Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kama hujawahi kuicheki hii movie itafute weekend hii uburudike. Ni jamaa na kaka zake anaamua kwenda mji fulani kujitafuta. Mji wenyewe umejaa wahalifu watupu.
3 Reactions
4 Replies
300 Views
Iyeee Ive been crying to love Miaka ya juzijuzi Uliomba kura zangu ahadi nazo ulizimimina Elimu bora Afya bora Barabara nzuri Ajira nje nje Hivi leo sioni mabadiliko Hali imekuwa ngumu Nawe...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii ni sehemu ya nyimbo ninazozikubali hadi leo. Ni nyimbo ipi ipo kwenye hii playlist unaikubali, na kama haipo unaweza kuiweka hapa ili wadau tuione pia. MY PLAYLIST SONGS 01...
7 Reactions
76 Replies
28K Views
Hbr nashida na nyimbo za huyu msaanii Romain virgo -soul provider - stay with me na zngine Nmeshindw kuzipakua wiki sasa https://youtu.be/QiWYmjBzx7s
2 Reactions
4 Replies
406 Views
Kuna braza mmoja ni mwanamziki ila yeye anatumia gitaa lake la asili katengeneza Kwa kutumia fimbo, waya na kikopo ila ukisikiliza sound yake ni quality sana. Jamaa huwa anajitolea kuburudisha...
1 Reactions
4 Replies
303 Views
Tuzo za BET zilianzishwa mwaka 2001 na mtandao wa Black Entertainment Television, zikilenga kusherehekea mafanikio ya wasanii weusi na watu wa makundi mengine ya wachache katika muziki, filamu...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kitu Kimoja Ambacho Mashabiki Wa Muziki Mnapaswa Kujua Ni Kwamba Diamond Ni Msanii Mkubwa Afrika Na Anaweza Kufanya Show Nchi Yoyote Ndani Ya Afrika Na Watu Wakajaa, Lakini Inapokuja Kwenye Soko...
2 Reactions
9 Replies
817 Views
Enzi hizo tulikua tunamchukulia Van Damme kama muungwana fulani hivi tukawa tuna wachukia kweli waliokua wanamsumbua 😂..... especially Bolo Yang na Chi Tompo Sema jamaa alikua hatoi msaada wa...
4 Reactions
17 Replies
985 Views
Mdau, ni wimbo gani wa Bongo Fleva ulihit sana miaka ya 2000-2010?
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Kwangu mimi hizi ndo series bora kuwahi kuangalia 1.VIKINGS 2.GAME OF THRONE 3.SEE 4.SIX FLYING DRAGONS 5.FROM 6.INTO THE BADLANDS 7.PEAKY BLINDERS 8.HALO 9.SQUID GAME 10.IRIS 11.ILJIMAE Kama...
2 Reactions
65 Replies
6K Views
Uko tayari kutoa kile tunachohitaji kukupa unachokitaka?
0 Reactions
4 Replies
312 Views
PICHA DIRECTOR NICK NA MAKAMU II WA RAIS WA ZANZIBAR. Mwanahabari na muongozaji wa video Nickson Sawe maarufu kama Director Nick akiwa huko visiwani Zanzibar amekutana na kupiga picha ya pamoja...
1 Reactions
1 Replies
317 Views
Sauti kama ya ben pol hivi. Ni wimbo wa mapenzi nakumbuka kiitikio Beby so faaa beby so sofaa
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za Jumapili wadau, naomba mwenye wimbo jina lake unaitwa NITUME MIMI BWANA kuna mapadre sijui ndo wameimba, ila ni wanaume pekee ndo wameuimba, Mwenye nae auweke tu hapa niuchukue maana...
1 Reactions
0 Replies
244 Views
Oppenheimer ni movie yenye story Nzuri sana ila wengi wanaiona complicated, au niseme boring, kwa wale ambao hawana uelewa sana na mambo ya physics. Hapa nimejaribu kuielezea kwa nilivyoielewa...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Huu mwaka eee ndo mwaka wa kuforce yaani mtake mcitake huu mwaka mtaniita boss Rayvanny Huu mwaka eee ndo mwaka wa kuforce yaani mtake mcitake mtaniita boss Huu mwaka ee wa faida sio loss...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ilikuwa Jumamosi asubuhi na jua lilikuwa linawaka vizuri. Majirani wa mtaa wa Mjini Ndani walikuwa wanapanga mipango ya weekend yao. Lakini kijana mmoja, anayeitwa Toto, alikuwa na plan ya kipekee...
0 Reactions
2 Replies
490 Views
Filamu nyingi zimetukaririsha kuwa staa akiwa kwenye changamoto basi mwisho wa picha atafanikiwa kukabiliana na changomoto zake wanaita mwisho mzuri(happy ending). Kwenye filamu ya BURIED sahau...
5 Reactions
6 Replies
640 Views
Ni suala lililo wazi kuwa msanii Diamond Platnumz ndiye msanii anayeiwakilisha muziki wa Bongo Fleva kimataifa ambapo kupitia nyimbo zake Diamond ameweza kupenya na kujulikana katika mataifa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke...
28 Reactions
117 Replies
6K Views
Back
Top Bottom