Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us
Karibuni wadau kwa hiki kinachoitwa kiu ya uzalendo chenye mchanganyiko wa mada mbalimbali za kisiasa na kijamii. Ili tupate kuelimishana.
4 Reactions
1 Replies
2K Views
Kati ya tukio lililochukua headlines kwenye mchakato wa CCM kuwapata wagombea wake wa nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu ni kitendo cha Mwenyekiti wa muda wote na mmiliki wa...
11 Reactions
2 Replies
4K Views
Uzuri wake ni kuwa nchi ikipitia depression pesa yako haitapoteza thamani. Unaweza kuhifadhi kwa Japanese Yen, British £ au USA $ au hata €. Si lazima uwe na ma hela, hizi 40,000 au laki...
30 Reactions
26 Replies
30K Views
Dr Kitila Mkumbo anakula ‘matapishi yake’ ACT kuvuruga juhudi za katiba ya Wananchi CCM yapumua, ujio wa ACTkupunguza nguvu za upinzani Wanajamvi, Siku za karibuni chama kipya cha ACT(Alliance...
48 Reactions
2K Replies
192K Views
Habari wanaJamiiForums, Kuwa makini na mawazo yako, muelekeo wa maisha yako unategemea sana aina ya mawazo unayoyakaribisha kichwani mwako, tofauti kati ya mtu mwovu na mwema ni mawazo yao na...
46 Reactions
0 Replies
5K Views
Biashara ya filamu imeenda chini sana kuanzia enzi za Kanumba kwasababu hakuna ubunifu. Mimi kama diaspora nimefanya uchunguzi kujua kwanini hii inatokea. filamu zetu zinaiga na kujaribu...
4 Reactions
1 Replies
2K Views
I was reading an article on the political economy of Tanzania, which discusses a number of issues including the state of CCM and opposition in the country. One of the issues that is extensively...
29 Reactions
18 Replies
7K Views
Pana haja ya kuanzishwa (iwapo bado) shirika mahsusi wa kutoa misaada itokayo nchi za Afrika kwenda nje ya Afrika. Sikumbuki kusikia shirika la misaada la nchi yoyote ya Kiafrika. Kama lipo...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Watanzania tuna tatizo moja kubwa sana, nalo ni umaikini, umadhubuti, uwajibikaji wa usimamizi wa kanuni, sheria hata katiba! Si kweli kuwa sheria nyingi ni dhaifu, butu au hakuna "makali" ya...
10 Reactions
5 Replies
5K Views
Well, heshima mbele sana JF, - Ninaomba kusema tena na tena, we were Dead wrong na idea za Azimio La Arusha, infact ndilo limetufikisha hapa tulipo yaani tumekwama hili taifa, hatujui...
16 Reactions
470 Replies
52K Views
Ni hao wakuu. Wandugu uchumi wa China na ukuaji wake ni jambo la kuogopesha sana kwa ukubwa wake. Miaka michache ijayo China itaongoza kiuchumi karibu kwenye kila sekta. Kwa huo uchumi mkubwa...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Kuna kitu cha msingi na cha muhimu ambacho tunapaswa kutoa kwa watu wetu. Kitu ambacho kitatuunganisha na ambacho ndiyo msingi haswa wa uwepo wa taifa lolote. Bila msingi huo, hakuna taifa ambalo...
4 Reactions
0 Replies
3K Views
Pengine umefika wakati mamlaka husika zikaruhusu utaratibu wa kuwa na Individual Retirement Arrangements (IRA) hapa Tanzania. IRA hizi ziwe tax-deductible, na ikiwezekana tax-exempt. Faida zake...
10 Reactions
0 Replies
5K Views
Tuna maswali kadhaa ya kujiuliza je demokrasia ni kubadilisha utawala mmoja na kwenda mwingine kwa njia ya kura? mantiki nzima ya demokrasia iko katika hili tu au ni zaidi ya hapo? je demokrasia...
8 Reactions
0 Replies
2K Views
Awali: pongezi kwa wote wanaohusika na mradi huo wa kuboresha Jiji la Dar es Salaam. Pili: Wahaya wana msemo: ukienda kuomba maziwa, angalau basi uje na kihansi (kibuyu). Tatu: Barabara nyingi...
14 Reactions
5 Replies
9K Views
Kwa wakazi na washaija watumiao Bandari Street, ile barabara ya kutokea Gerezani Ilala mpaka mzunguruko wa barabara ya Bandari na ya Kilwa, aghalabu pana foleni ndefu inayosababishwa na reli...
6 Reactions
1 Replies
4K Views
Ni watu wenyewe ndio hufanya taifa likue na liendelee. Serikali ina nguvu kidogo sana ya kufanya hili litokee. Nguvu kubwa imelala kwa wananchi. Serikali ni mratibu tu. Lakini watu ndio wenye...
36 Reactions
1 Replies
4K Views
Kifo hakizoeleki. Kila mmoja anayo namna yake ya kuonyesha huzuni yake baada ya kufiwa; kwa mfano, wengine hulia kwa kupiga kelele, japo wengine hukaa kimya. Huzuni ni kitu kisichoonekana kwa...
2 Reactions
1 Replies
4K Views
Pongezi lukuki kwa juhudi za Serikali-Mtandao, mfano mzuri ukiwa Government electronic Payment Gateway (GePG), mfumo wa malipo ya kielektroniki kwa serikali. GePG imeleta maboresho makubwa kwa...
22 Reactions
3 Replies
11K Views
Najiuliza ni kiasi gani Spika na maamuzi ya kumsulubu CAG kwa wiki mbili na kulifanya jambo la kujaza kurasa za magazeti kuongelea kauli ya CAG na matumizi ya neno dhaifu..... na sasa ripoti...
11 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom