By Joh Makini ft Ben Pol
I love what I am doing. A city in da houz
Yeah… Aaah!
Some other people miss the old me
Some other people love the new me
I thank God all these people
They don’t know me...
WATU FEKI- Appy
Siku mbili sijalala sijakula
Ninastress
Nyumba imegeuka chumba cha dharura
Emergency
Sioni marafiki ama mashosti
Au mnasubiri nife ndio mniposti
Bora nitafute pesa
Ndugu wa kweli...
Itsa WEEKEND. Tuanze nayo hivi basi
1BR
Sarah anatafuta makazi mapya hapa jijini Los Angeles lakini kazi hii inakuwa ngumu sana. Kwanini? Pesa ndogo.
Akipata panapofaa, basi kodi ni kubwa, na...
UPDATE
Simulizi hii ina misimu mitatu (three seasons) na zote zitakuwepo kwenye uzi huu huu.
1st season ina episodes 4 tu japo ndefu ndefu kiasi.
2nd season ipo post #90 na episodes zake ni...
Habari zenu wanajf?
Naomba leo tushee nyimbo zetu pendwa tunazozisikiliza kwenye playlists zetu when we feel giving up. (Kukata tamaa)
Binafsi, "Lengend" by Chronixx ndo nyimbo ambayo napenda...
Mfahamu Idris Sultan
Amezaliwa Januari 28, 1993 jijini Arusha. Anafahamika kama mwigizaji, Mchekeshaji na mtangazaji wa vipindi vya radio
Safari yake ya mafanikio ilianza baada ya kushinda...
Katika Makuzi, Ama ujana na wengine wenu Ni uzee kabisa mmekua ama timekua tukisikiliza nyimbo za muziki hasa kutoka Nchi ya Kidemokrasia ya Congo. Muziki huu umekua ni sehemu ya Burudani na...
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo...
Mapumziko laini namsikiliza Fido Vato Ololoo ni bonge la album. Inasikitisha hata Generation zingine wamekua kama Gen Z hawataki tena mistari migumu. Uzi tayari.
Hawa ni madj waliojizoelea umaarufu mkubwa ukanda huu wa Africa mashariki kutokana na umahiri wao wa kutafsiri muvi mbalimbali iwe za kihindi, kichina na za kimarekani na nyinginezo ni DJ MARK wa...
1. BABY'S DAY OUT
Mabwana watatu wanaojifanya wapiga picha wanamteka mtoto mdogo wa miezi tisa toka familia ya kitajiri kwa lengo la kutengeneza pesa ya maana kutoka kwa wazazi wake.
Bahati...
Hii ngoma iliyokutanisha manguli wa muziki wa Rap hapa Tanzania Kwa miaka hiyo kiukweli ilipikwa,ikasukwa na ikasukika ki kwelikweli!
Kiukweli ninayo Jeuri kusema ya kwamba "Kama Kuna mtu...
Ikiwa kesho ni Valentine's day nimeona niwaletee taarifa kuhusu mtajwa hapo juu alie zaliwa siku hiyo ya Valentine.
Joseph Kiambukuta Londa a.k.a Josky, Josky Kiambukuta, Djoe Sex, Le Commandant...
Wakuu nawasalimu hasa Wale wapenzi wa Rhumba wenzangu
Msanii Jolie Detta aliandika historia ya kuwa mwanamke wa Kwanza kurekodi wimbo katika band ya muziki maarufu tp okk jazz iliyokuwa chini ya...
Nyimbo inaitwa SISIKII ila sio ile yenyewe.
Hii kuna na sauti ya mdada, yaani Jux mwenyewe anaimba alafu na mdada anaimba pia nyimbo ni ileile ya Jux sisikii.
Sijui ndio mnasemaga cover sijui...
Muigizaji maarufu John Malkovic, ameigiza kama Nyota katika Movie inayoitwa 100 Years.
Imetengenezwa mwaka 2015 ambapo inatarajiwa kutoka November mwaka 2115. Kwajina lingine movie hii...
Kichwa hapo juu chahusika, nina mdogo wangu ana kipaji cha uimbaji yupo shuleni.
Mwanzo sikujua kuwa anajihusisha na muziki kwani amekuwa ni mcheza mpira mzuri sana hasa upande wa golikipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.