Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Hivi sasa bus la allys linaungua lilikuwa likitoka bukoba kwenda dar,limeungua lilip[ofika wilaya ya Muleba mkoani KAGERA.
Taarifa za awali ni kuwa hakuna aliyekufa ingawa kuna majeruhi kadhaa.
chanzo bado hatujajua
nitawajulisha baadaye
Byabato
Taarifa za awali ni kuwa hakuna aliyekufa ingawa kuna majeruhi kadhaa.
chanzo bado hatujajua
nitawajulisha baadaye
Byabato