Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa wote waliokuwa wanautafuta wimbo wa "Farida - oh pesa" sasa umepatikana. Kazi kwenu. Deadbody, STUNTER, Shark
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Katika muziki wa kisasa, mafanikio ya wimbo hayategemei tu ubora wa sauti au video, bali pia mchanganyiko wa ubunifu, mitandao ya kijamii na wakati sahihi (timing). Hii inafanya baadhi ya nyimbo...
0 Reactions
0 Replies
100 Views
Habari wana JF!! Kuna nyimbo naitafuta bila mafanikio. Inaimbwa "nilimwomba Mungu sana (sana sanaa), anipatie tunae pendana (namimi ndo maana). Siku zote mi nawe habibi siku zotee, tupo sote mi na...
2 Reactions
23 Replies
964 Views
Wakat napiga Kaz kwenye mel km oiler ikatokea nafas eng class3 alifanya maamuz ya kurud hom akafanye mambo mengine kwa hiyo nafas yake ilipaswa kuzibwa na ili niipate ile nafas nalazimika kuingia...
6 Reactions
30 Replies
567 Views
Heshima kwenu wanajukwaa. Kama tunavyojua kwamba huu ni msimu wa sikukuu za xmass and new year na kuanzia leo just tunahesabu siku kuelekea siku ya jingles, so uzi huu ni maalum kwa ajili ya...
8 Reactions
101 Replies
21K Views
Kila mmoja wetu ana ile series yake (TV Show) ambayo ilimfanya aingie kwenye "addiction" kuifuatilia. Ile ambayo unajikuta unafuta hata ratiba zako za muhimu ili tu upate muda wa kutazama episode...
2 Reactions
9 Replies
358 Views
Habarini! Kama tunavyo fahamu kuwa JF ni sehemu ambayo mamillion ya watu wanapita hapa! Ningeomba huu uzi uwe maalumu kwa ajiri ya kuwasupport wasanii wanao chipukia! Katika Muziki! Najua tupo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Sarkodie from Ghana. 2. Nyashisnki from kenya. 3. Khaligraph jones from Kenya. Hapo ni wa kwanza mpaka wa mwisho. Nimesikiliza marapper wengi, ila ni hao tu ninao...
0 Reactions
3 Replies
132 Views
Staa wa muziki wa Pop duniani, Dua Lipa, ameishtaki kampuni ya Samsung akidai fidia ya dola milioni 15 (takriban shilingi bilioni 40 za Kitanzania), akituhumu kampuni hiyo kutumia picha yake...
1 Reactions
1 Replies
201 Views
Napenda sana movies na animated series. Hizi ndio my number 1 entertainment lakini sijawahi kutumia legal app yoyote Nilidhani subscription za Netflix ni expensive mpaka jana wakati nafuatilia...
11 Reactions
53 Replies
850 Views
Hakuna mwanamuziki wa kawaida tu ambaye anaishi Jijini Kinshasa au ataweza kuishi Kinshasa. Kwa msiojua Mji wa Kinshasa ni wa gharama za juu mno na ndiyo maana ni Watu matajiri tu (Mapedeshee) na...
5 Reactions
34 Replies
852 Views
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA IMEANDIKWA NA : NYEMO CHILONGANI CHANZO : BURE SERIES SEHEMU YA KWANZA Matangazo yalikuwa yamebandikwa kila kona ndani ya Jiji la Dar es Salaam yaliyokuwa yakihusu ujio...
5 Reactions
28 Replies
25K Views
kipindi Cha nyuma mwaka jana nliwahi kuangalia hili dubwasha Kwa jina la "From" Najutaa🤣
10 Reactions
79 Replies
1K Views
1.Taylor swift- huyu anasikilizwa sana duniani na ni mmoja mwenye ma followers wengi ila hakuna hata kazi yake moja naijua wala kuisikiliza 2-Migos-hata sielewi nyimbo wanazoimba trap gani...
4 Reactions
14 Replies
404 Views
Kwa kweli leo baada ya kufungua redio yangu nimekutana na kipindi cha nani zaidi pale Redio One na waliopambanishwa ni Hussein Jumbe na Remy Ongala ambapo nyimbo Tano za Dr Remmy zilipigwa na...
9 Reactions
42 Replies
725 Views
THE MODERN WAR (Vita ya kisasa) Sehemu ya.........01 Mtunzi: Saul David WhatsApp: 0756862047 UTANGULIZI Mwanzo ilikuwa ni vita rahisi sana, vita dhidi ya ndugu yangu wa damu aliyeenda kinyume na...
5 Reactions
162 Replies
86K Views
NILIEMDHANIA NI KAHABA KUMBE BIKRA MTUNZI:SINGANOJR . AGE:18+ NB:SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA PDF KUTOKA SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 390 IPIO NITAFUTE WATSAPP 0687151346 PROLOGUE../DIBAJI...
35 Reactions
4K Replies
2M Views
Ndugu zangu habari za kuwapotea? Naam ni mimi Euphoria mwandishi wa Solo king, mniwie radhi kwa kupotea na kuwa kimya kwa muda mrefu zaidi, kipindi kile nilikuwa nikiumwa, nilikuwa nalala kitanani...
3 Reactions
47 Replies
4K Views
Enzi za uhai wake Mzee wetu Kasongo Mpinda Clayton, wakati anaitumikia band ya Marquis du Zaire tarehe 18/6/1982 alitunga wimbo unaoitwa "Angelou". Na haya ni sehemu tu ya mashairi yake:-...
3 Reactions
3 Replies
113 Views
Back
Top Bottom