"Tukianzia uzuri tu
She got a gwan
Tabia, heshima, ndio huyo doo
She got a gwan
Mpaka kwa ma sista doo oh yeah
Nabaki tu kusema ooh
She got a gwan
Tukianzia uzuri tu
She got a gwan
Tabia, heshima...
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane.
Miaka ya fulani baada ya kumaliza shule ya sekondari,niliamua kwenda kumsalimia Ba'mdogo aliyekuwa mkuu wa shule fulani ya sekondari hapo kwenye hicho...
Hell...
Nazungumzia hawa kama wanajiita sijui Watubaki na cheka tu. Naonaga matangazo yao kiukweli naona watu wanacheka vitu ambavyo hata havichekeshi.
Au ni mimi ndiye nina stress. Maana ule ni...
Masafa Marefu- Tancut
Leo nimeona nilete mbele yenu moja ya kazi bora kabisa zilizowahi kutokea katika tasnia ya muziki wa dansi hapa nchini Tanzania. Huu ni wimbo wa "Masafa Marefu"...
Kwa wale mnaofuatilia tamthilia ya olhan kila 3 mpaka ijumaa wameondoa baadhi ya wahusika mpaka ladha! inapotea"" mfano olhan ni mwingine othman wameleta jingine bala malhun n.k wamewabadilisha...
Habari za wikendi hii wana-JamiiForums!
Leo nimeona tukumbushane kidogo kuhusu dhahabu ya muziki wetu wa kale (Zilipendwa). Nataka tuuangazie wimbo mmoja maarufu sana unaoitwa "Nacheka Cheka...
Simulizi: Kurudi Kwa Moza
Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
SEHEMU YA 1
Moza alikuwa msichana mrembo ila aliishi maisha ya shida na kumfanya ajaribu kufanya kazi za...
Nayajua Maisha yangu mpaka TONGWE kama muvii..oooh kaa tayar...oooh... action...oohh.... Naanza mwisho kwenda mwanzo.... NGOMA Ina goooo...goooo.. nayajua Maisha yangu mpaka tongwe Kama muviiii...
KABURI LA MSOMI.
Karibuni sana wapenzi wa simulizi. Leo naitambulisha kwenu simulizi hii tamu iendayo kwa jina la KABURI LA MSOMI. Ndani ya simulizi hii utakutana na visa, mikasa na matukio ya...
Alimgeuka business partner wake wa muda mrefu dame dash na akahakikisha anafirisika ili asiwe tena mshindani wake.
Alianza kudate na beyonce tangu akiwa na miaka na 16, alidate na aliyah akiwa na...
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Rayvanny, amezungumzia umuhimu wa wasanii wa Tanzania kushiriki katika majukwaa makubwa ya kimataifa, akieleza kuwa hatua hiyo inachangia kukuza tasnia ya muziki...
Leo tuusikilize na kuujadili wimbo KIPEPEO
https://www.youtube.com/watch?v=lUyLae6jWLY&list=RDlUyLae6jWLY&start_radio=1
Sikumoja itafika, nitafanikiwa mafikara na mawazo siku hiyo yatakwisha...
Nimekutana na huu wimbo umenikumbusha mbali sana, wote wenye mapenzi na mama zao sikilizeni huu wimbo. sauti nzuri za Kyanga Songa na Kasaloo Kyanga wa Tancut Almasi wimbo Mama, pata...
Leo Mei 28, 2026 tunakumbuka miaka 13 tangu tasnia ya muziki wa Tanzania ilipopoteza kipaji cha kipekee—Albert Mangwair, msanii aliyekuwa na sauti ya kipekee na ubunifu uliovuka mipaka ya kawaida...
Wakuu samahani
Kuna wimbo WA Rhumba wa "Franco Luomba unaitwa Eli Kazho"
Mwenye audio au video yake au anayeweza kunisaidia jinsi ya kuupata naomba msaada tafadhali
maana nimetafuta sehemu...
Riwaya.
Mtunzi: Roisa.
Number: 0694840213.
Sehemu ya 2.
Nikakumbuka wimbo wa lady jaydee na professor Jay ulitamba kipindi hicho unaitwa Bongo dar es Salaam. Ama kweli nilijionea ndani ya...
Civilian-Coin introduces new production branch, "C-C Digital Pro", is a comprehensive digital media agency. They specialize in high-quality motion graphics for video, still picture production, and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.