CCM kumbomoa Mbowe
Wadai watatumia mbinu iliyommaliza Sumaye
Na Mwandishi Wetu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza mkakati wa siri wa kubomoa upinzani, na sasa imedhihirka kwamba mlengwa...
Tafiti na vipimo mbali mbali vya mahusiano kati ya maendeleo katika jamii na imani za kidini vimebainisha migawanyiko na mahusiano ya imani za kidini kati ya nchi moja na nyingine na mendeleo kwa...
YATAKAYOJIRI HOTUBA YA JK KESHO
Sehemu ya I
Hali ya taharauki imetanda Dodoma. Wabunge wakitishiwa kwa kamera 13 ndani ya ukumbi na viongozi 4 wa kundi linalompinga Sitta kukiuka taratibu...
Na. M. M. Mwanakijiji
Utangulizi
Tatizo la upungufu wa nishati nchini linatafutiwa kisingizio. Naam, limetafutiwa kisingizio na kisingizio hicho kinazidi kukuzwa mbele ya macho yetu na kufanywa...
Paukwa......Pakawa... The house of cards crumbling!
Inafurahisha kuona ni jinsi gani mwamko uliotufikia Watanzani tangu kina Jeetu Patel, Johnson Lukaza na hata sasa Basil Pesambili Mramba na...
Tanzanians are notorious for political rhetoric and obsession at the expense of economic value. This habit has now evolved into a ‘culture'. The Tanzanian Parliament is actively legislating...
Wanabodi,
Kitendo cha Kamati Kuu ya Chadema kuwavua uanachama madiwani wake wa Arusha, is "A Big Mistake"!, and there is a price to pay, so Chadema must pay very dearly and the price which is...
Nakala hii imebeba mambo matano makubwa
1. Historia ya daraja la kigamboni
2. Ufisadi
3. Uwezo na tabia ya magufuli
4. NSSF na kutoa misaada
5. UUzwaji wanyumba za serikali
Update:
1...
Kilichonipa hamasa ya kuja na mjadala huu ni kauli ya Mwenyekiti wa Chadema (Taifa), Freeman Mbowe, aliyoitoa hivi karibuni ambapo alitamka (nanukuu):
"Iwapo CCM itashinda uchaguzi mwaka 2015...
Baada ya 'kiza' cha siku kadhaa katika mtandao, tutakuwa na mabandiko yakiangalia uchaguzi uliomalizika
Kwa kutambua hatma ya taifa letu ni yetu sote. Mtazamo wetu upo wazi kujadiliwa kwa maono na...
As much as I would like to appease Dr. Slaa's fanatical base that he is heading to Ikulu comes 2015 but the truth ought to be told much earlier …that they are merely pegging their...
MAPENDEKEZO YA MUUNDO WA BARAZA LA MAWAZIRI 2010- NA SABABU ZAKE
Na. M. M. Mwanakijiji
Ni mara chache sana katika kipindi cha utawala tunaweza kupata nafasi ya kutoa mawazo juu ya muundo wa...
Hatimaye Spika aliyeongoza kwa 'mkono wa chuma'' anguko lake limetimia. Mh. anaondoka akiacha historia ya Spika wa kwanza kujiuzulu tangu uhai wa Taifa hili
Spika asingeweza kutekeleza majukumu...
Katika dunia ya leo, mataifa mengi yaliyopiga hatua kubwa kiuchumi na kimaendeleo na kupelekea maisha bora kwa wananchi wake, hasa kuanzia awamu ya pili ya karne ya ishirini (i.e. 1950s)...
Habari wana JF,
Hali ya nchini kwetu Tanzania hadi hapa tulipofika kwa sasa haijalishi kuwa tunaenda wapi mana tayari tumefika pabaya… Kwa kundi ama hali yoyote ile ifikapo pabaya dawa...
Ripoti ifuatayo inatudokeza mambo mbalimbali kuhusiana na mpango wa DART - Dar Rapid Transit - yaani Mradi wa Mabasi ya Abiria yaendayo kasi. Bila ya shaka watu wengi wamekuwa wakifiria kwua hiyo...
Nilitarajia Operesheni sangara ingeingia kila Wilaya na Mkoa si kujiuza kuhusu CHADEMA na kupiga vita CCM na kuioanisha na UFISADI, bali ni kuwatikisa Wabunge na Serikali za Wilaya.
Naangalia...
Tumeshaelewa hoja ya Lowassa, nadhani sasa ni wakati wa kuelekeza juhudi zetu katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu; Ni muhimu tukampongeza Lowassa kwa kuwa kiongozi wa kwanza nchini kulipa suala...
Lifuatalo ni zoezi la utabiri juu ya mshindi Urais uchaguzi Mkuu 2015 baina ya CCM na Chadema; Lakini kabla hatujaenda kwenye hatua nyingine yoyote, ningependa kuwasilisha takwimu za idadi ya...
Na. Martin M. Malima
Tangazo la Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe la kugombea Urais kama atapitishwa na Chama chake cha Chadema linaripotiwa na vyombo vya habari kuzua tafrani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.