretroviral (ARV) therapy today can expect to live, on average, to the age of 69, according to new...
Ni msimu mwingine wa Xmass ,unaoambatana na na Dunia YA kIKRISTO na wasio wakristo kuingia katiaka kipindi cha pilka 2 nyingi.Wfanyabiashara nao ndio msimu wa Mavuno! ......Lakini nimekuwa...
Siku kama ya leo mwaka jana ndipo nilijiunga na JF kwa mara ya kwanza. Ninapenda kuchukua wasaa huu kuwashukuru wanaJF wote kwa upendo na uvumilivu mkubwa mliouonyesha kwangu katika kuchangia...
MCHUNGAJI wa Kanisa la Gospel Revival Centre, Antony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako, ameishukia serikali na Idara ya Usalama wa Taifa kwa kukumbatia zaidi madhehebu ya Katoliki na Lutherani...