Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
US President in 2021 | False Fraud Allegations | True Fraud Allegations | Remarks | |
---|---|---|---|---|
President Biden | Jamii itawaona chama cha Republican na Rais Trump ni ving'ang'anizi tu wa madaraka. Watu wasiokubali kushindwa. Wanaotumia mbinu mbalimbali kutaka kung'ang'ania madaraka. Rais Biden atafuta mengi aliyoagiza Trump yafanyike, na kuweka ya kwake. Idadi ya majaji mahakama kuu inaweza kuongezwa, na Biden kuchagua majaji wapya. Maamuzi ya mahakama kuu yakawa ya mrengo wa kushoto. Jimbo la Kalifonia linaweza kugawanywa mara tatu na hivyo kuongeza viti vya ushindi kwa Democrat kwenye chaguzi za Rais. Washington DC ikageuzwa kuwa jimbo, jambo litakaloongeza uwezekano wa Democrats kushinda chaguzi zijazo karibu zote. | Chama cha Republican na hasa washabiki wa Trump watakuwa na ghadhab. Wengi watakosa kabisa imani na mfumo wa uchaguzi Marekani. Hapatakuwa na mshikamano na umoja wa kitaifa. | Kushinda baada ya korti kufanya maamuzi au kura zote kuhesabiwa. | |
President Trump | Chama cha Democrat na hasa washabiki wa Biden watakuwa na ghadhab. Wengi watakosa kabisa imani na mfumo wa uchaguzi Marekani. Hapatakuwa na mshikamano na umoja wa kitaifa. Panaweza kuzuka vurugu kama za zama za BLM. | Jamii itawaona chama cha Democrat na VP Biden ni wenye uchu tu wa madaraka. Watu wasiokubali kushindwa. Wanaotumia wizi wa kura kutaka kunyakua madaraka. Rais Trump atafuta mengi yaliyoasisiwa na chama cha Democrat, kwa vile ni muhula wake wa mwisho kuwa Rais. Haki ya wananchi kumiliki bunduki itaimarishwa. Anaweza kuwashukia Twitter, Facebook na wenzao kuwaweka fungu moja la wachapishaji. | Kushinda kupitia kortini au kwa kura zote kuhesabiwa au kwa kutangaza hali ya hatari. | |
Remarks | Sifa ya Marekani kama kinara wa demokrasia duniani itakuwa imeingia mashakani isivyostahili. | Sifa ya Marekani kama kinara wa demokrasia duniani itakuwa imeingia mashakani kihalali. | Patakuwa na kazi kubwa kuunganisha taifa baada ya uchaguzi na kuimarisha misingi ya kidemokrasia | |
References |
CNN International - Breaking News, US News, World News and VideoFind the latest breaking news and information on the top stories, weather, business, entertainment, politics, and more. For in-depth coverage, CNN provides special reports, video, audio, photo galleries, and interactive guides.
www.cnn.com
The White HousePresident Biden and Vice President Harris promised to move quickly to deliver results for working families. That’s what they’ve done.
whitehouse.gov
A Presidency for All AmericansThe people of this nation have spoken. They have delivered us a clear victory. A convincing victory. A victory for “We the People.” We have won with the most votes ever cast for a presidential ticket in the history of this nation — 81 million. I am humbled by the trust and confidence you have […]
joebiden.com
|
|
Putin says he won’t congratulate Biden until ‘legal processes’ are completedRussian President Vladimir Putin is refusing to congratulate Joe Biden upon his election to president-elect on Saturday, because there are still “legal processes” to go through.
www.independent.co.uk
|
Siye wengine ni wapenzi watazamaji tu tunaosubiri kuona sinema hii itaishaje.
Edit 1: Watazamaji wengine
Mexico's president won't congratulate Biden on election win until legal challenges over
Andrés Manuel López Obrador will wait for courts to rule on Trump lawsuits in bid to avoid friction
www.theguardian.com
Putin Won’t Congratulate Biden Until ‘Official Vote Count’ Is Announced, Says Kremlin
The leaders of Brazil, Turkey and China have also been silent on President-elect Biden’s win.
www.forbes.com
Powerful world leaders ignoring US election result
Many world leaders, including Scott Morrison, were quick to offer their congratulations to Joe Biden on his election win, but there are still some powerful figures who have refused to acknowledge him as the next US president.
www.news.com.au
Mexico, Brazil, Russia and China hold off on congratulating Joe Biden
“We don't want to be imprudent nor act hastily,” Mexican President Andres Manuel Lopez Obrador said at a news conference.
nypost.com
EDIT 2: Barua ya Mkurugenzi wa Intelijensia ya Marekani Kwenda Seneti Januari 07 2021
EDIT 3: The Marekani 2020 Movie Plot
1. John Glubb published his famous The Fate of Empires and Search for Survival book in 1976. He claims empires last for 250 years, give or take.
2. The United States of America (USA) declared independence in the year 1776. The 250 years time-period is almost gone. What will be the fate of USA?
3. The USA 2020 elections are peak in terms of what is at stake: Democrats think that four more years of Trump will truly mean the end of USA as we know it. The Republicans think that four years of Biden (Harris / Clinton) will surely be the end of the republic. That is why this question is posed: Who is this movie's Hero ("stelingi")? Who is the main Villain ("Kubwa la Maadui")?
4. Each side accuses the other of being the stooges of foreign bad guys. The left accuses Trump of being the stooge of Russians (Putin), while the Right accuses Biden to be the stooge of China (CCP). Which is which?
5. The Left blamed Russia for election losses in 2016. The Right blames China, Italy and others for the 2020 election loss. Was there election interference in the year 2016? What about year 2020? If there was, what does it mean to the republic?
6. What will happen to the American Republic? If USA falls as a republic, what chances of survival for newer, less stronger republics? Will USA fall?
7. A republic, if you can keep it ~ Benjamin Franklin (1787). Will the USA survive, and get new lease of life as a republic, for the next 250 years?
Edit 4: January 21 2021. Congratulations to President Biden. This discussion have reached its EOL.