Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

B HITS ILITUBARIKI VYA KUTOSHA Hermy B alikuwa akifanya kazi redioni lakini akawa anajiiba humohumo baada ya vipindi kuisha na kurekodi kazi binafsi mpaka aliposimamisha studio yake na...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana Jf, ni bia gani ambayo ukiinywa leo kesho hupati hang over? Nimebadilisha bia za aina mbali mbali mpaka sasa ila kila nikiamka asubuhi nakuwa na uchovu wa hali ya juu. Mwanzoni nilikuwa...
2 Reactions
72 Replies
16K Views
Kuna TETESI kuwa hakuna matata nyimbo mpya ya MARIOO kufanyiwa remix nne Remix hizo ni kwa wasanii wafuatao 1. Diamond 2. Harmonize 3. Alikiba 4. Darasa Watu wanasubiri kuona ipi itakuwa Kali zaidi
3 Reactions
6 Replies
810 Views
Wapo waliofukuzwa kazi/ wapo walioshushwa ngazi/vinatia uchungu/ ridandansi hizi za majungu ridandansi.
1 Reactions
2 Replies
487 Views
wapendwa, kama mtakumbuka wiki mbili nyuma Bujibuji alileta thread HII na mimi nkajitafhidi kufukuakufua nikaupata huo wimbo HAPA. sasa nimempigia simu rafiki yangu mmoja akaniambia walipata...
3 Reactions
27 Replies
21K Views
Funguka wimbo wa bongo flavor ambao ni wimbo pendwa kwako kwa miaka yote na huchoki kuusikiliza ili wengine wapate ladha ya mziki mzuri kutoka nyumbani..
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kwa nchi kama India, Korea, na Marekani, sanaa imekuwa ni moja wapo ya kazi inayoongeza uchumi kwa taifa. Kwa mfano, Korea wako vizuri kwa kuonyesha utamaduni wao na hata kuonyesha historia...
0 Reactions
0 Replies
313 Views
Baada ya kushinda alitakiwa awasiliane na washiriki wa nyuma ili kupata maoni yao kuhusiana na mashindano hayo. Angeweza kuwatafuta mmoja mmoja au kuwaita wote kwa kikao ili akakusanya maoni ya...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Mzee mbabe untouchable mkali ka Mugabe, Hakuiva na Manji wenye ganji akasema akabwe, Panya wakafyata mkia wakapotea wenye ngebe, Acha kumpinga ukimsema unanyea debe, Hakua mlevi wa uhuru kunyata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kipindi kirefu kuongea kwa mafumbo dhidi ya wamiliki wa Clouds FM kuwanyonya wanamuziki akianzia na wimbo wake wa Joto Hasira, mwanamuziki Judith Wambura ameendelea kuwaishambulia redio...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
TBC wanaonyesha Watanzania kwamba kila jambo linawezekana! Channel yao TBC1 sasa inaonekana kwa watumiaji wa DSTV popote Africa... kupitia channel no. 143. ya DSTv. Kwa kweli mimi nawapongeza...
1 Reactions
8 Replies
14K Views
...tunaanza kuchukua kidogo kidogo nchi yetu toka mikononi mwa mafisadi. Tulikuwa mstari wa mbele kupambana na mafisadi na jana matunda ya JF yameanza kuonekana. Tumewaangusha akina Lowassa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nadhani kwa watu waliojitahidi kupereresha bendera ya Tanzania na hawa Varda Arts wapo Heko kwao..., Kwa kweli Uzalendo upo Moyoni na Uzawa ni kwenye Vitendo wala sio kwenye Ngozi..... Moja ya...
0 Reactions
5 Replies
653 Views
SEHEMU YA 01: Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa nimelala huku damu nyingi zikiendelea...
23 Reactions
292 Replies
141K Views
Ni bonge moja la movie kwa mwaka huu 2023, nimeipa namba 1, nairudia mara zote nikiimiss. Wenzentu wanajua kuigiza na kuandaa movie, hilo halina ubishi. Huyo Sisu ni mwanaume mmoja hivi mtu mzima...
10 Reactions
97 Replies
9K Views
Kulingana na mtandao wa Spotify imetangaza wimbo wa “Champion Sound” wa mwanamuziki kutoka Nigeria David Adeleke (Davido) aliomshirikisha rapa kutokea South Africa Lethabo Sebetso (Focalistic)...
0 Reactions
2 Replies
743 Views
Mimi naona maisha yangekuwa magumu sana, hii haijalishi ni aina gani ya muziki ila kila binadamu anasikiliza muziki! Kuna muda unaweza tengwa na kila mtu ila music will be there! Bado sielewi hii...
12 Reactions
64 Replies
2K Views
Ladies and gentlemen, Tupia lyrics zako pendwa kweny comments, jina la nyimbo na performer wa hio nyimbo. Sio lyrics za nyimbo nzima, just kipande tuu unachokipenda ambacho hata ukiwa maybe...
7 Reactions
53 Replies
2K Views
NJOO TUMSOME MIA KHALIFA Anaitwa Sarah Joe Chamoun mwenye asili ya kiarabu .Pua mchongoko , macho ya kuita na kimwili kidogo kidogo kinachoweza kubebeka, angekuwa bongo waswahili wangemwita...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wakuu, Ni wasanii gani unapendekeza watoe remix ya wimbo kama vipi wa Mez B, Ray C na Noorah. Wasanii watatu. Nani aimbe sehemu ya Mez B Nani aimbe sehemu ya Ray C Nani aimbe sehemu ya...
1 Reactions
13 Replies
551 Views
Back
Top Bottom