Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,379
- 12,574
Ni Mungu
Zaburi 76:12
Yeye huzikata roho za wakuu;
Na kuwatisha wafalme wa dunia.
Mungu humtumia mtu yeyote amtakaye Kufanya jambo lake, Hata Farao wa Misri alitumikia shauri la Mungu pia kwa wakati wake iwe kwa kujua au kutokujua.
Ewe Mtanzania na Mgeukie Mungu leo nae atayanyoosha mapito yako š
Zaburi 76:12
Yeye huzikata roho za wakuu;
Na kuwatisha wafalme wa dunia.
Mungu humtumia mtu yeyote amtakaye Kufanya jambo lake, Hata Farao wa Misri alitumikia shauri la Mungu pia kwa wakati wake iwe kwa kujua au kutokujua.
Ewe Mtanzania na Mgeukie Mungu leo nae atayanyoosha mapito yako š