Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Connie Chiume, a veteran South African actor who appeared in Marvel film Black Panther, has died at the age of 72, her family has announced. The multi-award-winning actress starred in several...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ney Wamitego ameendelea kupigilia msumari kauli ya kataa ndoa kupitia wimbo wake wa bachela Katika wimbo wake chorus inasema "sisi ndio mabachela hatutaki ndoa mabachela tunakula ujana mabachela...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Muda umefika Wanawake kuongoza Tusikae nyuma wanawake tunaweza Tushikamane wanawake wanawake tunaweza Tusikate tamaa wanawake tunaweza mwanamke simama Mwanamke kinara, wewe ni imara Tusikate...
1 Reactions
0 Replies
528 Views
BIG 20 Hii ni project/movement iliyoanzishwa na media personalities pamoja na wadau wa Muziki jijini Mbeya lengo kuu ikiwa ni kuhakikisha kuwa Muziki na wanamuziki wa mkoa wa Mbeya wanapata jukwaa...
2 Reactions
0 Replies
552 Views
Mimi hii naijua ni ni channel 100 Hii hata vifurushi na chanel zote zikate haikatiki. ila ni chanel ha matangazo
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu habarii, Kiukweli naomba nianze kukiri kuwa Mimi binafsi sio Mpenzi wa Tamthilia/Filamu za hapa nyumbani Almaarufu kwa Jina la Bongo Movie na hii inatokana na Tamthilia/Filamu zetu kuwa na...
26 Reactions
403 Replies
25K Views
Bado sijaona kama Twanga Pepeta kwa Tanzania hii na bado sijaona Muimbaji mzuri kama Charles Baba Kingunge. Kitu kikipendwa na GENTAMYCINE jua hadi Malaika wa Mbinguni nao Wameshakipenda...
1 Reactions
2 Replies
442 Views
Sikiliza hii nyimbo.....kidogo tu please!!!!
8 Reactions
137 Replies
4K Views
Not found!
11 Reactions
59 Replies
5K Views
Muandaaji wa filamu nchini Somalia, Ahmed Farah amewamwaga waongozaji wa Tanzania baada ya kushinda Tuzo za Kimataifa za Filamu ‘ZIFF’ 2024 zilizotolewa leo Ngome Kongwe Zanzibar. Ahmed kupitia...
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Kwa mujibu wa nguli wa muziki wa dansi nchini, marehemu Remy Ongalla, muziki ni burudani, furaha, huzuni, nk. Hapa anamaanisha kuwa muziki ni...
8 Reactions
71 Replies
3K Views
Hizi ngoma mbili kwangu binafsi nazipa siti ya mwanzo ya kuwa timeless club bangers. Moja ni ya masista wawili Brick & Lace - Love is wicked Na nyengine hii ya breezy -yeah 3x * Tiririka...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : BLESSURE D'AMOUR {𝙅𝙚𝙧𝙖𝙝𝙖 𝙡𝙖 𝙢𝙖𝙥𝙚𝙣𝙯𝙞} 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU SYSTEM :1993 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI ~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~ 𝙒𝙞𝙫𝙞...𝙒𝙞𝙫𝙪...𝙒𝙞𝙫𝙪...𝙋𝙞𝙣𝙙𝙞 𝙬𝙞𝙫𝙪 𝙪𝙣𝙖𝙥𝙤𝙥𝙞𝙩𝙞𝙡𝙞𝙯𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙞𝙠𝙪𝙩𝙖...
0 Reactions
1 Replies
663 Views
Wakuu Tofauti na mitandao mingine ya kijamii nimeweza kujifunza mambo kupitia story za kweli humu JF, kama story za BM X6 INSIDER MAN LWANDA MAGERE Analyse UMUGHAKA13 Lakini naamini JF ni mtandao...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wanajamii, natafuta Cassette tape au Kanda za kwaya za zamani kama: 1. Tumaini Shangilieni kwaya - Arusha 2. Barabara ya 13 - Uliyankulu 3. Mtoni Evangelical choir - Lulu 4. Kwaya ya...
2 Reactions
3 Replies
540 Views
MTEULE UTANGULIZI Mfalme Efroni alikuwa mtawala wa nchi ya Nahori. Mfalme huyu alimuoa binti wa mfugaji aliyeitwa Raheli na kujaaliwa kupata watoto kumi na wawili. Wote wa kike. Aliipenda sana...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
RIWAYA; KAMANDA WA ZAMU. NA; BAHATI K MWAMBA. WHATSAPP; 0658564341. 1. Alikuwa akitetemeka mwili na roho, jasho lilimmwagika hadi kwenye ncha za vidole vyake vya miguu na...
7 Reactions
26 Replies
6K Views
Katika kumbukumbu za siku ya kiswahili, sijawahi kusikia wakitajwa wasanii wa Muziki wa Dansi katika kukuza lugha ya kiswahili hasa wakati ule ambapo jamii nyingi zilikuwa Bado hazijafunguka na...
0 Reactions
7 Replies
652 Views
Wakuu habar za jion Kwa wale wapenzi series Kuna series inaitwa silo, hii series mm nimefanikiwa kuiona season 1. Hii series ni nzuri sana, Sasa nataka kufahamu Kama season ya 2 imetoka au la.
0 Reactions
7 Replies
602 Views
Nimesikitishwa sana na kitendo cha huyu msanii chipukizi anayefanya vizuri kwa sasa komredi Ali Kiba kutojua maana ya jina FALLEN ANGEL na linavyotumika. Hakuna namba yoyote unaweza kumwita binti...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom