nani amewahi kuona hii series ya superior day ya kikorea inatisha na ni nzuri ya kijana muuaji mchoraji anaua mtu alafu anamchora kwa kutumia damu jinsi alivyomkatakata movie nzuri japo inaogofya...
I
Karatasi ya thamani ni pesa vyeti ni uchafu chochote utakacho pesa kwanza
Silali kitandani nakesha kuziseti chafu tatu popote niendapo pesa kwanza
“Babu hilo goma linanitia stimu yaani siku...
Msanii wa Bongo Fleva, Sarah Michael Kitinga "Phina" aliimba ujumbe huu kupitia Wimbo wa "Sisi Ni Wale" aliouweka kwenye Chaneli yake ya YouTube, Desemba 29, 2023 na hadi Novemba 28, 2024...
Mfahamu Mzee Small.
Said Wangamba (Mzee Small) alizaliwa 1955 mkoani Lindi. Na baadae alihamia Dar mwaka 1970 ambapo alipata umaarufu kupitia uchekeshaji na uigizaji.
Alipewa jina la utani la...
1. Millard Ayo - Clouds FM
2. Jamal April - Wasafi TV
3. Nelson Kisanga - Wasafi FM
4. Tido Mhando - Azam TV
5. Reuben Ndege - Clouds Media
6. Maulid Kitenge - Wasafi FM
Utafiti huu umeangalia...
Ni miaka 7 Sasa tangu atangulie mbele za haki mama huyu wa kizungu anaitwa, Charlotte Nelson William.
Charlotte Nelson William, enzi za uhai wake katika jumuiya ya Freemason nchini uingereza...
Salamu Wajumbe.
Kuna muvi ya Kiswahili niliwahi kuitazama miaka ya 2009/10 ya vijana wawili, mmoja wa kike mmoja wa kiume ambao walikuwa wanaishi msituni na wazazi wao ambao walifukuzwa kwa...
Habari Wadau,
Ni nadra sana kwa mtu kuwa bilionea, hasa akiwa na umri mdogo.
Hii ni orodha ya mabilionea vijana ambao wametajwa na Jarida la Forbes kwa mwaka 2024, kuwa matajiri wadogo zaidi...
Habari za asubuhi wanajukwaa.
Mimi nimpenzi wa kusoma story,Naombeni msaada kwenu natafuta story ya kusoma humu JF weekend hii. kiufupi sina appointment yoyote na nilitegemea waandishi wangu...
KAMBI YA NDALA.
MWANGAZA hafifu wa mapambambazuko
uliwafanya Luten Dennis Raymond Makete na wenzeke waonekane kama vivuli.Walikuwa katikati ya msitu wa Ndala wakienda mbio za mchakamchaka...
Asasnte kwa kufungua uzi huu.
Mimi binafsi, napenda comedy na nafanya comedy pia (stand up comedy). Japo sijafika stage kubwa mpaka watz wakanijua.
Lakini huwa naona stand up comedians kadhaa...
B HITS ILITUBARIKI VYA KUTOSHA
Hermy B alikuwa akifanya kazi redioni lakini akawa anajiiba humohumo baada ya vipindi kuisha na kurekodi kazi binafsi mpaka aliposimamisha studio yake na...
Wana Jf, ni bia gani ambayo ukiinywa leo kesho hupati hang over? Nimebadilisha bia za aina mbali mbali mpaka sasa ila kila nikiamka asubuhi nakuwa na uchovu wa hali ya juu.
Mwanzoni nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.