Kama hujawahi kuicheki hii movie itafute weekend hii uburudike. Ni jamaa na kaka zake anaamua kwenda mji fulani kujitafuta. Mji wenyewe umejaa wahalifu watupu.
Iyeee Ive been crying to love
Miaka ya juzijuzi Uliomba kura zangu
ahadi nazo ulizimimina
Elimu bora
Afya bora
Barabara nzuri
Ajira nje nje
Hivi leo sioni mabadiliko
Hali imekuwa ngumu
Nawe...
Hii ni sehemu ya nyimbo ninazozikubali hadi leo.
Ni nyimbo ipi ipo kwenye hii playlist unaikubali, na kama haipo unaweza kuiweka hapa ili wadau tuione pia.
MY PLAYLIST SONGS
01...
Kuna braza mmoja ni mwanamziki ila yeye anatumia gitaa lake la asili katengeneza Kwa kutumia fimbo, waya na kikopo ila ukisikiliza sound yake ni quality sana.
Jamaa huwa anajitolea kuburudisha...
Tuzo za BET zilianzishwa mwaka 2001 na mtandao wa Black Entertainment Television, zikilenga kusherehekea mafanikio ya wasanii weusi na watu wa makundi mengine ya wachache katika muziki, filamu...
Kitu Kimoja Ambacho Mashabiki Wa Muziki Mnapaswa Kujua Ni Kwamba Diamond Ni Msanii Mkubwa Afrika Na Anaweza Kufanya Show Nchi Yoyote Ndani Ya Afrika Na Watu Wakajaa, Lakini Inapokuja Kwenye Soko...
Enzi hizo tulikua tunamchukulia Van Damme kama muungwana fulani hivi tukawa tuna wachukia kweli waliokua wanamsumbua 😂..... especially Bolo Yang na Chi Tompo
Sema jamaa alikua hatoi msaada wa...
Kwangu mimi hizi ndo series bora kuwahi kuangalia
1.VIKINGS
2.GAME OF THRONE
3.SEE
4.SIX FLYING DRAGONS
5.FROM
6.INTO THE BADLANDS
7.PEAKY BLINDERS
8.HALO
9.SQUID GAME
10.IRIS
11.ILJIMAE
Kama...
PICHA DIRECTOR NICK NA MAKAMU II WA RAIS WA ZANZIBAR.
Mwanahabari na muongozaji wa video Nickson Sawe maarufu kama Director Nick akiwa huko visiwani Zanzibar amekutana na kupiga picha ya pamoja...
Habari za Jumapili wadau, naomba mwenye wimbo jina lake unaitwa NITUME MIMI BWANA kuna mapadre sijui ndo wameimba, ila ni wanaume pekee ndo wameuimba,
Mwenye nae auweke tu hapa niuchukue maana...
Oppenheimer ni movie yenye story Nzuri sana ila wengi wanaiona complicated, au niseme boring, kwa wale ambao hawana uelewa sana na mambo ya physics.
Hapa nimejaribu kuielezea kwa nilivyoielewa...
Huu mwaka eee ndo mwaka wa kuforce yaani mtake mcitake huu mwaka mtaniita boss
Rayvanny
Huu mwaka eee ndo mwaka wa kuforce yaani mtake mcitake mtaniita boss
Huu mwaka ee wa faida sio loss...
Ilikuwa Jumamosi asubuhi na jua lilikuwa linawaka vizuri. Majirani wa mtaa wa Mjini Ndani walikuwa wanapanga mipango ya weekend yao. Lakini kijana mmoja, anayeitwa Toto, alikuwa na plan ya kipekee...
Filamu nyingi zimetukaririsha kuwa staa akiwa kwenye changamoto basi mwisho wa picha atafanikiwa kukabiliana na changomoto zake wanaita mwisho mzuri(happy ending). Kwenye filamu ya BURIED sahau...
Ni suala lililo wazi kuwa msanii Diamond Platnumz ndiye msanii anayeiwakilisha muziki wa Bongo Fleva kimataifa ambapo kupitia nyimbo zake Diamond ameweza kupenya na kujulikana katika mataifa...
"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.