Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us
Kama kuna kitu cha wazi ambacho ni funzo kubwa kwetu Watanzania katika miaka minne hii ya Awamu ya Tano na "Utawala" (maksudi kabisa badala ya kutumia uongozi) wa Magufuli ni UTHUBUTU! Uthubutu...
49 Reactions
96 Replies
26K Views
Mwenye busara hutumia hekima kwanza kabla ya nguvu. Faida ya kutumia hekima kabla ya nguvu uwapa ufahamu wale wanaotakiwa nguvu itumike kwao ili wajielewe. Na kujielewa ni jambo ambalo taifa...
5 Reactions
0 Replies
2K Views
Hata mbwa anaweza kufundishwa na kufanya baadhi ya mambo, binadamu anapaswa kuwa juu ya kufundishwa. ANAWAJIBIKA kwa kutumia akili yake mwenyewe kuzalisha maarifa sio kupokea tu maarifa...
18 Reactions
3 Replies
3K Views
Uwepo wa polisi, mahakama, jeshi na majela, ni ushahidi kwamba ubaya upo. Lakini je ubaya unatoka wapi? Kwa shetani? Ukweli ni kwamba ubaya tumeutengeneza wenyewe na tunauwezo wa kuuondoa. Au...
11 Reactions
0 Replies
2K Views
Kichwa cha habari hiki sicho nilichokiposti. Pana mtu amefanya stealth edit. Whoever did that: It is unethical. Umenilisha maneno nisiyoyaandika. Ukiedit, jipe credit. Au ukiona unayo mawazo ya...
8 Reactions
2 Replies
6K Views
Baada ya vita ya Korea, Korea kaskazini ikaanza kuhangaika kujenga uchumi wake. Ikagundua kuwa ili iwe na uchumi imara inahitaji viwanda. Ikagundua pia, kuwa viwanda haviwezekani bila kuwa na...
25 Reactions
27 Replies
7K Views
Wale wanaopenda ukweli hawaangalii nani kauongea, ana umaarufu kiasi gani, ana cheo kiasi gani au ana kiasi gani katika akaunti yake benki. Ukweli ni ukweli hata ukiongewa na mtu mwenye viraka...
21 Reactions
0 Replies
3K Views
Kiwanda cha Bodaboda Ikiwa kichwa cha habari kimekufanya uwaze mitambo ya kutengeneza pikipiki, karibu kwenye mada. Mada hii si kuhusu mitambo ya kutengeza pikipiki (factory). Mada hii inahusu...
4 Reactions
3 Replies
4K Views
Umewahi kufikiri inawezekanaje nchi kubwa kama Tanzania kuwe na upungufu wa ajira tena sio tu kwenye sekta binafsi bali hali ni mbaya zaidi Serikalini . Kumekuwa na mazoea kuifanya hali hii kuwa...
12 Reactions
4 Replies
4K Views
Nashukuru nilipata bahati ya kutembelea baadhi ya nchi zilizoendelea na zile ambazo bado. Safari hizo zilinipa fursa ya kutafuta jibu la maswali yaliyosumbua kwa miaka mingi: 1. Mataifa...
3 Reactions
14 Replies
8K Views
Wanajamvi kwa ujumla, Tarehe 23 June 2003 ni siku ya tukio muhimu katika bara Ulaya. Britain itapiga kura ya maoni (referendum) kuamua ibaki Ulaya (EU) au itajiondoa. Hii si mara ya kwanza...
19 Reactions
94 Replies
32K Views
Habarini wakuu. Iko hivi, utafiti wa dawa hadi ikaingia sokoni ni gharama kubwa sana na una mlolongo mrefu balaa. Hugharimu mabilioni ya dola na makumi ya miaka. Makampuni mengi kabla ya kufanya...
13 Reactions
9 Replies
2K Views
I rarely contribute on threads whose prime reason is discussing someone, but this got me! This is purely flawed phylosophy and logic. Who said that Nyerere was not predictable on matters of...
0 Reactions
177 Replies
35K Views
Tanzania ni nchi inayofaa sana kwa kilimo tuna ardhi nzuri na kubwa sana, pia tuna maji mengi sana. Ni moja ya nchi zenye maji mengi duniani lakini ajabu yetu kilimo chetu ni cha kimaskini kupita...
7 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu Great thinkers, napenda mijadala ya kwenye jukwaa hili maana wachangiaji na wakosoaji wanaotumia hoja na busara kuchangia, kukosoa, kushauri na kurekebisha. Watunga sera makini wanafuatilia...
37 Reactions
65 Replies
22K Views
Habari Wana JF, Nimesukumwa Kuweka mawazo Yangu na kukusanya muongozo wa kumbukumbu ili iwe rahisi kupima ushindi haswa kwa watakaochaguliwa kutuwakilisha Bungeni. Bunge limekuwa likilaumiwa kuwa...
10 Reactions
8 Replies
6K Views
Sehemu ya I MABADILIKO YA MWENENDO WA SIASA ZA NCHI CCM WATUA, CDM/UKAWA WABEBA. LOWASSA 'FACTOR' Mchakato wa wagombea Urais ndani ya CCM umebadili mwenendo wa siasa nchini Kukatwa kwa jina la...
36 Reactions
737 Replies
95K Views
Hudhaniwa na wengi kwamba Marekani hupenda sana vita, hasa kwa nchi zenye mafuta. Vita ni moja ya mbinu za kupata uwanja wa kujigemea mafuta wapendavyo. Dhana hii inaweza kuwa yakinzana na...
23 Reactions
14 Replies
8K Views
Kwa nini members wengi wanajadili sana maswala ya Rwanda, Burundi, Kenya, Somalia kuliko mambo yanayowahusu hususan yanayotokea ndani ya Tanzania? Pamoja na kuwa member wa hii forum kwa muda...
5 Reactions
18 Replies
7K Views
Wakuu habari Kuna hii shida ya bidhaa kutoka nje kukosa maelezo ya mtumiaji kwa lugha ya kiswahili. Mi utakuta umenunua dawa lakini ina maelezo ya kiarabu, kifaransa kiingereza, kirusi nk lakini...
13 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom