Tumia New pipe apkWakuu samahani
Kuna wimbo WA Rhumba wa "Franco Luomba unaitwa Eli Kazho"
Mwenye audio au video yake au anayeweza kunisaidia jinsi ya kuupata naomba msaada tafadhali
maana nimetafuta sehemu nyingi nimeukosa
Ni ipi iyo mkuuTumia New pipe apk
Sijui kwa nini umenitag ila nina collection ya nyimbo nyingi sana; nyingine nilikuwa nazo kwenye kanda nikazidigitize, nyingine nilizitoa kwenye saturi na nyingine nimedownload online. Niambie wimbo unaotaka nitakutafutia kwenye kabrasha langu
Aanha Wacha niicheki na hiiIla hii ndio nyimbo bora ya Franco, hakuna zaidi ya hiiView attachment 3607658
Aanha sorry mkuu naomba maoni Yako nirekebishie🙏🙏Hiyo title ina makosa
Shukran San mkuu ila siyo hii yenyew ipo tofauti nattuma short clip yake humu
Naoutafuta ni huu hapa mkuu🙏🙏
Kuna wimbo mmoja wa Mbaraka Mwinshehe (nadhani alikuwa na Moro jazz) wa kuusifia Taifa stars baada ya kufuzu AFCON kwa mara ya kwanza. Wimbo huu Kila nikiutafuta unakuja ule wa F.A.T na timu ya Taifa.Sijui kwa nini umenitag ila nina collection ya nyimbo nyingi sana; nyingine nilikuwa nazo kwenye kanda nikazidigitize, nyingine nilizitoa kwenye saturi na nyingine nimedownload online. Niambie wimbo unaotaka nitakutafutia kwenye kabrasha langu