Natafuta cover ya wimbo wa Hapana wa msanii Marioo ulioimbwa na mdada fulani hivi ukatumika katika tamthilia ya Jua kali.
Anaeweza kunisaidia namna ya kuupata tashukuru.
Pendekeza nyimbo yeyote ya Lyrics nami nitakukumia
1.NIITE SONGA LYRICS
[Intro]
Yeaah… Duke Tachez.. yeeah
[Ubeti wa Kwanza]
Yeah, kwa uzima nafungua kinywa nachomoa hii habari
Naisoma kwa kina...
Muziki wa Reggae ni muziki mzuri unaobeba hisia mbalimbali kama, ukombozi wa mtu mweusi, mapenzi, harakati, nk, kwa kifupi ni muziki unaogusa maisha ya mwanadamu kwa ujumla.
Wasanii wa muziki wa...
Binafsi mimi ni mzalendo na nnapenda sana kufuatilia tamthilia za haoa bongo mara moja moja pindi nkipata nafasi nkiwa home,
Kuna hiI Huba series inayorushwa DSTV (Maisha Magic bongo) ni ya muda...
Nguvu ya Muziki
Kila moyo una wimbo. Pahali ambapo maneno yanashindwa, muziki huongea. Muziki huzungumza kwa hisia. Muziki huleta uwiano kati ya roho, nafsi na mwili.
Muziki ni mwanga wa...
HII NI SIMLIZI YA KISAYANSI NA KITEKNOLOJIA. MTUNZI NI YULEYULE TARIQ HAJJ.
HAYA NI MAONO YA MAISHA YAJAYO.
RIWAYA NYINGINE ZILIZO TANGULIZIA NI
1. CODE X
2.CODE. X 2 MCHEZO WA KIFO.
3.COD X 3...
BLACK WA USWAZI .
_____________________
Hatimaye leo tumefanikiwa kumpata mmoja Kati ya wachonga barabara kwenye Tasnia hii ya Muziki wa Bongo Fleva ambao juhudi zao ndio zimefanya Muziki Huu...
Martin Andrew Kadinda ni mbunifu wa mitindo kutoka Tanzania anayejulikana kwa umaarufu wa kuwa mmoja wa wabunifu wa mavazi na mitindo mbalimbali nchini.
Amewahi kuonyesha kazi zake katika Wiki...
KUACHA KAZI
Baada ya kutoka Burma, siku moja, Utubora alisimama katika ofisi mbele ya tajiri wake kumwambia kuwa alitaka kuacha kazi. Kazi yake ilikuwa ukarani katika ofisi kubwa ya biashara ya...
Katika kuonyesha heshima Kwa mkoa wa Tanga, kutoa Mawaziri 4 (Makamba, Mwana FA, Ummy na Aweso) basi inafaa Ngoma ya Mdumange ipewe heshima ya kuwa mdundo wa Uzalendo. Asante
Habari za jioni Wadau.
Katika mtandao wa YouTube, video nyingi huwa na cover ya picha ambayo inabeba maudhui yaliyomo katika video husika.
Lakni kwa hapa kwetu Tanzania, hawa jamaa hawapoi kwa...
Kwa wapenzi wa thriller movies, hii ni moja ya movie ya kuiangalia. Iko simple ila nzuri sana.
Kwa lugha nyepesi ipo hivi, kuna jamaa anaitwa Ryan alitoroka London na kwenda Latin America...
Habari wakuu,
We can all agree that michezo ya television for now imepoteza taste kabisa si kama zamani. Enzi zile hadi wazazi walikua wakifuatalia michezo hii.
1. Saladini
2. Jumba la...
Nimepata kutazama mahojiano ya Sylvester Stallone na mtandao wa Vulture na kuona akidai kuwa walipokuwa wakirekodi filamu ya Rocky IV, toleo la nne basi alikutana na majanga nusu kupoteza maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.