I have released my newest song for the first time. Hata kwenye game bado sijaingia. Nawaombeni support yenu wadau, judge if I can or not, au nikalime tu ndizi🥹🥹
I hope you will not let this past...
- BEING BROKE IS HELL — NOBODY CARES ABOUT YOU
Listen up, Men.
Let’s cut the crap — nobody respects a broke man.
Not society. Not your circle. Not even the people you love.
I’m not here to...
Mfahamu Carlos Ray 'Chuck' Norris alizaliwa Machi 10, 1940 ni msanii wa michezo ya mapigano wa Marekani na mwigizaji wa filamu.
Alitumikia katika Jeshi la anga la Marekani. Alikuwa maarufu kama...
Wakuu Umofia kwenu,
Karibuni katika Special Thread ya Tamaduni Music
Hapa tutakua tunatupia Line Kali tulizowahi kuziskia kupitia tracks za members wa Tamaduni
Tamaduni Music members
Nikki...
Hawa wasanii wa tamaduni Music hapa nawazungumzia
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the Mc
Zaiid
Ghetto ambassador
Kad go
Azma
Nash mc
Wakazi
Man su lee
Dizasta
Ni...
Ugandan singer Joshua Baraka has overtaken Tanzania’s heavyweight Diamond Platnumz in monthly listeners on streaming service, Spotify.
As of March 2026, Baraka sits at about 1.71 million monthly...
Tha De-Plow-Matz (mara nyingi hufupishwa kwa: DPT) lilikuwa kundi la muziki wa hip hop lililotamba sana katika miaka ya tisini .
NI Kundi linaundwa na Saigon (jina halisi Saleeh Mzee), Dolasoul...
JOE MAKINI - CHANGANYA LADHA.
Namshukuru Mungu Leo Me Niko hapa , Number One Hip hop star sio Tu Raper/
The "Mcee" kwenye Em - cee , Wanakubali kwa hiyari sio kwamba Na force/
J.O.H M.K.A Ena...
Fif:
1: in da club
2: candy shop
3: p.i.m.p
4: i get money
5: ayo technology
Tip:
1: whatever you like
2: dead n gone
3: live your life
4: swagger like us
5: no mediocre
YUPI ANAMPIGA MWENZAKE...
Sijui ata nini kimewakuta hawa jamaa tokea COVID-19. Yaani tokea Avengers: Endgame ya 2019 kusema kweli sijaona movie kali tena.
Movies zao baada ya Endgame:
Movies:
Spider-Man: Far From Home...
Alka Yagnik na Kumar Sanu ni waimbaji wawili maarufu wa India waliotawala muziki wa filamu za Kihindi (Bollywood) hasa katika miaka ya 1990 hadi 2000. Sauti zao zenye hisia na ushirikiano wao na...
Story ya movie ya The Dutchman (2025) kuna namna fulani km imenigusa. Jinsi ilivyoanzia mpaka ilivyoishia.
Kuacha maelezo mengi km umeiangalia hii movie kuna kitu inasimulia kwa wale watu...
Kuanzia miaka yaa 1990 hadi 2010 ndio ulikuwa mwisho wa mziki mzuri, mziki mtamu, mziki ulioenda shule, mziki wenye burudani elimu na tafakuri, mziki unaotia hamasa ya kufanya kazi kwa bidii na...
Ni miaka mingi kama 15 iliyopita, mimi, dada zangu 2 na waume zao na kaka zangu 3 na wake zao,tulienda zanzibar kwa mwaliko wa rafiki wetu wa familia,ni mtu mkubwa serikalini hivyo siwezi kumtaja...
Kampuni ya Universal Music Group East Africa imetangaza rasmi ushirikiano wake na Mwimbaji Staa wa muziki wa Afrika Mashariki, Lady Jaydee ambaye anatambulika kama mmoja wa sauti zenye ushawishi...
Ni vizuri wale wana ojua chimbuko la muziku wakatupatia historia yake fupi.
Pia naiona ni kama modern zouk hivi (zouk iliyochangamka)
Kwa wale wasiojua style ya kompa kibongo bongo wasikie wimbo...
Kama wewe ni dj au mdau wa muziki.hapa unaweza kusikiliza na kudownload nyimbo zilizotengenezwa na madj. Yaan mixing au nonstop mix kutoka djs mbalimbali
PIA UNAWEZA TEMBELEA CHANEL YANGU YA...
https://youtu.be/wcK3l4KHXY4?si=siBxITGpZlXWmDha
Humu kuna Chid, Cannibal Kichwa Kibovu, Jones mwenyewe, Belle 9, Stamina na Jay More
Nani amefunika wengine? Kwangu naona Cannibal kachana vibaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.