Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Natafuta cover ya wimbo wa Hapana wa msanii Marioo ulioimbwa na mdada fulani hivi ukatumika katika tamthilia ya Jua kali. Anaeweza kunisaidia namna ya kuupata tashukuru.
1 Reactions
0 Replies
733 Views
Pendekeza nyimbo yeyote ya Lyrics nami nitakukumia 1.NIITE SONGA LYRICS [Intro] Yeaah… Duke Tachez.. yeeah [Ubeti wa Kwanza] Yeah, kwa uzima nafungua kinywa nachomoa hii habari Naisoma kwa kina...
2 Reactions
5 Replies
10K Views
Muziki wa Reggae ni muziki mzuri unaobeba hisia mbalimbali kama, ukombozi wa mtu mweusi, mapenzi, harakati, nk, kwa kifupi ni muziki unaogusa maisha ya mwanadamu kwa ujumla. Wasanii wa muziki wa...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Wakuu kwema Naomba mtu mwenye file ilo hapo juu anirushie Natanguliza shukrani
4 Reactions
2 Replies
373 Views
Wapenzi wa sweet reggae tafuteni nyimbo za huyu mama Sauti na melody kali sanaaa. Kifupi huyu ni healer kupitia nyimbo zake.
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Binafsi mimi ni mzalendo na nnapenda sana kufuatilia tamthilia za haoa bongo mara moja moja pindi nkipata nafasi nkiwa home, Kuna hiI Huba series inayorushwa DSTV (Maisha Magic bongo) ni ya muda...
0 Reactions
3 Replies
581 Views
Nguvu ya Muziki Kila moyo una wimbo. Pahali ambapo maneno yanashindwa, muziki huongea. Muziki huzungumza kwa hisia. Muziki huleta uwiano kati ya roho, nafsi na mwili. Muziki ni mwanga wa...
4 Reactions
2 Replies
439 Views
Popote ulipo ujue nakupenda https://youtu.be/4lGqKGsfhOQ?si=oGtBuz_f-cenPpx7 https://youtu.be/3JWTaaS7LdU?si=qg_mvYEECSurtoDm
15 Reactions
235 Replies
7K Views
HII NI SIMLIZI YA KISAYANSI NA KITEKNOLOJIA. MTUNZI NI YULEYULE TARIQ HAJJ. HAYA NI MAONO YA MAISHA YAJAYO. RIWAYA NYINGINE ZILIZO TANGULIZIA NI 1. CODE X 2.CODE. X 2 MCHEZO WA KIFO. 3.COD X 3...
3 Reactions
67 Replies
11K Views
BLACK WA USWAZI . _____________________ Hatimaye leo tumefanikiwa kumpata mmoja Kati ya wachonga barabara kwenye Tasnia hii ya Muziki wa Bongo Fleva ambao juhudi zao ndio zimefanya Muziki Huu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Martin Andrew Kadinda ni mbunifu wa mitindo kutoka Tanzania anayejulikana kwa umaarufu wa kuwa mmoja wa wabunifu wa mavazi na mitindo mbalimbali nchini. Amewahi kuonyesha kazi zake katika Wiki...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
KUACHA KAZI Baada ya kutoka Burma, siku moja, Utubora alisimama katika ofisi mbele ya tajiri wake kumwambia kuwa alitaka kuacha kazi. Kazi yake ilikuwa ukarani katika ofisi kubwa ya biashara ya...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Katika kuonyesha heshima Kwa mkoa wa Tanga, kutoa Mawaziri 4 (Makamba, Mwana FA, Ummy na Aweso) basi inafaa Ngoma ya Mdumange ipewe heshima ya kuwa mdundo wa Uzalendo. Asante
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Inadaiwa hizi ndio tabia na sifa za Watu waliozaliwa mwezi July. Je, kuna ukweli kiasi gani?
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za jioni Wadau. Katika mtandao wa YouTube, video nyingi huwa na cover ya picha ambayo inabeba maudhui yaliyomo katika video husika. Lakni kwa hapa kwetu Tanzania, hawa jamaa hawapoi kwa...
10 Reactions
25 Replies
1K Views
Kwa wapenzi wa thriller movies, hii ni moja ya movie ya kuiangalia. Iko simple ila nzuri sana. Kwa lugha nyepesi ipo hivi, kuna jamaa anaitwa Ryan alitoroka London na kwenda Latin America...
3 Reactions
6 Replies
670 Views
Habari wakuu, We can all agree that michezo ya television for now imepoteza taste kabisa si kama zamani. Enzi zile hadi wazazi walikua wakifuatalia michezo hii. 1. Saladini 2. Jumba la...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Nimepata kutazama mahojiano ya Sylvester Stallone na mtandao wa Vulture na kuona akidai kuwa walipokuwa wakirekodi filamu ya Rocky IV, toleo la nne basi alikutana na majanga nusu kupoteza maisha...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Aisee sichoki kusikiliza huu wimbo. Sauti mzuri kwenye mpangilio murua. Ujumbe Safi kabisa Mdundo sasa.. Aisee kongole kwao!
6 Reactions
12 Replies
972 Views
Back
Top Bottom