Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kama kuna member anaweza nisaidia kupata nyimbo za soca rhumba calypso zilizovuma enzi za miaka ya 1980 naomba msaada
0 Reactions
1 Replies
318 Views
By Joh Makini ft Ben Pol I love what I am doing. A city in da houz Yeah… Aaah! Some other people miss the old me Some other people love the new me I thank God all these people They don’t know me...
0 Reactions
0 Replies
633 Views
WATU FEKI- Appy Siku mbili sijalala sijakula Ninastress Nyumba imegeuka chumba cha dharura Emergency Sioni marafiki ama mashosti Au mnasubiri nife ndio mniposti Bora nitafute pesa Ndugu wa kweli...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Itsa WEEKEND. Tuanze nayo hivi basi 1BR Sarah anatafuta makazi mapya hapa jijini Los Angeles lakini kazi hii inakuwa ngumu sana. Kwanini? Pesa ndogo. Akipata panapofaa, basi kodi ni kubwa, na...
15 Reactions
48 Replies
3K Views
UPDATE Simulizi hii ina misimu mitatu (three seasons) na zote zitakuwepo kwenye uzi huu huu. 1st season ina episodes 4 tu japo ndefu ndefu kiasi. 2nd season ipo post #90 na episodes zake ni...
34 Reactions
286 Replies
35K Views
Habari zenu wanajf? Naomba leo tushee nyimbo zetu pendwa tunazozisikiliza kwenye playlists zetu when we feel giving up. (Kukata tamaa) Binafsi, "Lengend" by Chronixx ndo nyimbo ambayo napenda...
0 Reactions
15 Replies
834 Views
Mfahamu Idris Sultan Amezaliwa Januari 28, 1993 jijini Arusha. Anafahamika kama mwigizaji, Mchekeshaji na mtangazaji wa vipindi vya radio Safari yake ya mafanikio ilianza baada ya kushinda...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Katika Makuzi, Ama ujana na wengine wenu Ni uzee kabisa mmekua ama timekua tukisikiliza nyimbo za muziki hasa kutoka Nchi ya Kidemokrasia ya Congo. Muziki huu umekua ni sehemu ya Burudani na...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo...
19 Reactions
273 Replies
14K Views
Mapumziko laini namsikiliza Fido Vato Ololoo ni bonge la album. Inasikitisha hata Generation zingine wamekua kama Gen Z hawataki tena mistari migumu. Uzi tayari.
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Wimbo kaimba mdada ila nakumbuka tu kwenye kiitikio, Anaimba aie ieeee aeee eha Apolo apolo aeee eha Aie ieeee aeee eha apolo apolo aeee eha Sijui kaimba nani
1 Reactions
17 Replies
915 Views
Hawa ni madj waliojizoelea umaarufu mkubwa ukanda huu wa Africa mashariki kutokana na umahiri wao wa kutafsiri muvi mbalimbali iwe za kihindi, kichina na za kimarekani na nyinginezo ni DJ MARK wa...
2 Reactions
14 Replies
9K Views
1. BABY'S DAY OUT Mabwana watatu wanaojifanya wapiga picha wanamteka mtoto mdogo wa miezi tisa toka familia ya kitajiri kwa lengo la kutengeneza pesa ya maana kutoka kwa wazazi wake. Bahati...
12 Reactions
19 Replies
1K Views
Hii ngoma iliyokutanisha manguli wa muziki wa Rap hapa Tanzania Kwa miaka hiyo kiukweli ilipikwa,ikasukwa na ikasukika ki kwelikweli! Kiukweli ninayo Jeuri kusema ya kwamba "Kama Kuna mtu...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Hii thread ni kwa wale wapenzi wote wa filamu hapa tutakuwa tunajadiliana kuhusiana na filamu tulizoziona ili wengi wazitafute
2 Reactions
5 Replies
613 Views
Ikiwa kesho ni Valentine's day nimeona niwaletee taarifa kuhusu mtajwa hapo juu alie zaliwa siku hiyo ya Valentine. Joseph Kiambukuta Londa a.k.a Josky, Josky Kiambukuta, Djoe Sex, Le Commandant...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu nawasalimu hasa Wale wapenzi wa Rhumba wenzangu Msanii Jolie Detta aliandika historia ya kuwa mwanamke wa Kwanza kurekodi wimbo katika band ya muziki maarufu tp okk jazz iliyokuwa chini ya...
17 Reactions
93 Replies
9K Views
Nyimbo inaitwa SISIKII ila sio ile yenyewe. Hii kuna na sauti ya mdada, yaani Jux mwenyewe anaimba alafu na mdada anaimba pia nyimbo ni ileile ya Jux sisikii. Sijui ndio mnasemaga cover sijui...
1 Reactions
1 Replies
475 Views
Muigizaji maarufu John Malkovic, ameigiza kama Nyota katika Movie inayoitwa 100 Years. Imetengenezwa mwaka 2015 ambapo inatarajiwa kutoka November mwaka 2115. Kwajina lingine movie hii...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kichwa hapo juu chahusika, nina mdogo wangu ana kipaji cha uimbaji yupo shuleni. Mwanzo sikujua kuwa anajihusisha na muziki kwani amekuwa ni mcheza mpira mzuri sana hasa upande wa golikipa...
0 Reactions
4 Replies
459 Views
Back
Top Bottom