Na GPL Ripota
Miamba inayofanya makubwa katika Muziki wa Kizazi Kipya nchini, Farid Kubanda a.k.a Fid Q na Seleman Msindi a.k.a Afande Sele, ndiyo inayokamuana katika Nani Zaidi wiki hii...
Jana jioni wakati tunaangalia kipindi cha Maisha Plus, walionesha kuwa washiriki wawili (wote wasichana), mmoja kutoka Moro na yule wa Zanzibar walitolewa na kusindikizwa kupata usafiri wa kwenda...
Hey whats up everybody! I thought the Producers in Tanzania have improved a lot but I guess I was wrong! Two and Half years ago, I made a beat and named it Block Running, I sold it to one of the...
Wananchi wa kisiwa cha iceland kesho wanasherekea sikukuu ya beer day
siku hiyo muhimu imefanya kazi za kawaida kushia saa sita
mchana na baada ya hapo mwenye nia,hamu ya kupata beer
mpaka...
Hello!
Nakusudia kusafiri katika Afrika mwaka ujao.
Ratiba ya safiri: Peru - Brazil - South Africa - Mozambique - TANZANIA - KENYA - Ethiopie - Sudan - Egypt.
Sasa, mna habari za kupata VISA...
Naomba kupendekeza kuwa fursa ...ya kuandaa Mashindano ya Miss Tanzania itolewe kiushindani...,kwa kuzingatia kuwa :-
...mrembo anayepatikana anaenda kutuwakilisha watanzania wote ni vema tuwe...
Habari,
Kwa wale wote wapenzi wa nyimbo za nyumbani Tanzania hasa Bongo Flava, Taarab , Zilipendwa na Muziki wa Dansi wanaweza kuisikiliza Bongo Radio(http://www.bongoradio.com) LIVE kabisa...
Brown: Jordan 'badly' wants to be Bobcats' majority owner
Michael Jordan is currently a part-owner and leading executive for the Bobcats, a playoff contender in the East.
John Parra/Getty...
Wakuu,
Nimefika jijini majuzi tu, nimekumbana na DvD za kichina nyingi tu. Nahitaji kupata Original DvD za Series kama 24, Alias, Prison Break, 2012 (movie), Lost, ambazo nitaangalia zikiwa...
Maroon Commandos kutoka Kenya - Charonyi ni wasi
http://www.youtube.com/watch?v=zqIJNJB73Ug
Mpongo Love - Ndaya
http://www.youtube.com/watch?v=6F7lHM90KwI
Macho yanacheka Moyo unalia...
Leo ni siku ambayo rastafarians na wale wote wapenzi wa reggae watakuwa wanakumbuka (sio kuazimisha) siku ya kuzaliwa kwa muasisi wa roots reggae hayati Bob Marley aliyezaliwa tar 6 Feb 1945.
Kama...
Kuna ndugu yangu mmoja anatarajia kufanya project itakayotumia muziki wa hapa nyumbani.
Je,ni kwa namna gani anaweza kurejesha mapesa ya wasanii kwa wahusika?
Je, ukiachana na COSOTA ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.