Wadau natafuta mno huo wimbo, nilikuwa nausikiliza sana nikiwa mdogo na enzi hizo Ukimwi ukiwa kwenye peak yake. Huu wimbo sijui uliimbwa na nani na nimejaribu kuusaka sana bila mafanikio. Mwenye...
Alfajiri ya tarehe 1, tulikuwa tumepanga safari ya kwenda nje ya nchi mimi na mke wangu, maandalizi yote ya safari yalikamilika vizuri na tulitarajia kusafiri pamoja na mtoto wetu kipenzi...
Alitoa wimbo unaitwa " Jesus Walks" baadae akaanzisha kundi la muziki wa injili na akawa anafanya kitu kama huduma hivi kiasi cha kupelekea mashabiki wake kuanza kumuita " Bishop Kanye"
Leo...
Mimi mtazamaji mkubwa wa Movies za Amerika,kwani nyingi zina hadith nzuri wenye kuburudisha na kuelemisha.
Ila kuna suala moja lanifikirisha sana.
Kuna hizi movies na series zenye maudhui ya...
Upendeleo katika utoaji wa tuzo ni aina ya Rushwa ambapo watu au makundi hutumia hongo au faida fulani kwa majaji au wapiga kura ili kuhakikisha kwamba wanatunukiwa tuzo katika tasnia ya sanaa...
Hivi hili linawezekanaje?
Yaani [emoji2957][emoji2957][emoji2957].
Kibinti kidogo chenye miaka 22 kimechukua Grammy ila Alikiba ana miaka.
40+ hana Grammy hata moja huu si Uchawi!
Karibuni kwenye uzi maalumu kwa wale wapenzi wa Comics (Super heros) hasa kwa mashabiki wa DCEU movies na MCU movies.
Mimi ni mshabiki wa Marvels hasa Doctor Strange upande wa DC nampenda Joker...
Hello ndugu zangu wapenzi wa Gangster movies ni movie gani ya mahadhi haya unaipenda??kwanini??quote gani unaipenda??Mimi Naipenda Sana The Godfather haswa scene ambayo Don Corleone anachezea paka
Wakuu kwa mwenye season ya kikorea inayoitwa THE HEALER main theme anisaidie maana nimeitafuta kwa kipindi kirefu bila mafanikio
Nimeitafuta YouTube wameifuta msaada wakuu
1: Jason Bourne vs Mission Impossible
2: Into The Blue vs Fool's Gold
3: Batman v Superman: Dawn of Justice vs Captain America: Civil War.
4: Snow White and the Huntsman vs Mirror Mirror
5...
Na hiki ni kisa kama nilivyosimuliwa na Magreth Haule, mwanamke aliyewahi kuhudumia shule moja ya msingi (English Medium) kata ya Mbezi Juu, Dar es salaam...
1. Reacher (2022–Till date)
2. Percy Jackson and the Olympians (2023–Till date)
3. What If...? (2021–Till date)
4. Game of Thrones (2011–2019)
5. Monarch: Legacy of Monsters
(2023–Till date)
6...
Watanzania ni watu wazarendo sana kwa vitu vilivyo vya kwao! Lakini inafikia mahali wawasilishaji wanaviwasiliaha kimakosa!
Uwanja pekee ambao kwa sasa umefifia na uko karibu kufa ni katika...
Ilkua Ni Siku ya alhamis jion,
Katikati ya ugomvi uliosababisha tukawa tumenuniana sana na Mchepuko Wangu wa Siku zote Mama J.
Kuna vitu vya kijinga alijiongelesha mbele yangu tukiwa kitandani...
Chombezo: Mkeo Ndio Kataka
WARNING (KWA UKUBWA WA MANENO NA TASWIRA ZILIZOTENGENEZWA KATIKA SIMULIZI HII HAITAKIWI KUSOMWA NA MTOTOUNDER 🔞)
Ilikuwa asubuhi kama ya saa 3 hivi niko zangu...
Kuna wimbo flani hivi wa wanawake, Jokate kachukua wenzie wakaenda usafini wakapewa Mboso wakachora verse studio wakashusha kichupa, nilivyoona chakuwasifia wanawake, nikajua huko Tiktok...
Wadau msaada wa jina la msanii jina silikumbuki ila ni msanii wa bongo flavor ni wa zamani kidogo
Japo sina uhakika ila kuna nyimbo yake moja niliona video akizungumzia kumpenda mschana wa jirani...
Mwenye wimbo huu Full iwe Audio Au Video Naomba autume umeimbwa na Apostle Ng'ang'a toka Kenya kama sijakosea.
Nimejitahidi kutafuta uliokamilika nimekosa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.