Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Assassin anayefuata principle za kisamurai.
3 Reactions
6 Replies
405 Views
Nibebe - Nyota Ndogo “Nibebe” from the album “Mpenzi” Nyota Ndogo featuring Nonini Nonini Ngoma kali hufanya niwakumbushe wakenya Vile Swahili ni kitamu Au sio Nyota aa, Nyota aa Ndogo oo, Ndogo...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
1. Darassa - Muziki 2. Dully sykes - Bongo fleva 3. Chid benz - Dar es salaam stand up
7 Reactions
328 Replies
10K Views
Tanta lala la Ooh la la la la la Mmh Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza Madale Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree Umeneja umebaki jina Hanitaki hata Tale...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama ujafika korea basi niwajuze tu? Japo wanakila kitu na wapo mbali sana ila swala la migahawa ya vyakura na huduma za chukura korea wapo vizuri sana. Biashara ya chakura korea hipo tofauti na...
7 Reactions
10 Replies
755 Views
Wakuu na wadau wa Marvel. Marvel Studio wametoa teaser ya upcoming superhero movie ya Captain America iitwayo Brave World. Usichanganye na TV Series yao ya Captain America & Winter Soldier, hii...
2 Reactions
0 Replies
472 Views
Imagine huu mzigo utakuaje? Under James Cameron. Humu Leonardo Di Caprio kafanya kitu hatari Nduki_ Young lunya 🏌️🏌️
9 Reactions
94 Replies
3K Views
Wadau, Natafuta huu wimbo alikiba alipiga live. Nahisi kwenye moja wapo ya show za clouds media. Kuna live kadhaa za macmuga lakini kwangu mimi hazikuendana sana na hii ninayotafuta. Thanks.
1 Reactions
2 Replies
494 Views
Natafuta cover ya wimbo wa Hapana wa msanii Marioo ulioimbwa na mdada fulani hivi ukatumika katika tamthilia ya Jua kali. Anaeweza kunisaidia namna ya kuupata tashukuru.
1 Reactions
0 Replies
745 Views
Pendekeza nyimbo yeyote ya Lyrics nami nitakukumia 1.NIITE SONGA LYRICS [Intro] Yeaah… Duke Tachez.. yeeah [Ubeti wa Kwanza] Yeah, kwa uzima nafungua kinywa nachomoa hii habari Naisoma kwa kina...
2 Reactions
5 Replies
10K Views
Muziki wa Reggae ni muziki mzuri unaobeba hisia mbalimbali kama, ukombozi wa mtu mweusi, mapenzi, harakati, nk, kwa kifupi ni muziki unaogusa maisha ya mwanadamu kwa ujumla. Wasanii wa muziki wa...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Wakuu kwema Naomba mtu mwenye file ilo hapo juu anirushie Natanguliza shukrani
4 Reactions
2 Replies
379 Views
Wapenzi wa sweet reggae tafuteni nyimbo za huyu mama Sauti na melody kali sanaaa. Kifupi huyu ni healer kupitia nyimbo zake.
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Binafsi mimi ni mzalendo na nnapenda sana kufuatilia tamthilia za haoa bongo mara moja moja pindi nkipata nafasi nkiwa home, Kuna hiI Huba series inayorushwa DSTV (Maisha Magic bongo) ni ya muda...
0 Reactions
3 Replies
597 Views
Nguvu ya Muziki Kila moyo una wimbo. Pahali ambapo maneno yanashindwa, muziki huongea. Muziki huzungumza kwa hisia. Muziki huleta uwiano kati ya roho, nafsi na mwili. Muziki ni mwanga wa...
4 Reactions
2 Replies
459 Views
Popote ulipo ujue nakupenda https://youtu.be/4lGqKGsfhOQ?si=oGtBuz_f-cenPpx7 https://youtu.be/3JWTaaS7LdU?si=qg_mvYEECSurtoDm
15 Reactions
235 Replies
7K Views
HII NI SIMLIZI YA KISAYANSI NA KITEKNOLOJIA. MTUNZI NI YULEYULE TARIQ HAJJ. HAYA NI MAONO YA MAISHA YAJAYO. RIWAYA NYINGINE ZILIZO TANGULIZIA NI 1. CODE X 2.CODE. X 2 MCHEZO WA KIFO. 3.COD X 3...
3 Reactions
67 Replies
11K Views
BLACK WA USWAZI . _____________________ Hatimaye leo tumefanikiwa kumpata mmoja Kati ya wachonga barabara kwenye Tasnia hii ya Muziki wa Bongo Fleva ambao juhudi zao ndio zimefanya Muziki Huu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Martin Andrew Kadinda ni mbunifu wa mitindo kutoka Tanzania anayejulikana kwa umaarufu wa kuwa mmoja wa wabunifu wa mavazi na mitindo mbalimbali nchini. Amewahi kuonyesha kazi zake katika Wiki...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
KUACHA KAZI Baada ya kutoka Burma, siku moja, Utubora alisimama katika ofisi mbele ya tajiri wake kumwambia kuwa alitaka kuacha kazi. Kazi yake ilikuwa ukarani katika ofisi kubwa ya biashara ya...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom